Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Umeshawahi kufika Sumbawanga? Kutokea Mbeya ?

Muache ubishi usio kuwa na kichwa Wala miguu, ujuaji wa kipumbavu

Ni hivi ukitoka Mbeya unafika Tunduma border then unakata Magharibi unaelekea Sumbawanga

Mwandishi Yuko sahihi sana

Umeshawahi kufika hata zambia mkuu ama unashabikia tu ujinga?
 

Myama mwenyewe anakwato sijui vidole vitatu sa ayo mamilion angebebea kwenye nini!!
 
Umeshawahi kufika Sumbawanga? Kutokea Mbeya ?

Muache ubishi usio kuwa na kichwa Wala miguu, ujuaji wa kipumbavu

Ni hivi ukitoka Mbeya unafika Tunduma border then unakata Magharibi unaelekea Sumbawanga

Mwandishi Yuko sahihi sana
Watanzania wengi elimu zetu hazina msada wowote,mfano mnzuri kama huyo
 
Yaani ufike Tunduma boda kisha uende tena sumbawanga [emoji276]chai hii sio poa,Ikifika Tunduma ndio boda ya nakonde ilipo then unaingia zambia hadi kapiri mposhi ndio unaingia congo
Yaan kama baba Yako alikusomesha unapaswa kumlipa fedha zake haraka sana,màana kile ulichosomea hakina msaada wowote kwako
 
Huo wa ndagu matokeo yake si ndio kuambiwa utoe kafara mkuu, au wenyewe uko tofauti kidogo
Wenyewe ni tofauti kidogo , unapewa mtihani sio wa kuua ni mtihani tu mdogo ukifanikiwa unakuwa tajiri

Mfano, unaambiwa kuwa utakutana na KAMBA njiani uichukue Urudi nayo kwa Mganga lakini unaenda unakutana na Nyoka mkubwa ukiwa jasiri na ukakumbuka mkamate ukimshika tu anakuwa KAMBA

Wengi wanashindwa sababu mazingira ya jaribio ni ngumu kuhimili au kukumbuka ,

Bariadi wengi wametajirika kwa Ndagu

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Kwa niaba ya wasomaji wako nichukue nafasi hii kukushukuru kwa simulizi yenye mafunzo yenye kutukumbusha kwenye hatua za maisha!

Hapa kikubwa ni kuwa makini na WAGANGA WOTE TU SIO WA KONGO PEKE YAKE KWANI NAO WAPO KWENYE UTAFUTAJI
 
Si umpleke kwa bibi ngende

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…