Omutontozi
Senior Member
- Nov 12, 2021
- 122
- 218
Hayo mengine tumekuwa nayo toka uhuru ndo matatizo yetu msimsingizie SamiaUkiacha la Mbowe unampendea Tozo au mgao wa maji na umeme ?
Sasa kama unampendea sura yake si uende ukanywe naye chai , kama alivyoshauri Nyerere !Hayo mengine tumekuwa nayo toka uhuru ndo matatizo yetu msimsingizie Samia
Asante sana nimechukua ushauri wako vijana wa ccm ndivyo mlivyoSasa kama unampendea sura yake si uende ukanywe naye chai , kama alivyoshauri Nyerere !
Binafsi nampenda lkn swala la Mbowe linaninyima furahaMkuu kachukiwa kweli kweli na walio wengi. Wanaomsifia sasa hivi ni kakikundi kadogo cha wanafiki wanufaikaji. Kikundi kile kinatumia udhaifu wake wa kutojua ni nini hasa anachokiamini na kukisimamia.
Sawa hasingiziwi sasa nani wakuhakikisha na kuratibu ugawaji wa huduma muhimu za kijamii?Hayo mengine tumekuwa nayo toka uhuru ndo matatizo yetu msimsingizie Samia
Tatizo la watawala ni kuogopa kukosolewa na kuwajaza elimu ya kujitambua wananchi.Tatizo makongamano ya katiba na kauli kali kali za viongozi wa chadema
Siyo wewe mkuu tupo wengi sana kwenye hilo kundi lakoBinafsi nampenda lkn swala la Mbowe linaninyima furaha
Machawa hawataki kusikia hiloSawa hasingiziwi sasa nani wakuhakikisha na kuratibu ugawaji wa huduma muhimu za kijamii?
Nani mwenye uwezo wa kuwawajibisha mawaziri kama wasimamizi wakuu wa wizara mbalimbali zinazosimamia nakuhakikisha maisha ya mtanzania yanaboreshwa na nchi inastawi kiuchumi?
Ukiyajua haya, hutashangaa kwanini kelele zote zinaelekezwa kwake kama raia namba moja.
Usipate tabu kwa ajili yake mkuu, mshitakie kwa Mora. soon tu Kati ya wawili, mmoja atamfuta Magu, tangu kuubwa kwa dunia, hakuna Jambo lisilo na mwisho. Wacha Mungu aone mioyo ya watu inavyo sononekaRais Samia binafsi nampenda lkn kila nkifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea,,,Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.Samia ananipa wakati mgumu,kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lkn swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana,,,,akumbuke wana ccm ni wanafiki,watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe,tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Kwa kifupi, wanaoitwa Mabeberu watakuwa wamepata mwanya au upenyo wa kuingiza agenda zao na ambazo obviously zitawagharimu watawala na chama chao kwa ujumla. Kama wakiamua kumfunga MwambaRais Samia binafsi nampenda lkn kila nkifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea,,,Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.Samia ananipa wakati mgumu,kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lkn swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana,,,,akumbuke wana ccm ni wanafiki,watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe,tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Dah!! Sitaki kusikia msiba wa Samia nampend sana lkn ajirekebishe amwachie Mbowe bila masharti yoyote otherwise atanilazimisha nami nimchukieUsipate tabu kwa ajili yake mkuu, mshitakie kwa Mora. soon tu Kati ya wawili, mmoja atamfuta Magu, tangu kuubwa kwa dunia, hakuna Jambo lisilo na mwisho. Wacha Mungu aone mioyo ya watu inavyo sononeka
Rais Samia binafsi nampenda lkn kila nkifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea,,,Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.Samia ananipa wakati mgumu,kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lkn swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana,,,,akumbuke wana ccm ni wanafiki,watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe,tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Mm sijasema msiba. Weee mshitakie kwa Allah tuDah!! Sitaki kusikia msiba wa Samia nampend sana lkn ajirekebishe amwachie Mbowe bila masharti yoyote otherwise atanilazimisha nami nimchukie
Nimepata heshima kubwa mi member mchanga,Mshana umechangia kwenye bandiko langu,,asante mkuu ila mwambie mama anachofanya si sawaKwa kifupi, wanaoitwa Mabeberu watakuwa wamepata mwanya au upenyo wa kuingiza agenda zao na ambazo obviously zitawagharimu watawala na chama chao kwa ujumla. Kama wakiamua kumfunga Mwamba
Mapenzi nae mlianza lini na ni mke wa mtu?Rais Samia binafsi nampenda lkn kila nkifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea,,,Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.Samia ananipa wakati mgumu,kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lkn swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana,,,,akumbuke wana ccm ni wanafiki,watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe,tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Anatapakaza madarasa,zahati,Vituo vya afya,barabara za vijijini,muswada bima ya afya kwa wote unaenda kuwasilishwa na mengine mengi,,,Kibaya ni kumfunga mzee MboweNi Mazuri Gani Anayofanya Samia?