Namna Rostam Aziz alivyotoa hoja Kenya, ni kielelezo cha utajiri bila maarifa

Namna Rostam Aziz alivyotoa hoja Kenya, ni kielelezo cha utajiri bila maarifa

Rostam Aziz ameshambuliwa na makundi mbalimbali nchini Kenya baada ya kutoa maoni yake kuhusu mfumo wa biashara wa nchi hiyo huku akieleza kutotekelezwa ahadi ya Mhe. Rais ya Kenya aliyompa miaka kadhaa yakuwekeza kwenye gesi.

Rostam hajawahi kuishambulia Wala kuzungumza chochote kibaya kuhusu utawala wa Tanzania, amepataje courage yakukosoa mfumo wa Kenya?

Je, alitegemea wafanyakazi waliomkwamisha wachukuliwe hatua? Alitaka mfumo wa Kenya umkumbatie na kumdekeza Kama anavyofanuiwa na mfumo wa Tanzania? Kwanini ajisemee yeye badala yakusemea wafanyabiashara wote?

Next time inabidi wafanyabiashara wachague maneno yakusema wanapoambatana na Rais, lazima hoja zao zikaguliwe.
Hivi umefanyaga hata biashara ya kuuza mayai wewe?
 
Siyo rahisi na si heshima kumshambulia rais hasa ugenini. alitumia nafasi aliyoipata kufikisha ujumbe kwa busara.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Hakuna sehemu yoyote alipomshambulia...rudia hotuba....yake... alisema Raisi alimshawishibawekeze Kenya lakini vikwazo alikutana navyo kwa watendaji....au kale ka lugha alichotumia ambacho ni ugonjwa sugu kwa wabongo..?
 
M/Mungu ametujalia sisi watu weusi mambo yafatayo- ROHO MBAYA, WIVU NA UHASIDI
Kwahiyo ndugu yangu kuwa POSITIVE katika maisha na achana na mambo ya NEGATIVITY hayana afya katika maisha utafika mbali ktk maisha.
Ukimtumia mleta uzi kama reference naunga mkono hoja,yeye 'maarifa' yake yamemsaidiaje?
 
Basi asingesema alimuona hadharani. Angesema tu kuwa amekuwa akijaribu kwa miaka kadhaa bila mafanikio. Baadae ndio angeongea nae na Samia faragha na kuwaambia ukweli wote.
Hakutumia busara.

Amandla...
alichokifanya ndio sahihi kbs kuonana chamber na yangeendelea kufichwa chemba mmeamua tuseme mazingira ya biashara acha tuseme
 
Rostam Aziz ameshambuliwa na makundi mbalimbali nchini Kenya baada ya kutoa maoni yake kuhusu mfumo wa biashara wa nchi hiyo huku akieleza kutotekelezwa ahadi ya Mhe. Rais ya Kenya aliyompa miaka kadhaa yakuwekeza kwenye gesi.

Rostam hajawahi kuishambulia Wala kuzungumza chochote kibaya kuhusu utawala wa Tanzania, amepataje courage yakukosoa mfumo wa Kenya?

Je, alitegemea wafanyakazi waliomkwamisha wachukuliwe hatua? Alitaka mfumo wa Kenya umkumbatie na kumdekeza Kama anavyofanuiwa na mfumo wa Tanzania? Kwanini ajisemee yeye badala yakusemea wafanyabiashara wote?

Next time inabidi wafanyabiashara wachague maneno yakusema wanapoambatana na Rais, lazima hoja zao zikaguliwe.
Poor mind, obviously discuss people
Leta hits ulitakaje wenda.
Funguka
 
Hujui hata alichoongea Rostam ! Wahaya wengi wana akili sana lakini ukikuta Mhaya ni mjinga basi anakuwa mjinga kweli kama huyu Bidada.
 
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.

Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.

Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?

Rudi ulipe madeni ya watu.

Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Mmmh kuna walioolewa kwa sasa wanapjipikisha tu mchana kutwa ukiwaambia kurudi wanaona ni madharau washanogewa
 
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.

Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.

Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?

Rudi ulipe madeni ya watu.

Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Hivi ni hadi upigwe lisasi ngapi ndio utaamini walitaka kukuua?
 
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.

Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.

Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?

Rudi ulipe madeni ya watu.

Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Empty head tabulalasa kwelikweli imetapika utopolo aiseeee , mpigie simu kiongozi mkuu wa malaika umwambie jinsi unalinda legacy uchwara yake .
 
Ninachojiuliza ni kwa nini katika hiyo miaka ya kuzungushwa hakurudi kwa Mheshimiwa Rais? Kwa jinsi alivyoongea ni Kenyatta ndie aliyemuomba awekeze kwa hiyo access alikuwa nayo. Alishindwa nini kumfuata na kumwambia kuwa jamaa zake wanamzungusha? Au tatizo ni Kenyatta mwenyewe?

Amandla...
Kenya si Bongo kwamba rais anaamua tu, kuna mifumo ambayo rais wao hawezi kuiingilia. Tatizo ni kuwa mifumo yenyewe si rafiki hivyo inahitaji marekebisho makubwa ili kuondoa vizingiti kama alivyokutana navyo Rostam Azizi.
 
Huyu tajiri msiyependa ashauriwe alikimbia nchi Hadi pale ndugu yake alipokamatwa na silaha za uwindaji, alipowekwa ndani ndipo akarejea nchini. Hii ni aina ya wafanyabiashara tunaosema wanapaswa kuogopwa au kutegemewa.

Aliporudi akapewa Taifa gas, then akaenda morogoro akazindua kiwanda chakukoboa mahindi, akauza hisa Vodacom nk

Mfanyabiashara wa aina hii hawezi kuheshimika kwenye soko lenye matycoon kibao Kama Kenya . Kama anavyoziba nafasi za wabongo kupanuka kwakutumia mwamvuli wa siasa ndivyo na wafanyabiashara wa Kenya wanavyotumia mfumo wao kummnya asipenye kwenye soko.

Kwanini alikwenda kuomba relief kwa president asicompete? Mfanyabiashara serious lazima akubali kucompete na si kutegemea hisani
 
Jaribuni kuelewa, Rostam anadai walikutana na Mhe. Rais means ilikuwa faragha. Walipeana ahadi ambazo yeye alitaka kuwekeza Kenya kwenye eneo la gas lakini hakupewa hiyo nafasi for years.
Katika busara ndogo alitaka kuwaeleza Wakenya na Watanzania kwamba maelekezo ya Mhe. Rais ayatekelezeki. Lakini pia kwa upande mwingine anataka kufungua macho kwamba hata maelekezo aliyotoa au ahadi alizotoa wakiwa na Mhe,Rais Samia si zakuaminika sana

Hapa ndipo ilipo hoja yangu na hoja ya Wakenya.
Sasa si ndio ukweli huo kausema ili wajirekebishe? Au kama kulikuwa na changamoto isemwe pale? Nini maana yakuwa na kikao kile sasa? Bado sijaona hoja yako hapo
 
Huyu tajiri msiyependa ashauriwe alikimbia nchi Hadi pale ndugu yake alipokamatwa na silaha za uwindaji, alipowekwa ndani ndipo akarejea nchini. Hii ni aina ya wafanyabiashara tunaosema wanapaswa kuogopwa au kutegemewa.

Aliporudi akapewa Taifa gas, then akaenda morogoro akazindua kiwanda chakukoboa mahindi, akauza hisa Vodacom nk

Mfanyabiashara wa aina hii hawezi kuheshimika kwenye soko lenye matycoon kibao Kama Kenya . Kama anavyoziba nafasi za wabongo kupanuka kwakutumia mwamvuli wa siasa ndivyo na wafanyabiashara wa Kenya wanavyotumia mfumo wao kummnya asipenye kwenye soko.

Kwanini alikwenda kuomba relief kwa president asicompete? Mfanyabiashara serious lazima akubali kucompete na si kutegemea hisani
Umejuaje alienda kwa Rais Rais kenyata kuomba asi compete? Naona umebase kwenye majungu na umbeya kama kawaida yetu watanzania. Kimsingi huna fact unaongozwa na chuki binafsi na unateseka na umasikini.pole mama/dada
 
Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?

Kumbe kuna watu huwa mnachukulia siriaz maneno ya huyu Mgogo?
 
Rostam Aziz ameshambuliwa na makundi mbalimbali nchini Kenya baada ya kutoa maoni yake kuhusu mfumo wa biashara wa nchi hiyo huku akieleza kutotekelezwa ahadi ya Mhe. Rais ya Kenya aliyompa miaka kadhaa yakuwekeza kwenye gesi.

Rostam hajawahi kuishambulia Wala kuzungumza chochote kibaya kuhusu utawala wa Tanzania, amepataje courage yakukosoa mfumo wa Kenya?

Je, alitegemea wafanyakazi waliomkwamisha wachukuliwe hatua? Alitaka mfumo wa Kenya umkumbatie na kumdekeza Kama anavyofanuiwa na mfumo wa Tanzania? Kwanini ajisemee yeye badala yakusemea wafanyabiashara wote?

Next time inabidi wafanyabiashara wachague maneno yakusema wanapoambatana na Rais, lazima hoja zao zikaguliwe.
Rubbish ever
 
Back
Top Bottom