Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Makame nahisi wa kule pemba eeh
Mbona wapemba ndio wanajua kutoa machogo hlf vichwa vinakuwa flat
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makame nahisi wa kule pemba eeh
Inawezekana wana Mungu wao anawaumba hivyo, Kama wapo humu walete majibu,au urojoMay be Kuna njia nyingine ambayo ni salama. Tuwaulize Wazanzibari maana hawa ndugu zetu hawanaga machogo sijui wanafanyaje
JF raha sana, unapata elimu kwa mb za ofa.Mkande na maji ya vuguvugu kwa kutumia kitambaa laini.
Wakati wa kumkanda unamkand kwa namna ya kuweka kichwa sawa (kama unakishape hivi). Hiyo ya kumlaza mtoto mchanga chali siyo salama mkuu, anaweza cheua maziwa yakampalia akafariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine wanasema kumlaza chali mtoto ni hatariWengine kinaisha chenyewe
Wengine wanatengeneza mto hlf ndani wanaweka mchanga laini,mtoto analazwa chali
Wengine wanatengeneza kimto kinaingia kwa ndani kma kimtungi ili kichogo kizame
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu hicho,mtoto akimaliza kunyonya unatakiwa umuweke begani ili acheue yan atoe gesi then analazwa
Akishawekwa begani akacheua then analazwa vipi,Hamna kitu hicho,mtoto akimaliza kunyonya unatakiwa umuweke begani ili acheue yan atoe gesi then analazwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka ajekuwa analalamika lalamika!
Wale Wana manywele mengi vile...Hicho kichogo utakiona wapi?.Wahind na wazungu na wachina ushamwona hata M1 anachogo?
Sio useme huwa wanakali...tuanze na babaake eti baba Makame Idris wewe mwenye chogo, je unakili?Muache akuwe nalo mkuu tena hao wenye chogo huwa na akili sana
Kuna mtu hua ananiita "my love wangu"..mwanzo nilikua namshangaa lakini saiv nimezoea
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili kila mtu anazo za kutosha Ila matumizi yake ndio yanatofautianaKichogo ni kama Lumbesa katika gunia la mahindi, sasa mshukuru Mungu mwanao kupewa.lumbesa ya ubongo, atakuwa na akili huyo,[emoji1787]
Ninazo ila hazikidhi hajaSio useme huwa wanakali...tuanze na babaake eti baba Makame Idris wewe mwenye chogo, je unakili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamlaza chali
Mzanzibar eti eeeh?
Sawa Idris my brother wanguSasa mimi nimeandika my yf wangu kwa kujifurahisha tu japokuwa kweli inglishi sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana[emoji1]Nshawai kuwa na bf alikua nachogoo balaaa...Alafu alikua na upara. Kila nlivyokua nakiangalia kile kichwa ndo jinsi Mapenzi yalivyokua yanapungua
Sent using Jamii Forums mobile app