Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kristo mwokozi, uko wapi nikununulie mbudimbudi[emoji23]Watu wengi familia zao zimejitenga hazina ushirikiano ndio maana wanafanya sherehe kwakuogopa kuchangisha ila kama familia ina watu michango lazima na sherehe lazimaa
Embu njoo hapa msasani chaaap[emoji23]Kristo mwokozi, uko wapi nikununulie mbudimbudi[emoji23]
Naenda kkoo kukusanya hela madukani za harusi hapa[emoji23][emoji23]Embu njoo hapa msasani chaaap[emoji23]
Naenda kkoo kukusanya hela madukani za harusi hapa[emoji23][emoji23]
Hujawahi kwenda zenji kwani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa manka ukitoka huko pitia hapa four ways mara moja tuijadili hiyo michango..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tufanye kinachoupa moyo furaha nadhani tusimamie hapo hapo [emoji173]Hujawahi kwenda zenji kwani?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sasa ni ya dogo siyo dear ex.
Maisha ni hayahaya jamani. Fanya kinachoupa moyo wako furaha
[emoji23][emoji23][emoji23] tokaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tufanye kinachoupa moyo furaha nadhani tusimamie hapo hapo [emoji173]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji482][emoji23][emoji23][emoji23] tokaaa
Asante sana mkuuSafi sana. Fanya hivyo mkuu, epuka sana madeni.
Shukrani na ninakutakia baraka zaidi.
Umenena vyema sana, harusi ya gharama nafuu inawezekana na bado watu wakaona thamani ya walichochangia. Wakati huo umesevu sana kwenye bajeti kuu.Kila nikiwaza Yesu mwenyewe alialikwa na mamaye kwenye Harusi ya kana na bado akafanya maajabu baada ya pombe kuisha kwa kubadili maji kuwa mvinyo mimi ni nani nikatae sherehe[emoji28]
Hii hela ya wanakamati inapangwa na wanakamati, huwezi kuigusa wala kuipunguza. Matumizi unayoyaona pale yameandikwa kwenye kitabu baada ya harusi wanakamati wanataka mchanganuo.Kila nikiwaza Yesu mwenyewe alialikwa na mamaye kwenye Harusi ya kana na bado akafanya maajabu baada ya pombe kuisha kwa kubadili maji kuwa mvinyo mimi ni nani nikatae sherehe[emoji28]
Ila all in all...
Mimi nina wazo moja, binamu yangu alifanyiwa kitchen party ya 60mil. Alinunuluwa kila kitu cha ndani mpaka kitanda. Kila kitu namaanisha.
Sendoff ikawa 80 something. Yaani zote zilikua kubwa. Na mapombe yalibaki uzuri siku hizi watu hawamind sana yale mambo ya kuvunja kamati. Kwahiyo mapombe yakaishia pelekwa kwenye mabiashara yao huko ya bar. Nipende kuwaeleza tu kwamba, harusi haikufika mwaka. Binam yangu matatuzo na mume matatizo.
Binam hakua na ajira rasmi. Mume akapunguzwa mzigoni. Mnaelewa nachomaanisha hapa.
Na baba mtu alishasema mm nimeshamsendoff binti kwahiyo hanihusu tena. Binti yuko mitaani tu jamani.
Funzo ambalo tulilipata baada ya hapo, hela inayopatikana usiimisuse. Mnakua na mwekahazina wa familia mulioshibana. Tuseme shughuli ni ya milion 50 basi piga pande hata mil 20 ama nisu kbs. Yaan mwisho wa siku kuna maisha baada ya hapo ukumbini. Angekua angalau wamepiga pande hata mil 40 ikabaki 40 bado sendoff ingekua kubwa sana. Now she has lost both husband and unemployed. Its life though. Ila tujitafakari juu ya hili. Yangu naweza jikuta nakua mweka hazina mwenyewe ama babangu ama mamangu[emoji23]
šššššHii hela ya wanakamati inapangwa na wanakamati, huwezi kuigusa wala kuipunguza. Matumizi unayoyaona pale yameandikwa kwenye kitabu baada ya harusi wanakamati wanataka mchanganuo.
Best yetu alifanyiwa harusi kama ya 100m hivi, baba yake proffessor wana kamati zao. Baada ya harusi jamaa hana hata shs 100 na bado anadaiwa.
sasa jamaa anadaiwa kiaje!? sijaelewa mbungi iliyochezwa hapo!Hii hela ya wanakamati inapangwa na wanakamati, huwezi kuigusa wala kuipunguza. Matumizi unayoyaona pale yameandikwa kwenye kitabu baada ya harusi wanakamati wanataka mchanganuo.
Best yetu alifanyiwa harusi kama ya 100m hivi, baba yake proffessor wana kamati zao. Baada ya harusi jamaa hana hata shs 100 na bado anadaiwa.
Ndugu, hii huwa ni mipango. Hilo unapaswa kulijua. Yawezekana kwenu halieezekani, ila kwa wengine lawezekana. Na wengi wameshagundua hii mbinu. Isipokua tuu wale wanaotaka sifa. Labda kuwe na deficit. My family friend walifanya ya mil 56, humo ndani ilipigwa hela ya kutosha. Nilimshauri kbs tusije kuumbuka km binam yangu. Nikamuelekeza ampange babake mapema. It worked. Wazazi wameshaona hili tatizo. Kamati walitoa mil 7. Lkn bado ziko nyingine zilipigwa. Kuna vikundi vya wazazi vilikua vinne. Kila kimoja kilitoa mil 2. Kuna vikundi vingine ikiwemo primary na akina mama na wagrni waalikwa plus zilizopigwa shost angubaliondoka na 33mil jumla. Hakuna kukaa kizembe.Hii hela ya wanakamati inapangwa na wanakamati, huwezi kuigusa wala kuipunguza. Matumizi unayoyaona pale yameandikwa kwenye kitabu baada ya harusi wanakamati wanataka mchanganuo.
Best yetu alifanyiwa harusi kama ya 100m hivi, baba yake proffessor wana kamati zao. Baada ya harusi jamaa hana hata shs 100 na bado anadaiwa.
Mungu atamfungulia tuu naamini jamani. I always feel soo bad on her behalf. Atakua sawa tuUmenena vyema sana, harusi ya gharama nafuu inawezekana na bado watu wakaona thamani ya walichochangia. Wakati huo umesevu sana kwenye bajeti kuu.
Pole sana kwa ndugu yako. Maisha hayana formula. Ninaiona kesho yake ambayo ni njema kabisa.
Unashauri aache kuiga wazungu kufanya sherehe lakini hapo hapo unashauri sherehe ziishie kwenye makanisa yaliyoletwa na hao wazunguUjinga tuu...rudini katk asili zenu, achen kuiga uzungu, mwishoe mnaarbu mambo kwa kuendekeza udunia na uzungu...simply harusi ilitakiwa imalizikie uko ibadani ambapo mkishafunganishana mapete, bas kila mtu atawanyike arudi kwake huku ninyi mliooana mnaenda magetoni/nyumban kuifaid ndoa, hizo habar za maukumbi na mapicha picha hotelin ni mbwembwe zakijinga ambazo lengo lake ni kuwafuraisha watu kwa siku moja, uku wew ukipukutika pesa na kubaki mtupu zaid ya kumilik picha zisizo na maana.....
Kuna umuhimu wa sie african kuachana na hizi mbwembwe za masherehe yasiyo na maana, hasa ukiwa na akili timamu na mwenye uchungu wa pesa, ni lazma ujue kusave money kwa kupuuza na kuachana na mambo yasiyo ya msingi il kupata furaha ya siku moja, mimi hata nikichangiwa pesa ya kufanya shughuri ya harusi, nitaandaa kamati alafu itakuja na majibu kiwa pesa zote nikafanye mtaji, na wote mliotoa.
Asanteni kwa Moyo wenu muendelee hivo hivo, but siku ya harusi tukutane kanisan/msikitini mapema sana saa3 asubuh alafu saa4 kila mtu aendelee na mishe zake za muhimu, hakuna hata kupoteza muda, siku hiyo hata mm nktoka kumvisha pete mtoto wa watu mchana wake nitaenda shamba kuandaa mavuno...hakuna kuendekeza ujinga[emoji41][emoji41][emoji41]
UmeniachaAah weee.. mimi siyo muanjo ndugu yangu[emoji28][emoji28] miye muorombo pure breed. Mangi wangu mwingine kabisa. Ila ndo hivyo, bia, pombe kali. Nyama za kutosha ndo kauli mbiu hasa uvirii. Si unaujua uviri lakini eh?