Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Hata sijakasirika mkuu. Kuna staff mwenzangu nilikuwa nafanya kazi sehem tukapewa nyumba tukaishi staffs karibia nane kila mmoja na chumba chake. Jamaa alikuwa anafua mashuka na nguo usiku anazikausha kwa kutumia feni ya umeme. Zile feni za kusimama aiseeeee. Hapo ndo nilijua ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi.Umeandika kwa hasira sana..pole Sana.
πππ Huyo staff mwenzio alizidi aisee.Hata sijakasirika mkuu. Kuna staff mwenzangu nilikuwa nafanya kazi sehem tukapewa nyumba tukaishi staffs karibia nane kila mmoja na chumba chake. Jamaa alikuwa anafua mashuka na nguo usiku anazikausha kwa kutumia feni ya umeme. Zile feni za kusimama aiseeeee. Hapo ndo nilijua ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi.
Asante kwa kweli inaweza kutumika kupikia vingi,nimekuta hii piaHadi keki unapika. Kuna recipe nyingi tu kama ukiwa mpenda kula. Na ni rahisi sana. Ingia pinterest tafuta "rice cooker recipes " halafu utaona mwenyewe.
Tena kama hiyo Banana bread ni tanu kweli kweli halafu inashibisha kichizi.Asante kwa kweli inaweza kutumika kupikia vingi,nimekuta hii pia
13 Things to cook in a rice pot!
Kwenye Rice cooker, ikishajifyatua na kujiweka kwenye "warm" unaweza geuza kwa mwiko, sasa hili inakuaje?!Hii hapa multi coocker unaipata maduka ya vyombo vya ndani na umeme. Inapika maharage, wali na vitu vya kuchemsha viazi, nyama, samaki makande. Ukija kulichunguza vizuri ni pressure coocker la umeme maana sufuria yake huwa ni ngumu na nzito imetengenezwa na aluminium nzito sana hairuhusu mvuke kupita kwa urahisi. Sawa kabisa na pressure coocker inayotumika kwenye gesi.View attachment 1461362
@Saint Ivuga achana kabisa na sisi wabongo.Rice cooker au pressure cooker?
Hakunaga pressure cooker ya kupikia kwenye gesi?
Mmhh unapikia samaki kwenye pressure cooker SI watatoka rojoHii hapa. Mm natumia pressure coocker kupikia vyakula vigumu. Nyama, maharage, wali, makande, samaki na vingine vingi kwa haraka kabisa. Nikihamishwa kazi kitu cha kwanza kuweka huwa ni presha coocker nguo ndo zinafata.View attachment 1460566
AiseeeMkuu ushawahi kuchemsha magimbi/ndizi kwenye electric kettle? [emoji38][emoji38]
[emoji2398]α΅Κ³α΅α΅α΅ [emoji769]
[emoji120][emoji120]Kama rice cooker yako ina ichokitu unaweza fanya steaming unaweka ata kuku apo juu au nyama ina ivaa ayo nimatumizi sahihi pia ya hyoo kituView attachment 1460593View attachment 1460594
Mpira wake utapata kwenye maduka ya vyombo vya mtumba....Hii presha coocker ni nzuri sana. Kwa gesi na mkaa. Ila gesi ndo sana zaidi. Maana gesi ni cheap na efficient zaidi. Ina safety pin kuonyesha kuwa mfuniko upo tayari kwa kufunguliwa kwa usalama wako.
Ninayo mm kama hiyo. Ninafanya kazi ya kuhamishwa hamishwa mara nyingi. Nikipokea barua ya uhamisho cha kwanza nafikiria nasafiri vipi na hiyo presha. Tangu nipo college nayumba nayo. Sema mpira wake umeanza kulegea. Najipanga kununua nyingine kubwa zaidi maana natarajia kupata familia.View attachment 1460626
Mkuu kwa maduka ya vyombo nayoyajua labda kama wameeanza kipindi hiki kuleta mipira. Mm tangu nazaliwa namkuta baba na mama wanatumia presha coocker. Baba alikuwa analalamika sana kwenye kununua mpira hasa pale presha coocker linapokuwa limetumika muda mrefu. Na mm nilipoanza kujitegemea nilienda kuishi dar.Mpira wake utapata kwenye maduka ya vyombo vya mtumba....
Timing. Afu presha coocker kitu kikisha chemka kikaiva mvuke unakuwa mwingi na safety pin unaona inainuka juu na vizibo vyake vinaanza kuzunguka na kupiga kelele.Mmhh unapikia samaki kwenye pressure cooker SI watatoka rojo
Ipo hata kwenye kuni unapikiaHakunaga pressure cooker ya kupikia kwenye gesi?
Safi...nami badae kdg ntaipikia mchemsho wa ndizi nyama,ngoja hang over ipungiue kdg.nipo napikia kande apa na jana nlipikia ndizi nyama
π Όπ Έπ »π Έπ[emoji742]ππ π Άπ ΄π ½π Έππ