Pre GE2025 Namna CCM inavyoumiza Upinzani kwenye Kupiga Kura, UPINZANI Vita yenu Iko Ndani ya Chumba Cha kupigia kura na Mawakala wenu

Pre GE2025 Namna CCM inavyoumiza Upinzani kwenye Kupiga Kura, UPINZANI Vita yenu Iko Ndani ya Chumba Cha kupigia kura na Mawakala wenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Wakuu Nina Demu Mmoja Mwalimu ni mchepuko wangu wa miaka na miaka.

Demu huyu mwaka 2020, alikua msimamizi wa uchaguzi sehem Fulani Kituo Fulan.

Kwan so mnajua Mashine ikikolea? Mwanamke hutoa Siri?.

Sasa nawarudisha nyuma ya Mwaka 2020, na yaloendelea Serikali za mtaa, na yakayoendelea 2025 , Mbinu zao ni zile zilee !!.

Mwalimu akisimulia alidai hivi :-

1/ CCM huhakikisha Msimamizi Kituo na Wakala wa CCM anakua na Orodha au anahakikisha anawafaham Wana CCM wote wa eneo lake.( Ndio maana CCM huhakikisha wanaandikisha wafuasi wake muda mfupi kabla ya uchaguzi).

2/ Mwanaccm akiingia Kupiga Kura, anapewa Fomu za Kura kumi kumi au zaidi. ( Anapiga na kudumbukiza.).

3/.Wanafanikiwaje kudumbukiza wakati Kuna Mawakala?.

4/ Wakala wa Upinzani kwanza,( mawakala wote) hushawishiwa Kwa Pesa, yaan anapewa Rushwa ili atulize mdomo.

5/Wakala akiwa mbishi, Kuna chakula au kinywaji huletwa, Ndani ya Vyakula au vinywaji huwekwa 'dawa za usingizi' akila kazi imeisha.

6/ Wakala asipokula kile chakula, Msimamizi wa Kituo huanzisha Fuji Kwa Wakala na Kwa makusudi huku akipiga Simu Polisi kua 'Kuna MTU analeta Fujo.( Simmesikia Kuna mawakala wa Upinzani wamefanyiwa Fujo'?)

7/ Polisi hufika na kumchukia Wakala na kumpeleka korokoroni, na ataachiwa baadae wakati ambapo tayari wizi wa haki ya kura umefanyika.( Sinamsikia Kuna mawakala wamebebwa na Polisi wengine wameheruhiwa mbele ya Polisi).

Rai yangu Kwa Upinzani, Msikomae tu kulinda kura hapo Nje, VITA INATAKIWA IWE NDANI YA CHUMBA CHA KUPIGA NA KUHESABU KURA, HUKO NDIKO WIZI UNAFANYIKA.

Ningewawekea hapa AUDIO RECORD , ya Maneno ya Mwalimu na Mimi.,, lkn najua wapuuzi wale watamuachisha kazi.
 
Wakuu Nina Demu Mmoja Mwalimu ni mchepuko wangu wa miaka na miaka.

Demu huyu mwaka 2020, alikua msimamizi wa uchaguzi sehem Fulani Kituo Fulan.

Kwan so mnajua Mashine ikikolea? Mwanamke hutoa Siri?.

Sasa nawarudisha nyuma ya Mwaka 2020, na yaloendelea Serikali za mtaa, na yakayoendelea 2025 , Mbinu zao ni zile zilee !!.

Mwalimu akisimulia alidai hivi :-

1/ CCM huhakikisha Msimamizi Kituo na Wakala wa CCM anakua na Orodha au anahakikisha anawafaham Wana CCM wote wa eneo lake.( Ndio maana CCM huhakikisha wanaandikisha wafuasi wake muda mfupi kabla ya uchaguzi).

2/ Mwanaccm akiingia Kupiga Kura, anapewa Fomu za Kura kumi kumi au zaidi. ( Anapiga na kudumbukiza.).


3/.Wanafanikiwaje kudumbukiza wakati Kuna Mawakala?.


4/ Wakala wa Upinzani kwanza,( mawakala wote) hushawishiwa Kwa Pesa, yaan anapewa Rushwa ili atulize mdomo.


5/Wakala akiwa mbishi, Kuna chakula au kinywaji huletwa, Ndani ya Vyakula au vinywaji huwekwa 'dawa za usingizi' akila kazi imeisha.

6/ Wakala asipokula kile chakula, Msimamizi wa Kituo huanzisha Fuji Kwa Wakala na Kwa makusudi huku akipiga Simu Polisi kua 'Kuna MTU analeta Fujo.( Simmesikia Kuna mawakala wa Upinzani wamefanyiwa Fujo'?)

7/ Polisi hufika na kumchukia Wakala na kumpeleka korokoroni, na ataachiwa baadae wakati ambapo tayari wizi wa haki ya kura umefanyika.( Sinamsikia Kuna mawakala wamebebwa na Polisi wengine wameheruhiwa mbele ya Polisi).


Rai yangu Kwa Upinzani, Msikomae tu kulinda kura hapo Nje, VITA INATAKIWA IWE NDANI YA CHUMBA CHA KUPIGA NA KUHESABU KURA, HUKO NDIKO WIZI UNAFANYIKA.


Ningewawekea hapa AUDIO RECORD , ya Maneno ya Mwalimu na Mimi.,, lkn najua wapuuzi wale watamuachisha kazi.
vipi na wale polisi wanao saidia CCM kusambaza kura? halafu unazani haya yanamuhusu Mbowe? Mbowe anakomeleka, Ujinga wa Watanzania ndio huu hapa,
 
Wakuu Nina Demu Mmoja Mwalimu ni mchepuko wangu wa miaka na miaka.

Demu huyu mwaka 2020, alikua msimamizi wa uchaguzi sehem Fulani Kituo Fulan.

Kwan so mnajua Mashine ikikolea? Mwanamke hutoa Siri?.

Sasa nawarudisha nyuma ya Mwaka 2020, na yaloendelea Serikali za mtaa, na yakayoendelea 2025 , Mbinu zao ni zile zilee !!.

Mwalimu akisimulia alidai hivi :-

1/ CCM huhakikisha Msimamizi Kituo na Wakala wa CCM anakua na Orodha au anahakikisha anawafaham Wana CCM wote wa eneo lake.( Ndio maana CCM huhakikisha wanaandikisha wafuasi wake muda mfupi kabla ya uchaguzi).

2/ Mwanaccm akiingia Kupiga Kura, anapewa Fomu za Kura kumi kumi au zaidi. ( Anapiga na kudumbukiza.).


3/.Wanafanikiwaje kudumbukiza wakati Kuna Mawakala?.


4/ Wakala wa Upinzani kwanza,( mawakala wote) hushawishiwa Kwa Pesa, yaan anapewa Rushwa ili atulize mdomo.


5/Wakala akiwa mbishi, Kuna chakula au kinywaji huletwa, Ndani ya Vyakula au vinywaji huwekwa 'dawa za usingizi' akila kazi imeisha.

6/ Wakala asipokula kile chakula, Msimamizi wa Kituo huanzisha Fuji Kwa Wakala na Kwa makusudi huku akipiga Simu Polisi kua 'Kuna MTU analeta Fujo.( Simmesikia Kuna mawakala wa Upinzani wamefanyiwa Fujo'?)

7/ Polisi hufika na kumchukia Wakala na kumpeleka korokoroni, na ataachiwa baadae wakati ambapo tayari wizi wa haki ya kura umefanyika.( Sinamsikia Kuna mawakala wamebebwa na Polisi wengine wameheruhiwa mbele ya Polisi).


Rai yangu Kwa Upinzani, Msikomae tu kulinda kura hapo Nje, VITA INATAKIWA IWE NDANI YA CHUMBA CHA KUPIGA NA KUHESABU KURA, HUKO NDIKO WIZI UNAFANYIKA.


Ningewawekea hapa AUDIO RECORD , ya Maneno ya Mwalimu na Mimi.,, lkn najua wapuuzi wale watamuachisha kazi.
Nimeandika uzi wenye maudhui kama haya lakini ni kwamba kura fake huwa wanaingia nazo walioandaliwa, na tatizo la mawakala ni kweli wanafuata posho tu wengi wao hawajui kazi yao mule ndani, kura fake zinaingizwa kwenye masanduku mbele yao na wakati ni mbinu ndogo tu ukitumia kila anayepiga kura unaandika namba mpaka mwisho, na unamwambia kabisa msimamizi ajuwe tuthesabu wanaopiga kura na tukianza kuhesabu kura idadi ya kura ilingane na waliopiga kura.
 
Wajipange vizuri Kwa kuwa na Sera na itikadi zenye mvuto, uongozi wa mfano Kwa kujitoa hata kabla hawajapata kofia za kiutawala au kusubiri nyakati za kampeni, kubuni mbinu za kusolve matatizo ya wananchi kupitia kile kidogo walichojaaliwa nacho Kwa kujitoa Kwa Hali na mali na kushirikiana na chama tawala kwenye shughuli zenye maslahi mapana ya taifa na si vinginevyo.

Chama Cha Mapinduzi hakijazubaa kimejipanga kweli kweli, wananchi wanaona ni afadhali na rahisi kupambana na kiongozi mbovu ndani ya Chama imara kuliko kufanya maamuzi ya kimageuzi bila kuwa na uhakika wa uhai wa maono msingi ya kimageuzi. Tusidanganyane

Demokrasia ni tunu ya taifa, ni wajibu wetu kuilinda hata Kwa nyakati zile ambazo karibia wote tutakua na mfanano wa kiitikadi.Hii ni Kwa maslahi mapana na maendeleo ya taifa letu. Uimara wa Chama tawala unategemea saaana vyama vya upinzani. Tunajenga nyumba Moja.. yangu ni hayo!!
 
Nimeandika uzi wenye maudhui kama haya lakini ni kwamba kura fake huwa wanaingia nazo walioandaliwa, na tatizo la mawakala ni kweli wanafuata posho tu wengi wao hawajui kazi yao mule ndani, kura fake zinaingizwa kwenye masanduku mbele yao na wakati ni mbinu ndogo tu ukitumia kila anayepiga kura unaandika namba mpaka mwisho, na unamwambia kabisa msimamizi ajuwe tuthesabu wanaopiga kura na tukianza kuhesabu kura idadi ya kura ilingane na waliopiga kura.
IDADI YA KURA, ILINGANE NA WALOPIGA KURA.

CHADEMA WAICHUKUE HII
 
UPINZANI Kushiriki uchaguzi wa Tanzania, ni upotevu wa Muda usokua na faida .
Nime kuelewa hapo juu, lakini hapa chini nimeshindwa kabisa kuelewa.

Una maana hao wapinzani hawawezi kufanya lolote katika kuzuia hayo uliyo eleza mwalimu kaya sema?
Sasa una semaje, wapinzani wasiwepo; au hata wakiwepo wasijishughulishe kabisa na maswala ya uchafuzi?

Sasa matarajio yetu kama nchi tuyaweke wapi; hadi hapo CCM atakapo amua kutuonea huruma?

Mimi naona wazi kabisa, kwamba hayo aliyo kueleza mwalimu ni mambo ambayo uinzani wanaweza kabisa kuyadhibiti wakiamua kujiangdaa vizuri; hata hii 202 202
 
Wajipange vizuri Kwa kuwa na Sera na itikadi zenye mvuto, uongozi wa mfano Kwa kujitoa hata kabla hawajapata kofia za kiutawala au kusubiri nyakati za kampeni, kubuni mbinu za kusolve matatizo ya wananchi kupitia kile kidogo walichojaaliwa nacho Kwa kujitoa Kwa Hali na mali na kushirikiana na chama tawala kwenye shughuli zenye maslahi mapana ya taifa na si vinginevyo.

Chama Cha Mapinduzi hakijazubaa kimejipanga kweli kweli, wananchi wanaona ni afadhali na rahisi kupambana na kiongozi mbovu ndani ya Chama imara kuliko kufanya maamuzi ya kimageuzi bila kuwa na uhakika wa uhai wa maono msingi ya kimageuzi. Tusidanganyane

Demokrasia ni tunu ya taifa, ni wajibu wetu kuilinda hata Kwa nyakati zile ambazo karibia wote tutakua na mfanano wa kiitikadi.Hii ni Kwa maslahi mapana na maendeleo ya taifa letu. Uimara wa Chama tawala unategemea saaana vyama vya upinzani. Tunajenga nyumba Moja.. yangu ni hayo!!
Ume jichanganya sana aisee, hata inasikitisha kukusoma hata kwenye maeneo yanayo kubalika kirahisi
 
Nimeandika uzi wenye maudhui kama haya lakini ni kwamba kura fake huwa wanaingia nazo walioandaliwa, na tatizo la mawakala ni kweli wanafuata posho tu wengi wao hawajui kazi yao mule ndani, kura fake zinaingizwa kwenye masanduku mbele yao na wakati ni mbinu ndogo tu ukitumia kila anayepiga kura unaandika namba mpaka mwisho, na unamwambia kabisa msimamizi ajuwe tuthesabu wanaopiga kura na tukianza kuhesabu kura idadi ya kura ilingane na waliopiga kura.
Lakini kumbuka pia ume kwisha elezwa kwamba kuna 'options' nyingi nyingine za kumwondoa huyo mkorofi; kama kuitiwa polisi, au kujazwa mifuko yake.
Maana ya hili ni kwa CHADEMA kuwaanda vyema watu wao kungali mapema sana ili kupata watu waaminifu kwa chama chao. Kuwaondosha na polisi, kuna kikomo chake, maanake kama asili mia hamsini ya watu wao wanaenguliwa kwa njia hiyo; itakuwa ni wazi mno.
Sijui, lakini kuingia na simu haijawa makosa, au?
Na, je, kuna njia ya kuhakikisha idadi ya fomu za wapiga kura zinazo pelekwa kituoni kabla ya upigaji wa kura?

Huko nje ya chumba/nyumba ya kupigia kura, hakuna njia ya ku'monitor' ni watu wangapi wameingia kwenye kituo hicho?
 
Nilishawahi kuwa msimamizi mkuu wa kituo cha kupia kura mwaka 2015 na 2020

Kwenye semina huwa kuna maelekezo yanatolewa na wakuu

Ole wako utangaze mshindi kutoka chama pinzani kwenye kituo chako

UNAHAKIKISHIWA USALAMA ENEO LA TUKIO😂
 
IDADI YA KURA, ILINGANE NA WALOPIGA KURA.

CHADEMA WAICHUKUE HII
Screenshot_20241128_104726_WhatsApp.jpg

Shemeji yenu kaileta hiyo. Hapo hata magazijuto hafui dafu!
 
ile off ya Namba 1 niliitumia kumchapa nao shemeji yenu kisawasawa nitapiga kura za digital zikishakuja
 
Hiyo fomu hapo juu imenifanya nicheke. Lakini hii ndio tunapewa taarifa watanzania hatujui hesabu. Nimeipenda
Turudi darasani
 
Back
Top Bottom