Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Dah!.
Hatari sitasahau nilipoenda Kwa mganga pale Kebakari aisee niliombwa mazaga kibao nikaaga kwenda kununua kwani nikirudi??
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]
 
Huyu ndiye mfano wa huyo kolekole,baada ku
chunwa ngozi,nyama yake ikabanikwa na kuchomwa kisha kuliwa na wale jamaa walioitafuta,kisha ngozi yake ikaanikwa juani ilipokauka ikatengenezwa ndipo tukaambiwa itakuwa inaenda kuiba pesa benki inatuletea.

Kamugisha alivyokuwa na hamu na pesa ya wizi akawa amesema pesa ya kwanza tutakayomtuma huyo kolekole itakuwa milioni 100 ili tugawane pasu kwa pasu [emoji23][emoji23].

Kilichotukuta sitokaa nisahau.
Asante sana Master UMUGHAKA kwa simulizi zako yaani zinatufumbua sana na kuyafahamu yale yaliyo gizani. Pole kwa kukashifiwa na baadhi ya Members wasiojjielewa. Tuko pamoja sana Master
 
jamaa aliamka akawa anacheza muziki bila aibu huku akimuita kila muhudu wa kike na kuanza kujichekesha chekesha bila sababu za msingi.



Naendelea................
😅😅😅 Dah nyie watu mnaokusanya inzi bar na visoda soda vyenu ni wanafiki sana
 
Kiukweli nilisema hata kama ni kutafuta lakini kwa hali ile yalikuwa ni mateso makubwa mno.

Hapo Mbona kawaida , mateso ni yale ya kwenye boti
Kamugisha "Mdogo wangu waganga huwa wanamipaka,unaweza kukuta familia yake inapata taabu ila watu wengine wanasaidiwa vizuri tu,wala hilo lisikushitue mdogo wangu"

Aliendelea "Jamaa inaonekana anajua"
😅😅😅😅 Nimecheka mno
 
Jamaa hajakata tamaa anasema anajaribu kupepeleza ili tuelekee tena huko Zambia maana ameambiwa huko wapo wataalamu wa kumpatia utajiri.

Mimi kazi yangu nitakuwa ni kuwasimulia tu ndugu zangu.Safari ya Zambia ikiwa tayari nitawajulisha[emoji23].
😅😅😅 Khaaa yaani nyie jamaa hamkati tamaa , ningekuwa ni nyie Ile dhoruba ya boti tu safari ingeishia hapo
 
Aiseeee ila wacongo na wanaija ni watoto wa baba mmoja kwa utapeli hawajambo...nimewaza mlivyolala uchi kwenye hayo mashimo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa wametapeliwa na watanzania na inaongea chain inaanzia huku huku Tanzania 😅😅😅
 
wabende wacongo nilikutana nao katavi mpanda hao jamaa ni mafundi.kuna dawa mpaka ya kuzuia risasi na vitu vikalii ....hii nilitest mwenyewe na ilifanya kazi but nilikosea masharti[emoji23][emoji23]
 
Huyu ndiye mfano wa huyo kolekole,baada ku
chunwa ngozi,nyama yake ikabanikwa na kuchomwa kisha kuliwa na wale jamaa walioitafuta,kisha ngozi yake ikaanikwa juani ilipokauka ikatengenezwa ndipo tukaambiwa itakuwa inaenda kuiba pesa benki inatuletea.

Kamugisha alivyokuwa na hamu na pesa ya wizi akawa amesema pesa ya kwanza tutakayomtuma huyo kolekole itakuwa milioni 100 ili tugawane pasu kwa pasu [emoji23][emoji23].

Kilichotukuta sitokaa nisahau.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila mkuu hayo maisha ulishatoka

Kwanini unataka kurudi nyuma tena?

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Huyu ndiye mfano wa huyo kolekole,baada ku
chunwa ngozi,nyama yake ikabanikwa na kuchomwa kisha kuliwa na wale jamaa walioitafuta,kisha ngozi yake ikaanikwa juani ilipokauka ikatengenezwa ndipo tukaambiwa itakuwa inaenda kuiba pesa benki inatuletea.

Kamugisha alivyokuwa na hamu na pesa ya wizi akawa amesema pesa ya kwanza tutakayomtuma huyo kolekole itakuwa milioni 100 ili tugawane pasu kwa pasu [emoji23][emoji23].

Kilichotukuta sitokaa nisahau.
Poleni sana....nimefanya kazi bank miaka zaidi ya 10 ila haijawahi tokea pesa ya bank kupotea kwa ushirikina au njia yoyote isiyoeleweka...ni either ifanyike fraud au wazee wa kazi waingie na mashine wabebe pesa zao.
 
Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.

Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?

Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
Jibu rahisi sana...ukiwa na uhakika wa mchongo wa kupiga hela utatafuta pesa popote hata kwa riba umiza. Msala ni mchongo ukifeli ndo utajua hujui
 
Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.

Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?

Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
Mtu mshahara wake ni mil 1.2

Hawezi kukosa hata mil 5 ya akiba.
 
Back
Top Bottom