Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aweke picha nione kitu kabla sijazungumzaHapa umefanyaje ,ukizingua wajomba tukakosa debe la mbege usikanyage nyumbani.
Kitu gani na weweAweke picha nione kitu kabla sijazungumza
😂
Rere yuko wapi?
Kitu nataka kuona😹najua mwenyewKitu gani na wewe
Una IDs nyingi na muda piaMimi sina mengi ila huyu dada🤩😍 mtansahati ninamkubali.
Ninakutunuku maua mengine leo
Qashy Lilith
Njoo nikupe like basi😘
Lini utaleta simulizi mpya?Una IDs nyingi na muda pia
Yeah,na imekaa serious sana....you need heal.Am I falling?
nn❌=nini☑️Kwa nn mamy, c unajua tutakuwa na shuguli😜
shuguli yahitaji stamina, panda shuka ya daladala c unajua tena
Oburo buza muka?Rere yuko wapi?
Aah Acha basi😄Oburo buza muka?
Mwanangu mtu anataka nasa mchuchu wewe una mkata makosa ????!!!!nn❌=nini☑️
Shuguli❌=Shughuli☑️
C❌=Si☑️
Jandoni Hatukufunzwa Uandishi Wa Namna Hii
Rudisha ile avatar yako ya miwaniKuwa makini na ID mpya, huwa ni wale wale wa zamani wanakuja kivingine, sijamsema Lilith, nasemea ujumla.
Ipi?Lini utaleta simulizi mpya?
Una kichwa kigumu, ni swali nimekuuliza sijakuambia ipiIpi?