Namkubali sana Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Tluway Sumaye

Siasa hizi
Kipindi anastaafu kama kumbukumbu zangu ziko vizuri kulikuwa na uvumi kuwa ana utajiri wa triln kadhaa
Sumaye sio mchaga ni mbulu au muiraq
Hapana binafsi namheshm Sana, na nakumbuka awamu zote akizofanya kazi. Was smart guy. Katika wachagga I liked sumaye. Hadi leo nampenda tu mchagga yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…