Namna Wakenya wanavyoabudu Wazungu

Namna Wakenya wanavyoabudu Wazungu

Ndio tupo hivyo Afrika, inabidi tuabudu miungu ya kizungu hadi siku ukweli utabainika yupi ndio wa kweli, Tanzania kwa sasa nafikiri waislamu wamewazidi Wakristo, hivyo nyie kidogo mnamuabudu mungu wa kiarabu. Hivyo hatuchekani, kuna wameweka sanamu za mzungu kwenye makanisa na kuziabudu.
Kwa kifupi tusubiri siku za kiama tutajua yupi alikua wa kweli, hufai kuwacheka hao waliomuabudu aliyekuja maana na wewe huyo mohammed wako wa kiarabu hatujui kama ndiye wa kweli, uliletewa tu.
Hwawa jamaa wa Tz wanafik wamesahau vile walivyoabudu Wayne Rooney wakati Everton FC ilicheza mechi Dar es Salaam.
 
Hao waarabu ndio walileta uislamu huku wakibeba watumwa na hata kuua wengine, na leo ndio wanaongoza kwenye kujilipua lipua huku miafrika kwa ujinga mkiwafuata kama vipofu na kujipua mabomu halafu mnadiriki kuwacheka wenzenu wakiwa vituko.
BRO HUJUI KITU BADO UNAONGEA PUMBA ZILE ZILE AISEE.
WE KAA TU KIMYA AISEE MAANA THE MORE YOU TALK THE MORE YOU REVEAL YOUR STUPIDITY.
YAN HUJUI NA HUJUI KM HUJUI HUKU UKIJIFANYA UNAJUA KUMBE HUJUI.
KM KUHUSU WAARABU KUJILIPUA NAJUA UNAZUNGUMZIA IS,ALQAEDA,TALIBAN,HEZBOLLAH.
HUJUI HAYO MAKUNDI KUANZISHWA KWAKE,WAANZILISHI WAKE NA SABABU YA KUANZILISHWA KWAKE.
USI GENERALIZE ETI WAISLAM NDIO WANAFANYA VILE.
NA WALA HUJUI UISLAM UMEKUJAJE MKUU NYAMAZA TUUU.
BAKI NA IMAN YAKO NIBAKI NA YANGU.
 
Hwawa jamaa wa Tz wanafik wamesahau vile walivyoabudu Wayne Rooney wakati Everton FC ilicheza mechi Dar es Salaam.
Kuna ushabiki na kuabudu.
We umetoka kulamba gongo nini ???!!!
Watz walimshabikia na kumshobokea Rooney hawakumuabudu.
Walimuabudu yeye km nan na kvp???
Nyie mwamtaja huyo Mzungu Yesu ilhali Yesu ni mwana Israel.
 
UnapEnda kusema hivi ila ukiulizwa maswali huyajibu ipasavyo na wakati mwingine huwa unakimbia.
Tell me, what makes you think/say there's no God?

There is no god because there is no God!

Hakuna evidence presented to the world kwamba yupo!

Haya mama,kamwambie nimesema hayupo!

Hahahahaaa
 
There is no god because there is no God!
Hakuna evidence presented to the world kwamba yupo!
Haya mama,kamwambie nimesema hayupo!
Hahahahaaa
😂😂😂😂😂😂😂 hiyo sentensi ya kwanza imenifanya nicheke sana 😁😁
Kuna swali niliona mahali; Ni nani anayeongoza ulimwengu?
Pia ningetaka kujua hizo discoveries zenu.
Na kama evidence ya uwepo wa MUNGU haipo, naomba evidence ya kwamba HAYUPO
 
BRO HUJUI KITU BADO UNAONGEA PUMBA ZILE ZILE AISEE.
WE KAA TU KIMYA AISEE MAANA THE MORE YOU TALK THE MORE YOU REVEAL YOUR STUPIDITY.
YAN HUJUI NA HUJUI KM HUJUI HUKU UKIJIFANYA UNAJUA KUMBE HUJUI.
KM KUHUSU WAARABU KUJILIPUA NAJUA UNAZUNGUMZIA IS,ALQAEDA,TALIBAN,HEZBOLLAH.
HUJUI HAYO MAKUNDI KUANZISHWA KWAKE,WAANZILISHI WAKE NA SABABU YA KUANZILISHWA KWAKE.
USI GENERALIZE ETI WAISLAM NDIO WANAFANYA VILE.
NA WALA HUJUI UISLAM UMEKUJAJE MKUU NYAMAZA TUUU.
BAKI NA IMAN YAKO NIBAKI NA YANGU.

Wote hao wameletwa na uislamu, kila mmoja kabla kuua husema allah akbar, huyo huyo unayemuabudu, ambaye aliletwa kwa waafrika na waarabu wakati walichinja mababu zetu.
 
Ila tuseme ukweli kwa kuwashobokea wazungu tu hawa jamaa ni mwisho.kila mkenya ana ndoto ya kuoa au kuolewa na mzungu sijuwi waliambiwa wana nini hao weupe.poleni wakenya
 
Endeleeni kuwafuata ma pastor tu
Ni siku chache zimepita tangu wakenya waishangaze Dunia, Baada ya takribani robo ya jiji la Nairobi kusimama wakimsujudu Mzungu mmoja wakiamini ni Yesu [emoji16] kumbe ni mafia mmoja kutoka Italia aliyekuja kuwapiga hela.

Tazama mwenyewe


.

My take : Wakenya, Sio kila mzungu ni masiah wengine ni wapiga dili tu.
 
Wote hao wameletwa na uislamu, kila mmoja kabla kuua husema allah akbar, huyo huyo unayemuabudu, ambaye aliletwa kwa waafrika na waarabu wakati walichinja mababu zetu.

Leo umekuwa mwalimu mzuri pamoja na kuwa mwanafunzi wako hafundishiki 😂.
 
Wote hao wameletwa na uislamu, kila mmoja kabla kuua husema allah akbar, huyo huyo unayemuabudu, ambaye aliletwa kwa waafrika na waarabu wakati walichinja mababu zetu.
Pole yako weeee nikikwambia kaka nyamaza muda mwingine ni kheyri mamdud kaanni kukaa kimya ili kuficha upumbavu still mbishi.



Msikilize Hillary Clinton.
Hayo makundi nani kayaanzisha ukilitoa Hizbollah maana Hizbollah sio magaidi.
Na ujilipuaji wao ni kwasababu gani.
Msikilize Hillary Clinton.
Then kamtafute Jamaa anaitwa Mr.Fuller ana kitabu kinaitwa "world without islam".
Ni officer wa CIA zaman huyo jamaa anakueleza "the today's conflicts are brought for geopolitical interest rather than religious reasons ".
Na kuna sehem anakwambia "Imperialists use religious means for the benefits of geopolitics from the meaning of terrorism "
Mkuu hii ndio shida ya kujifanya mjuaji then hamna ulijualo.
Ni kheri ukubali haujui utaonekana mjinga maana hakuna asiye mjinga kila mtu ana ujinga wa kile asichokijua.
Kulko kujifanya mjuaji ukaonekana mpumbavu kwasababu unalazimisha ujuaji ilhali haujui.
 
Anajua nini huyu???
Ni mjinga tu kama Wewe hataki kukubali ujinga wake.
Asa ona navyomuumbua kwa evidence.
Yeye si anaongea maneno tu pasi na proof????
Shuhudia navyomuumbua kwa evidence.
Nimemtoa ujinga kuhusu IS,Al-Qaeda,Taliban.
Nitarudi tena.
Leo umekuwa mwalimu mzuri pamoja na kuwa mwanafunzi wako hafundishiki [emoji23].
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo sentensi ya kwanza imenifanya nicheke sana [emoji16][emoji16]
Kuna swali niliona mahali; Ni nani anayeongoza ulimwengu?
Pia ningetaka kujua hizo discoveries zenu.
Na kama evidence ya uwepo wa MUNGU haipo, naomba evidence ya kwamba HAYUPO

Wee Mkikuyu nitafute privately nikupe elimu!

Hapa nipo napambana na utawala mbaya wa bwana Jiwe!

Huku TZ ni jela,tunatafuta uhuru bado hatujapata!
 
Anajua nini huyu???
Ni mjinga tu kama Wewe hataki kukubali ujinga wake.
Asa ona navyomuumbua kwa evidence.
Yeye si anaongea maneno tu pasi na proof????
Shuhudia navyomuumbua kwa evidence.
Nimemtoa ujinga kuhusu IS,Al-Qaeda,Taliban.
Nitarudi tena.

Wewe mtu mweusi unayepigania dini ya mwarabu ndiye mjinga. Pamoja na kuwa wewe ni 'arab wannabe' bado hao waarabu wanakuchukia kwa moyo wao wote.
Nimeishia hapo kwa leo, ngoja nikuache na ujuha wako.
 
Wewe mtu mweusi unayepigania dini ya mwarabu ndiye mjinga. Pamoja na kuwa wewe ni 'arab wannabe' bado hao waarabu wanakuchukia kwa moyo wao wote.
Nimeishia hapo kwa leo, ngoja nikuache na ujuha wako.
Still unaropoka vikubwa.
Halafu uislam sio din ya waarabu.
Unatia huruma kadri unavyozid kuongea unadhihiridha ujinga wako.
Nan kakwambia uislam din ya waarabu ???
Pole sana.
Na unakurupuka tu km mnywa gongo pasi na kuelewa nakinzana nae nn huyo jamaa.
Utaendelea kuongea kwa uhemko na kiujinga km huyo mwenzio.
Mimi nitarudi kuwaletea proof tu ya kupinga upumbavu mnaoongea.
MUNGU AKIPENDA KESHO MAANA FROM THIS TIME NINA MENGI YA KUKAMILISHA.
 
Who cares?

Ndio athari za nyie wapenda dini wote!

Who cares hata kama unaabudu mavi?

Abudu whatever the fvck you want,nchi huru!

Wana katiba mpya,wana demokrasia bora kabisa Africa,wana uchumi bora kabisa,wana elimu na maisha bora!

Who cares???
Hahahaha
1) Katiba bora
2)Elimu bora
4) Uchumi mkubwa
Lakini nchi bado inaongoza katika
1)Ukabila
2)Rushwa
3)Ukosefu wa ajira
4)Njaa
5) Ukosefu wa usalama
6)Slums
7)Nepotism
8)Extra judicial killings
9)Pengo kubwa kati ya tajiri na masikini
10) poor public health services
11) Deni kubwa la taifa

Hiyo katiba nzuri zaidi ya kuongeza vyeo vya wanasiasa na kuongeza mzigo wa Kodi kwa mwananchi wa kawaida, nini tena imeleta?
 
Kenya is a country that is very diverse in religion. We have african atheists, agnostic theists, satanists, Christians(All colors and flavors), Hindus, Baha'i, Buddhists, the religion of peace that has a propensity of inciting it's followers to turn themselves into flying menses(islam), Jainism (A true religion of peace) etc. Muslims keep blowing themselves and killing the others but we forgive them and move on as one country hoping they will reform their behavior.
 
Hahahaha
1) Katiba bora
2)Elimu bora
4) Uchumi mkubwa
Lakini nchi bado inaongoza katika
1)Ukabila
2)Rushwa
3)Ukosefu wa ajira
4)Njaa
5) Ukosefu wa usalama
6)Slums
7)Nepotism
8)Extra judicial killings
9)Pengo kubwa kati ya tajiri na masikini
10) poor public health services
11) Deni kubwa la taifa
Hiyo katiba nzuri zaidi ya kuongeza vyeo vya wanasiasa na kuongeza mzigo wa Kodi kwa mwananchi wa kawaida, nini tena imeleta?
Jamaa kumbe umepona? Kipindupindu ni janga la taifa Tanzania. Pole sana
 
Back
Top Bottom