Namna nilivyotajirika kwa kuiba majeneza makaburini!

Namna nilivyotajirika kwa kuiba majeneza makaburini!

Wewe ulishaamua kua miyeyusho sijui kwanini uliishia hatua ya kwanza wakati ilibidi ufike mpaka ya kumi.

Ilitakiwa uwe unafukua jeneza kwa mtu A unamuuzia mtu B. Mtu B akizikwa nalo unaenda kufukua unamuuzia mtu C yaani angalau jeneza moja likupe pesa mara nne.

Na ukitaka uwe profeshno baadhi ya makaburi baada ya kufukua jeneza unasaidia na kusakafia kabisa.

Halafu kama vipi mngekua mnaondoka na maiti pia mnakata kata mapande ya nyama mnawauzia watu wa butchery na wauza mishkaki ya hamsini.

Kwanini hauna akili ya ujasirimali? Huo mchanga wa kaburini ukifukua makaburi kama manne si unatosha msingi wa chumba kimoja? Sa si ungewauzia mafundi ujenzi?
Mwamba umetisha sana, nimekuelewa
 
Back
Top Bottom