Namkubali sana Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Tluway Sumaye

Namkubali sana Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Tluway Sumaye

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Namkubali sana mheshimiwa Sumaye ni mpole hana mbwembwe hajui kulipa kisasi na mtulivu. Alipotofautiana na Jakaya enzi zile alijiendea zake kusoma Marekani na MAGUFULI alivyompokonya mashamba yake Morogoro hakujibu alikaa kimya aliacha muda uongee.
 
Sumaye kaumbwa na udongo mgumuu! Huwa hazeeki!
Pamoja na kunyang'anywa mashamba hadi kukosa sehemu hata ya kulima tuta moja la mchicha, sijawahi muona akinung'unika...
Umesema kweli mkuu
 
Pamoja na kunyang'anywa mashamba hadi kukosa sehemu hata ya kulima tuta moja la mchicha, sijawahi muona akinung'unika...
Una uhakika na unayoyasema? Unajua Sumaye alikuwa na mashamba mangapi na ekari ngapi amenyang'anywa?

Mimi nauliza tu.
 
Unafikiri kwa nini amidharauliwa Sana akapewa Jina ya Yai
Hizo ni siasa tu mbona hujiulizi kwanini he was the longest serving pm toka tupate uhuru hakuna pm aliyevunja rekodi yake mpaka leo na alifanya kazi chini ya mkapa sasa jiulize system ingemwamini vipi kilaza au mkapa unaemjua wewe mtu wa kimataifa angewezaje kufanya kazi na pm kilaza?
 
Hizo ni siasa tu mbona hujiulizi kwanini he was the longest serving pm toka tupate uhuru hakuna pm aliyevunja rekodi yake mpaka leo na alifanya kazi chini ya mkapa sasa jiulize system ingemwamini vipi kilaza au mkapa unaemjua wewe mtu wa kimataifa angewezaje kufanya kazi na pm kilaza?
Ngoja nikupe somo ukiwa PM au VP na ukawa smart kuliko president au ukawa na ushawish kuliko president you are gone,maana unakuwa threat,ilimcost Lowassa alitaka kumfunika Jk .akatengenezewa zengwe la richmond .kule Kenya the same kwa Ruto.Marais ni watu waoga kuliko kunguru ndio maana ulinzi wao uko vile,wanaogopa hadi vivuli vyao.
 
Hizo ni siasa tu mbona hujiulizi kwanini he was the longest serving pm toka tupate uhuru hakuna pm aliyevunja rekodi yake mpaka leo na alifanya kazi chini ya mkapa sasa jiulize system ingemwamini vipi kilaza au mkapa unaemjua wewe mtu wa kimataifa angewezaje kufanya kazi na pm kilaza?
Hapana binafsi namheshm Sana, na nakumbuka awamu zote akizofanya kazi. Was smart guy. Katika wachagga I liked sumaye. Hadi leo nampenda tu mchagga yule
 
Back
Top Bottom