Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Ndio uache na wewe kuwatukana watu pale mnapo tofautiana mitazamo Zaid San kwenye siasa ,mm Ni mwana ccm ila Kuna siku ulinishbulia na matusi bila sababu yoyote kiss mitazamo ya kisiasa Ni vyema uheshimu itikadi za watu uone Kama Nani atakutukana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kirando,,,,na kipili nmekaa sana huko,,

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Mkuuu usinichukulie POA hiyo lake Tanganyika mm nimeenda huko kupitia kalambo upande wa samazi ,Ni Kweli unavyo Seema ziwa Lile Lina Tisha ukiona kwa macho ya kibinadamu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Misheni kwa masister huko makaburi,,,huko kuna wachawi wa kila aina

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Kipili hapo ndio nyumbn aise

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…