MAKANJAMNA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,138
- 1,514
Madhara ya kukimbia somo la find y if x is? Unaropoka tu ovyosasa huyu ametoka wapi angalia kichwa cha mada kisha ueleze jinsi tajriba yako na wageni kutoka EA usianze kuburuza uzi huu
Pole,Kusema ukweli na kuacha unafiki pembeni sisi Watanzania ni wavivu sana.....hatupendi kujituma tunataka mafanikio ya haraka haraka sana......tunapenda mambo mazuri ambayo hatutaki kuyapigania.....bado tunaamini katika kudra za Mungu badala ya kufanya kazi kwa bidii.......
Maofisini pamekuwa vijiwe vya kuongelea mipira ya ulaya na Simba na Yanga badala ya kufanya kazi.....uongo uongo mwingi na kutokujali muda hata kidogo......nadhani sisi ndio tunaongoza kwa kutumia muda vibaya......
Ngono ndio imekuwa ajenda kuu kila kwenye vikao vya waTz hata humu unaweza ukaona kweney majukwaa yanayotembelewa na watu wengi basi ni kwenye jukwaa la ngono au mapenzi......
Watanzania ni jamii ya watu wasiopenda kujiendeleza kielimu hata katika mambo madogo tu......mtu yupi radhi kusoma kitanu kikubwa cha hadithi za Shigongo badala ya kusoma vitabu vidogo tu vyenye kumjenda kimaarifa.......utakuta jitu zima kabisa na akili zake limenunua gazeti la udaku na za kimbea..........
Umbea umekuwa ni sehemu ya maisha ya Watanzania.......si kijana si mzee si watoto si wanawake.......ukiona kimekaa kikundi cha watu baada ya kujadili mambo ya msingi kazi ni kusengenya watu tu.........
Ushirikina pia limekuwa ni jambo la kawaida huku Tz.....yaani mtu hata kama anaumwa jino anatamani akapige ramli kwa mganga........
Kupenda maisha ya ujanja ujanja na vitu vya bure.......yaani ukitaka kumteka Mtanzania wewe weka tu msamiati wa BURE...basi hapo umeshamteka.......yaani yupo radhi kununua simu ya elfu thelasini kwa laki moja kwa kuwa tu hiyo simu ina line ya bure na unapewa memory kadi bure....!!!
πππMaana ukitaka kumfrahisha mtz wewe ongea kisw tu kingereza weka pembeni.....most of us we're not fluent to English and it's simply because we started learning it late at secondary school so coping will definetly takes time ,but we are trying so that we can communicate. ...
Ukuaji kiuchumi sote tulichelewa kuanza, mzee moi aliibana uchumi pande zote, kanyakua Mali ya umma kwa miaka 25 na kuua biashara kote, hata heri ujamaa.Sikwamba ss watz ni wavivu ila mfumo umetuchelewesha watz tuna miaka 25 wakenya miaka 50 kwenye biashara .mfumo wa siasa wa Tanzania uliozuia secta binafsi ndo ulio tukwamisha na kutufanya tuonekane wavivu ila wakenya awatambui kuwa kwa miaka 25 tu ya kuluusiwa uchumi wa secta binafsi Tanzania imekuja kwa kasi sana uifikia Kenya mfano kama mambo ya TV ,radio simu sanaa yani misiki uigizaji viwanja vya mipira majengo mazuri nk .zamani tanzani tulikuwa tunausudu musiki wa Zaire sikuizi miziki yetu inapendwa zaidi TV ya govt imeanza miaka ya 1995 hivi kama sikosei ila nyinyi wakenya mpo kwenye game muda mrefu
Madhara ya kukimbia somo la find y if x is? Unaropoka tu ovyo
Madhara ya kukimbia somo la find y if x is? Unaropoka tu ovyo
there u go again out of topic sijaona mtu ameleta swali la calclus linear programing ama binomial expansion to mention but afew nenda unywe maziwa na usisahau kutia ndani chumvi itasaidiaMadhara ya kukimbia somo la find y if x is? Unaropoka tu ovyo
Balaaaa!!! Inaonekana hili sifa baya imewafikia hadi waganda. Japo sio kweli ya kuwa wabongo asilimia kubwa ni wachawi, inakubalika kuna wengi wanao fata haya mambo ukilinganisha na wageni.Nikiwa Uganda kipindi flani Waganda waganda wanatuchukulia Tanzania wachawi sana pia hata wakenya maana ukitembea Nairobi kuna mabango "Mganga toka Tanzania" basi huyo lazma watu wafurike kwake maana wanajua Tz ni noma..
Pia mwanafunzi waki Tz uganda akimtishia Mganda kua utaona mganda anaweza piga hata magoti maana wanaogopa sna watanzania kuwa ss ni wachawi anaweza geuzwa hata sungura dk yoyote.