Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa nimecheki hujaweka epsod yoyotee umekuwa mpwauungu nnSoon inaendelea ikifika saa 3 kamili stay tuned!
Faida yake ni ipiTunauza GPS zakufix kwenye majeneza chaji miaka mitatu...price ni negotiable...na hapa mshaelewa faida zake 🤣
Tunauza GPS zakufix kwenye majeneza chaji miaka mitatu...price ni negotiable...na hapa mshaelewa faida zake 🤣
Una uhakika unaoza ukiwa kwenye jeneza likiibiwa tunalidaka tunalirudisha 🤔Faida yake ni ipi
Mtu akifa amekufa,Kuoza ni kuoza tuUna uhakika unaoza ukiwa kwenye jeneza likiibiwa tunalidaka tunalirudisha 🤔
Exactly...lakini kuna sababu kwanini wakazikwa kwenye majeneza on the first place...hakuna ataekaependa kujua jeneza la mpendwa wao limechoropolewa na sasa amezikwa kama Mbwa...Mtu akifa amekufa,Kuoza ni kuoza tu
Inaategemea na nini?Ndio ila inategemea lakini!
Yni Uislamu asa raha jmni tuseme ukweli tuExactly...lakini kuna sababu kwanini wakazikwa kwenye majeneza on the first place...hakuna ataekaependa kujua jeneza la mpendwa wao limechoropolewa na sasa amezikwa kama Mbwa...
FictionInamaana kile kifusi hua hakiharibi majeneza? Nilijua udongo unakandamiza Kila kitu.
Na matajiri makaburi Yao si wanayamwagia zege juu?
Hii ni stori ya kuchangamsha genge , haina ukweli wowote.Kama hi story Ni kweli itabidi nipambane Sana kutafuta pesa duh life is to take risk only that
Duuuh ,mkuu..umeanza kupuliza mapema yote hiiWewe ulishaamua kua miyeyusho sijui kwanini uliishia hatua ya kwanza wakati ilibidi ufike mpaka ya kumi.
Ilitakiwa uwe unafukua jeneza kwa mtu A unamuuzia mtu B. Mtu B akizikwa nalo unaenda kufukua unamuuzia mtu C yaani angalau jeneza moja likupe pesa mara nne.
Na ukitaka uwe profeshno baadhi ya makaburi baada ya kufukua jeneza unasaidia na kusakafia kabisa.
Halafu kama vipi mngekua mnaondoka na maiti pia mnakata kata mapande ya nyama mnawauzia watu wa butchery na wauza mishkaki ya hamsini.
Kwanini hauna akili ya ujasirimali? Huo mchanga wa kaburini ukifukua makaburi kama manne si unatosha msingi wa chumba kimoja? Sa si ungewauzia mafundi ujenzi?
Wewe mzeeeSoon inaendelea ikifika saa 3 kamili stay tuned!