Namna mvuto unavyo athiri maisha yetu

Life cycle ya malaria umeikosea hadi naona aibu

Wewe mzee usione watu wana comment ujinga humu ukaweletea dharau

Nmetoka kutoa pineal region tumor na katoto kanapumua πŸ˜‚πŸ˜‚ kesho kuna astrocytoma inanisubiri 😭

Hafu nmekuta umeandika upupu hapa

Mvuto mvuto mvuto mazafaken
 
Siku nyingine uwe na adabu usifikirie kila unayemuona kaanzisha uzi ni mjinga mjinga na ukaanza kujigamba umetoka kutoa pineal tumor mimi ninaweza nikawa ni chief wako hapo kazini kwako kazi yako ikawa ni kufanya suture tu ila mzigo napiga mimi nkimaliza nakuacha na madogo wa field au intern mmalizie malizie kushona ili mpate uzoefu sawa?

Naamini utakuwa umejifunza kitu bwana mdogo
 
Uwe chief wangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wewe jamaa bwana unajua nchi nayofanya kazi

Haya bwana mzee wa mvuto

Mvuto mvuto uzi halina mvuto πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hamna kitu chochote unachokijua

Kwamba wewe ni daktari

Sidhani kama huko Tanzania kuna madaktari Wajinga hivyo lasivyo mnaua ndugu zangu kila siku
. Daktari anaanzisha uzi wa mvuto

My ass πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ribosoma RNA

MAFI yako πŸ˜‚

Mimi ni daktari bingwa bobezi
wa watoto we mzee usione tunaandika pumba humu
Kwamba wewe ukiwa daktari basi wana JF wengine wote hawawezi kuwa madaktari? Hebu ficha ujinga wako
 
Wewe umefanya literature review mimi nmetumia madensa ya kichwani.

Nikushauri tu jitahidi uhamie wizarani hapo ulipo hapatoshi utakufa masikini.
 
Wewe umefanya literature review mimi nmetumia madensa ya kichwani.

Nikushauri tu jitahidi uhamie wizarani hapo ulipo hapatoshi utakufa masikini.
Wewe kichwa mbuzi nina hela kuliko wewe na ukoo wako wote leta namba nku wire haraka sana

Unajua unanikera mvuto mvuto fakeni

Mvuto ni pesa young man
 
Hamna kitu chochote unachokijua

Kwamba wewe ni daktari

Sidhani kama huko Tanzania kuna madaktari Wajinga hivyo lasivyo mnaua ndugu zangu kila siku
. Daktari anaanzisha uzi wa mvuto

My ass πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi sihitaji kwenda chuo hua naoteshwa na mizimu ya babu zangu wa chitoholi naota kila kitu

Hata hayo niliyoandika nmeoteshwa na mizimu

Nikutakie kila lakheri ndg daktari
 
Mimi sihitaji kwenda chuo hua naoteshwa na mizimu ya babu zangu wa chitoholi naota kila kitu

Hata hayo niliyoandika nmeoteshwa na mizimu

Nikutakie kila lakheri ndg daktari
Haya kila la kheri ndugu mvuto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…