Namna nilivyofunga ndoa kwa harusi nzuri na kubwa (ya ndoto yangu) bila kuchangisha wala kukopa

Kha!kha!,eti mia ya mtu mbovu.
 
Mimi nimeshaweka cap ni watu 50 wengind watashuhudia mapicha mitandaoni

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi nyimwa mke wakati wameshakubali mahari

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Wasalaam,

Kuna wadau wanaumizwa sana na madeni ya harusi baada ya kufunga ndoa, inampelekea mtu mpaka muda wa miaka minne akilipa tu deni la harusi ya ndoa yake.
Nami najipanga kimyakimya.
Nishatangaza nia na taratibu zinaendelea kimyakimya.

Kama watachanga ni sawa
Ila binafsi Naandaa 2 Million.
 
Mwisho wa siku watu tunatofautiana sasa ukute familia yenu inachangia harusi na sherehe za watu mara kwa mara unawezaje kuwaambia wazazi wako eti sitaki michango wakati wao wanachanga na ww ni kijana wao pekee lazima sherehe yako inoge bwana maana ukitoka hapo sherehe nyingine utafanyiwa ukiwa ndani ya jeneza.

 
Umemaliza. Na hiko ndo hufanya wazazi wagome. Kwetu mabinam wengi wamekua wakigomea lakini wapi. Halipiti. Yaan lazima watu wale na kunywaa. Kila mtu anataka high table wewee[emoji28][emoji28]
Nilikua sitaki sherehe at first ila baada ya kujitathmini sana basi niseme tuu natakaka nataka nataka tena sherehe[emoji28][emoji23][emoji23]
 
Nami najipanga kimyakimya.
Nishatangaza nia na taratibu zinaendelea kimyakimya.

Kama watachanga ni sawa
Ila binafsi Naandaa 2 Million.
Inatosha kabisa, cha muhimu hakikisha mambo mengi unasimamia wewe na si kamati kubwaaaa, kamati yako iwe ndugu zako unaoona wana ubahili fulani
 
Watu wengi familia zao zimejitenga hazina ushirikiano ndio maana wanafanya sherehe kwakuogopa kuchangisha ila kama familia ina watu michango lazima na sherehe lazimaa
 
Inatosha kabisa, cha muhimu hakikisha mambo mengi unasimamia wewe na si kamati kubwaaaa, kamati yako iwe ndugu zako unaoona wana ubahili fulani
Sawa mkuu.
Ila hapo umesema mambo mengi nisimamie mm. Sasa nikisimamia mm si kamati itaonekana naingilia majukum yao?

Fafanua hapo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…