Namna gani naweza kutengeneza pesa mtandaoni?

huku jf kuna ng'ombe zipo tu basi kwavile zinataka zionekane zinachat hazichangi kitu. Alafu kuna punda hazina ushaur kaz kusoma coment au waandike ngoja wajuz waje.
 
Mkuu kama hutojalii naomba unimegee ujuzi wko kuhuxu forex nataman xana kujion forex
 
Mkuu kama hutojalii naomba unimegee ujuzi wko kuhuxu forex nataman xana kujion forex
Nakubali wito mkuu.

Lakini mimi si mentor, hivyo siwezi nikakuahidi mengi sana juu ya hili.

Unaweza ukatafuta telegram @lysonGN

Nitajitahidi kukumegea kile kidogo nilichonacho

Karibu.
 



Nunua computer yako binafsi yenye software ya kutengenezea hela na kama hakuna hizo softwares, dukani zipo nyingi tu zinauzwa. Then Google any currency uitakayo kisha chapisha uishi kitajiri na wewe.
 
1. Build a Niche Blog (or Website) and Use Affiliate Marketing
2. Launch and Grow a Startup
3. Build and Sell Software
4. Start an eCommerce Site and Sell Physical Products
5. Find Freelance Clients and Sell Your Services
6. Start Online Coaching and Sell Your Advice
7. Create Online Courses to Productize Your Knowledge
8. Launch a YouTube Channel to Entertain and Educate
9. Record a Podcast and Share Inspiring Stories

10. Join a Remote Company Part-Time (or Full-Time)
12. Narrate Audiobooks
13. Write and Sell an eBook (Amazon Self-Publishing)
14. Do Micro-Jobs on Amazon Mechanical Turk
15. Join a Freelance Network (Like Upwork, or Fiverr)

16. Sell Your Services on Niche Sites Like 99Designs, Cloudpeeps or TopTal
17. Do Graphic Design for Local Companies
18. Email Marketing with a Niche Newsletter (The Skimm, Mister Spoils)
19. Sells Products on a Shopify Store
20. Sell Your Crafts and Art on Etsy

21. Become an Influencer on Instagram
22. Sell Your Art and Designs on Society6
23. Local Business Consulting
24. Sell Stock Photos Online
25. Rent Your Home or Room on AirBnB

26. Start an Online T-Shirt Business
27. Sell Your Expertise on Clarity.fm
30. Get a Commission-Only Sales Gig
31. Teach Kiswahili as a Virtual Tutor

32. Guest Post as a Freelance Writer for Niche Websites
33. Write on Medium’s Partner Program
34. Help People with Their Tax Prep

35. Transcribe Audio and Interviews

36. Proofread Articles
37. Private Labelling and Selling Products on Amazon
38. Online Travel Consultant
39. Do Virtual Odd Jobs on TaskRabbit
40. Clean Up Search Engines
41. Enter Online Contests for Company Names and Slogans

42.
43.
44.
45.
46
...
....
.....
......
.......
.........
...........
..............
 
huku jf kuna ng'ombe zipo tu basi kwavile zinataka zionekane zinachat hazichangi kitu. Alafu kuna punda hazina ushaur kaz kusoma coment au waandike ngoja wajuz waje.
Khaa..!! Mkuu kwani unateseka..!?[emoji23][emoji23]
 
Nakubali wito mkuu.

Lakini mimi si mentor, hivyo siwezi nikakuahidi mengi sana juu ya hili.

Unaweza ukatafuta telegram @lysonGN

Nitajitahidi kukumegea kile kidogo nilichonacho

Karibu.
Hivi ni kwanini nyinyi watu wa fx mnatumia telegram tu..!!
 
Naitwa Mussa Zaganza ,nawasaidia wajasiriamali kunasa wateja kwa kutumia internet
: Nimebuni mfumo nimeuita smaku ya mtandao👆
: Huu no mfumo wa kukusanya taarifa za wateja watarajiwa ikiwemo email na namba za simu ,kisha mjasiriamali anaanza kujenga uaminifu kwa kuwapa elimu bure juu ya bidhaa zake ikibidi na ofa
. Kunasa ni kuwa na page ya kucollect taarifa za wateja watarajiwa (lead) kisha unaconvert lead kuwa customers
Bonyeza link hii:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…