Namna nilivyonusurika kufa kwenye ajali ya gari, Bongo unakufa huku unajiona

Bila kitu kidogo pale taifa unaachwa hivihivi
Manesi wodini wana nyodoo,nlishuhudia anachambana na mgonjwa kisa mgonjwa mwingine
,mtu anakaa Analia emergency kuanzia asubuhii mpaka usiku.kama hana bima ndo kabisaa
Xray utapanga foleni asubuhi mpk SAA kumi ndo utapata.
Wale wanaowaacha wagonjwa wao walio katika hali mbaya sana wodini wajitafakari..wale wahudumu sio.
Kuna bibi alikua anabanwa kifua nadhani,anapiga mayowe...we dokta wee njoo.manesi wanajua anasumbua tu.najiuliza why hawampi attention maana ni mzee sana pia.basi alipiga kelele kama dakika kumi akaja dokta aliekua anamuhudumia siku nzima.ni mwanaume.
With smile anamsikiliza akagundua pumzi zinapotea,ndo manesi wakaanza kukimbizana huku na kule kusogeza mitungi,wanampush kifuani,mara wafunge pazia.but it was too late.wakamtoa na kumpeleka kwenye korido kafunikwa.
Nkajiuliza wangewahi so wangeokoa uhai wa huyu bibi.nusu saa wanampuuza?
It was sad.
Nimeshuhudia kwa macho yangu
 
Unachosema ni kweli, niliwahi peleka mtoto hospitali ya serikali kidokta kinachati huku kinaandika, na mtoto alikuwa anahema kwa shida.

Nikamuuliza dokta mbona unaandika hata mtoto hujamuangalia, akataka kumgusa bahati mbaya nina hasira sana nikabeba mtoto nikampeleka private.
 
Kwenye hospitali za serikali za wilaya hizi kuna vidokta vinesi nesi vidogo vidogo vina dharau kweli, na visimu vyao vya infinix.
 
YanI bongo nyoko,yani umetoka kuzungumzia uvivu wa wabongo,na jamaa naye kaamua kuonyesha hapa practicaly.
 
Nchi gani iyo bro please itaje
 
Bila kitu kidogo pale taifa unaachwa hivihivi
Sasa ni wangapi wanakufa kwa uzembe na ujinga kama huu kwa mwaka?
 
Kwenye hospitali za serikali za wilaya hizi kuna vidokta vinesi nesi vidogo vidogo vina dharau kweli, na visimu vyao vya infinix.
Hahahaaha kamoja kaliniambia boss kuna kifaa hapa cha kuvaa kwenye goti kinauzwa laki saba lete hela boss tukuchongee ili uwe unatembea fresh😂😂😂 daaah yaani ata uwezo wa kufikiria ni mdogo sana jamaa hao.
 
Ni wanafunzi wanatoka muhas nadhani.wanawekwa field kwenye ishu serious nadhani..
Au wale wa kujitolea.
 
Bila kitu kidogo pale taifa unaachwa hivihivi

Sasa ni wangapi wanakufa kwa uzembe na ujinga kama huu kwa mwaka?
Ndo hivo yani..ukimpa buku teni nesi mmoja analysing bulimia mpaka mwisho..
Yaani kwenye vipimo unapitishwa mbele unaingizwa wakati umewakuta wengine foleni.
Na staff wote wanayajua Yale maisha ndo mana hawafuatiliani.
Akifanya hivi kwa watu kumi kwa siku ana laki..si hela hiyo?
Mishahara yao duni..wanajiongeza kihivyo
So pale ukienda kinyonge kufata utaratibu utachoka..
Japo wanasaidia ila najiuliza maskini wanaishije kwa hali hii..mi ni kama bahati vihelahela vilikuepo upande wangu.

Na taasisi nyingi za serikali ziko hivi.
 
Pole sana kaka mkubwa naimani umeiona baraka ya Mungu na Neema zake, Sasa usiache kushukuru na kumtumikia kwa nafasi uliyonayo
 
Pole sana kaka mkubwa naimani umeiona baraka ya Mungu na Neema zake, Sasa usiache kushukuru na kumtumikia kwa nafasi uliyonayo
Mkuu nimeokoka na kuokoka kabisa. ilikua hatari hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…