Namna bora ya kumsaidia Bwana Mdogo mtaji wa Biashara

Namna bora ya kumsaidia Bwana Mdogo mtaji wa Biashara

Kumbana mtu mzima kiasi hicho ataona kama hujatoa kwa moyo kumsaidia..biashara ni commitment na investment ya muda na akili yako itakufumbua akili nn ufanye cha ziada kuboresha biashara yako,MAra nyingi wqtu wanaopewa mtaji huwa hawana uchungu na pengine wanakuwa na expectations kubwa katk bishara bila kujua kuna upside na down zake so wakipatwa na changamoto kidogo wanashindwa kusustain wanarudi kwa mtoa mtaji kwa kutia huruma,watu walio commited na wenye moyo wakufanya biashara hata wakifeli wanasimama tena kwa nguvu kubwa .. weka huduma za ziada zinazosupport biashara yako esp kama biashara hiyo ni ya msimu.
Foristance biashara ya stationery si ya kutegemea kuuza madaftar copy typing printing pekee weka vitu kama vifaa vya usafi mafagio mopa nk,mabegi ya shule..vifungashio passport size kadi za harusi pika keki (jifunze kuongeza ujuzi)huduma za kifedha NMB CRDB MPESA nk..nachuzungumza hapa ninauzoefu nacho maana before niliweka mtu nikawa natumiwa pesa tu sikuwa nimeweka vitu vya zaida ambavyo haviangalii msimu,so once nilipoamua kuinvest muda na akili yangu effectively kwenye biashara yangu aisee niliona mabadiliko makubwa mno ndani ya muda mfupi japo ilinichukua muda kuiexperience na kujua changamoto na nn niboreshe nisipitwe na mzunguko wa pesa..lakin tukumbuke kuwa si kila mmoja anawito wa biashara na kuna watu ni waoga mno kufanya biashara anawezq fanya kwa uoga au kwa kuwa hana namna au kalazimishwa matokeo yake ss ndo kama alivofanya dogo hapo juu..TUSIWAKATIE TAMAA
 
Kumbana mtu mzima kiasi hicho ataona kama hujatoa kwa moyo
Mkuu, ni bora nimbane, lakini Mtaji uwe salama na matokeo atayaona mwenyewe. Akishasimamisha Biashara, ninajitoa, sasa akizingua ni juu yake. Kumbuka sababu ya kufanya hayo, ni kwa kuwa huna hakika na uwezo wa kibiashara wa mtu unayemsaidia na pili, unaepuka kuingia mfukoni mara mbili. Kumbuka, mdogo wako, akianguka hutoweza muacha tu home.
weka huduma za ziada zinazosupport biashara yako esp kama biashara hiyo ni ya msimu.
Foristance biashara ya stationery si ya kutegemea kuuza madaftar copy typing printing pekee weka vitu kama vifaa vya usafi mafagio mopa nk,mabegi ya shule..vifungashio passport size kadi za harusi pika keki (jifunze kuongeza ujuzi)huduma za kifedha NMB CRDB MPESA nk..nachuzungumza hapa ninauzoefu nacho maana before niliweka mtu nikawa natumiwa pesa tu sikuwa nimeweka vitu vya zaida ambavyo haviangalii msimu,so once nilipoamua kuinvest muda na akili yangu effectively kwenye biashara yangu aisee niliona mabadiliko makubwa mno ndani ya muda mfupi japo ilinichukua muda kuiexperience na kujua changamoto na nn niboreshe nisipitwe na mzunguko wa pesa..
Sahihi kabisa. Biashara inahitaji uwepo wako mmiliki mwenyewe sababu una uchungu na hela yako so utailinda na ubunifu wa kuikuza.
TUSIWAKATIE TAMAA
Sure.
 
Nimechelewa kuuona Uzi, Ila sijachelewa kuutekeleza kwa vijana wangu siku zijazo. Umemaliza kila kitu mkuu, ubarikiwe sana.
 
Wazo zuri sana, lakini mi nipo Canada natuma dola kadhaa ili dogo afanye business, nawezaje kudhibiti hayo yote?
 
Back
Top Bottom