Namna mvuto unavyo athiri maisha yetu

Namna mvuto unavyo athiri maisha yetu

Kwa akili yangu ya la saba B hexose monophosphate shunt hii ni reaction ndogo inayotokea wakati wa glycolysis (respiration) ambapo NADH na NADPH huzalishwa ambazo hutumika kwenye mchakato wa kutengeneza NUCLEIC ACIDS na AMINO ACIDS kumbuka nucleic acids ni DNA au RNA pia amino acids zipo za aina 20. Ribosomal RNA hubeba aina flani ya amino acids. Kivyovyote vile kukiwa na Hexose monophosphate deficiency tarajia NUCLEIC ACIDS na AMINO ACIDS kutozalishwa na hii itapereke cell membrane ya RBC kuwa weak hivyo basi plasmodium falciparum akiingia hataweza kukamilisha life cycle yake cell itaburst hii hali inasababisha mtu awe resistant to malaria infection

Katika mchakato wa respiration pale kwenye glycolysis huwa kunafanyika oxidation(dehydrogenation) yaani ile phospholyleted sugar inachomolewa ka hydrogen kamoja kisha kanadakwa na mjuba NADP na kuwa NADPH

Huu mchakato hufanyika kwa msaada wa enzyme iitwayo hexose monophosphate dehydrogenase na kazi ya hiyo NADH ni kusaidia michakato ya kutengeneza nucleic acid ikieemo RIBOSOMA RNA na amino acids

Hivyo basi kukosekana kwake kutaperekea hizo RNA na amino acids zisiwepo ambazo hutumika kujenga cell membrane ya RBC

Ikitokea wewe umedungwa na mbu jike aina ya anoheles basi utapata infection. Vijidudu aina ya plasmodium falciparum wataingia keenye blood stream wakikutana RBC watazama ndani chap.

Kikawaida plasmodium falciparum akiingia kwenye RBC hujizalisha kwa mtindo wa hatua moja moja (life cycle) mfano scizonts, sporozoids na merozoites

Kwa vile cell membrane ni weak itacreate pressure ambayo itasababisha cell membrane iburst kabla plasmodium hawajakomaa fresh

Hivyo basi huyo mtu atakuwa resistant to malaria

Hizo cell debris zitavunjwa vunjwa kuwa end products kama zikivunjwa kwa wingi utapata jaundice

Haya wewe nyau unasemaje na hako ka degree uchwara kako ka microbiology
Life cycle ya malaria umeikosea hadi naona aibu

Wewe mzee usione watu wana comment ujinga humu ukaweletea dharau

Nmetoka kutoa pineal region tumor na katoto kanapumua 😂😂 kesho kuna astrocytoma inanisubiri 😭

Hafu nmekuta umeandika upupu hapa

Mvuto mvuto mvuto mazafaken
 
Life cycle ya malaria umeikosea hadi naona aibu

Wewe mzee usione watu wana comment ujinga humu ukaweletea dharau

Nmetoka kutoa pineal region tumor na katoto kanapumua 😂😂 kesho kuna astrocytoma inanisubiri 😭

Hafu nmekuta umeandika upupu hapa

Mvuto mvuto mvuto mazafaken
Siku nyingine uwe na adabu usifikirie kila unayemuona kaanzisha uzi ni mjinga mjinga na ukaanza kujigamba umetoka kutoa pineal tumor mimi ninaweza nikawa ni chief wako hapo kazini kwako kazi yako ikawa ni kufanya suture tu ila mzigo napiga mimi nkimaliza nakuacha na madogo wa field au intern mmalizie malizie kushona ili mpate uzoefu sawa?

Naamini utakuwa umejifunza kitu bwana mdogo
 
Siku nyingine uwe na adabu usifikirie kila unayemuona kaanzisha uzi ni mjinga mjinga na ukaanza kujigamba umetoka kutoa pineal tumor mimi ninaweza nikawa ni chief wako hapo kazini kwako kazi yako ikawa ni kufanya suture tu ila mzigo napiga mimi nkimaliza nakuacha na madogo wa field au intern mmalizie malizie kushona ili mpate uzoefu sawa?

Naamini utakuwa umejifunza kitu bwana mdogo
Uwe chief wangu 😂😂😂

Wewe jamaa bwana unajua nchi nayofanya kazi

Haya bwana mzee wa mvuto

Mvuto mvuto uzi halina mvuto 😂😂
 
Siku nyingine uwe na adabu usifikirie kila unayemuona kaanzisha uzi ni mjinga mjinga na ukaanza kujigamba umetoka kutoa pineal tumor mimi ninaweza nikawa ni chief wako hapo kazini kwako kazi yako ikawa ni kufanya suture tu ila mzigo napiga mimi nkimaliza nakuacha na madogo wa field au intern mmalizie malizie kushona ili mpate uzoefu sawa?

Naamini utakuwa umejifunza kitu bwana mdogo
Hamna kitu chochote unachokijua

Kwamba wewe ni daktari

Sidhani kama huko Tanzania kuna madaktari Wajinga hivyo lasivyo mnaua ndugu zangu kila siku
. Daktari anaanzisha uzi wa mvuto

My ass 😂😂
 
Ribosoma RNA

MAFI yako 😂

Mimi ni daktari bingwa bobezi
wa watoto we mzee usione tunaandika pumba humu
Kwamba wewe ukiwa daktari basi wana JF wengine wote hawawezi kuwa madaktari? Hebu ficha ujinga wako
 
Hujajibu sickler ni nani?
Sickler ni mtu Mwenye sickle cells
Hbc na Hbf hujajibu

Umejitahidi ku Google monophosphate shunt kazi nzuri

Ila umesahau roles za glutathione kwamba NADH tunazitaka kwa ajili ya glutathione ifanye kazi yake muhimu sana ya ku deal na reactive oxygen species

Sicklers au watu wenye sickle cell traits na sio wenye disease wanakua protected sababu ROS ina accumulate na automatically hakuna glutathione sababu hakuna NADPH

Kuhusu disease ni research naifanya na ntapresent kwa wazungu mwezi wa nane😂😂
Na akili kuliko ukoo wenu mzima

Hbf ni nzuri ina prevent precipitation wewe mjinga Mwenye akili
Hamna mtu Mwenye degree ya microbiology anajua hivi vitu

Kichwa kama orbicularis oculi
Wewe umefanya literature review mimi nmetumia madensa ya kichwani.

Nikushauri tu jitahidi uhamie wizarani hapo ulipo hapatoshi utakufa masikini.
 
Wewe umefanya literature review mimi nmetumia madensa ya kichwani.

Nikushauri tu jitahidi uhamie wizarani hapo ulipo hapatoshi utakufa masikini.
Wewe kichwa mbuzi nina hela kuliko wewe na ukoo wako wote leta namba nku wire haraka sana

Unajua unanikera mvuto mvuto fakeni

Mvuto ni pesa young man
 
Hamna kitu chochote unachokijua

Kwamba wewe ni daktari

Sidhani kama huko Tanzania kuna madaktari Wajinga hivyo lasivyo mnaua ndugu zangu kila siku
. Daktari anaanzisha uzi wa mvuto

My ass 😂😂
Mimi sihitaji kwenda chuo hua naoteshwa na mizimu ya babu zangu wa chitoholi naota kila kitu

Hata hayo niliyoandika nmeoteshwa na mizimu

Nikutakie kila lakheri ndg daktari
 
Mimi sihitaji kwenda chuo hua naoteshwa na mizimu ya babu zangu wa chitoholi naota kila kitu

Hata hayo niliyoandika nmeoteshwa na mizimu

Nikutakie kila lakheri ndg daktari
Haya kila la kheri ndugu mvuto
 
Back
Top Bottom