Mkuu tafadhali naomba picha yake, pia fahamu uzuri wa mtu upo machoni kwa mtuSura mbaya hapendez hata kwa wigi
Siamini naimani dj sinyorita anasubiri saanaSura mbaya hapendez hata kwa wigi
Mkuu mbona mnanivunja moyo? Tafadhali nisaidie picha yake kama hutajaliDJ sinyorita sawa bila huu mamybabe ana meno kama gaucho...!!
Mkuu inawezekana hapendezi kwa sura ndio maana hajawahi kuonekana hata CLOUDS TV. Hata mm nilikuwa navutiwa na sauti ya Anjela Mwoleka wakati akiwa Radio One...nilidhani ni shombeshombe la kiarabu hadi nilipokuja kumuona live sikuamini. Kumbe sura na sauti mara nyingi huwa haviendani.Jamani huyu dada ananikosha Sana sauti yake, nataman nimfahamu sura yake ikoje, nilishawahi kumuuliza mtu anipe picha yake akanipa picha ya dj sinyorita bahati nzuri nilikuwa namfahamu, please mwenye picha ya huyo dada naomba, pia mawasiliano yake nikimaanisha namba za simu anipatie tafadhali.
Hahahaha yule aliyeenda BBC? Ila mm nadhani huyu hata akisoma habari kwenye TV hata kama anamuonekano gani lazma sauti itambeba tuMkuu inawezekana hapendezi kwa sura ndio maana hajawahi kuonekana hata CLOUDS TV. Hata mm nilikuwa navutiwa na sauti ya Anjela Mwoleka wakati akiwa Radio One...nilidhani ni shombeshombe la kiarabu hadi nilipokuja kumuona live sikuamini. Kumbe sura na sauti mara nyingi huwa haviendani.
Ndio. Ni yule aliyeenda BBC. Mwanzo nilidhani atakuwa msichana fulani hv mwenye sura ya kipemba, kitanga au kinyaturu...kumbe sivyo. Na huyu wako unayemtafuta nadhani hatofautina sana na Mwoleka. Hahahahahaha!Hahahaha yule aliyeenda BBC? Ila mm nadhani huyu hata akisoma habari kwenye TV hata kama anamuonekano gani lazma sauti itambeba tu
Jamani huyu dada ananikosha Sana sauti yake, nataman nimfahamu sura yake ikoje, nilishawahi kumuuliza mtu anipe picha yake akanipa picha ya dj sinyorita bahati nzuri nilikuwa namfahamu, please mwenye picha ya huyo dada naomba, pia mawasiliano yake nikimaanisha namba za simu anipatie tafadhali.
Jamani huyu dada ananikosha Sana sauti yake, nataman nimfahamu sura yake ikoje, nilishawahi kumuuliza mtu anipe picha yake akanipa picha ya dj sinyorita bahati nzuri nilikuwa namfahamu, please mwenye picha ya huyo dada naomba, pia mawasiliano yake nikimaanisha namba za simu anipatie tafadhali.
naleta ngoja nimfuate instaMkuu tafadhali naomba picha yake, pia fahamu uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu
Sinyorita Sio wa mchezoSiamini naimani dj sinyorita anasubiri saana
kibayaMkuu mbona mnanivunja moyo? Tafadhali nisaidie picha yake kama hutajali