Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Mbona last seen Leo asubuhi
1680758788954.png
 
Rekebisha muda kwenye kifaa chako, Huo muda bado hatujaufikia kwa siku ya leo. Muda huu ni 09:33AM
---
Update

Nimefuatilia na kuona unaishi katika nchi ambayo iko nyuma kwa masaa 8 toka masaa ya East Africa GMT+3, Wewe upo nchi ambayo timezone ni GMT-5

Hivyo kila mwana JF aliye kwenye Time zone tofati itaonyesha muda/siku tofauti. Kulingana na Timezone yake.

Hivyo kifaa chako muda uko sawa kwa TimeZone hiyo ya GMT-5, wakati kifaa changu muda wake ni GMT+3.

Mbona last seen Leo asubuhi
 
Back
Top Bottom