Uchaguzi 2020 Namna ya kui - outsmart CCM kwenye ishu ya mawakala katika vituo vya kupigia kura

Uchaguzi 2020 Namna ya kui - outsmart CCM kwenye ishu ya mawakala katika vituo vya kupigia kura

Utopolo mtupu, Anti-Pas hawezi kuwa Rais wa Watanzania. Kwa Sera za kuuza mashirika ya umma, kuacha kutoza kodi, kuigawa Tanzania kwenye kanda kwa mabeberu? . Imekula kwenu, watanzania wazalendo tunakwenda na JPM mpaka 2025
View attachment 1607651
Of course huyu wa kupenda kusuguliwa na anayelilia kusuguliwa hadharani atatangazwa mshindi
 
Lissu alivyo kuwa anawaaga wale aliokuwa anawahutubia hapo Tanga biashara imeisha. Eti, eti , eti kesho na vuka naenda Pemba nitakuwa na Maalimu. Si mliona tulikuwa naye Moshi.

Maalimu aliyesema DKt Shein asinge maliza mwaka baada ya kuchaguliwa 2015. Lissu ndio leo anamuona tegemeo lake!!

Lissu hakutegemea mapokezi ya JPM hapo Moshi leo yangekuwa yalivyo kuwa.Bado Arusha kesho. Cdm na Lissu watajuta kumjua JPM.
Mapokezi ya wanafunzi na watumishi WA umma wanaolazimishwa?
 
Ni jukumu la wananchi kuwafundisha wakurugenzi jinsi ya watakiwavyo kufanya kazi
 
Watanzania hatuwezi kuchagua msaliti wa Nchi Lissu
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Hatumtaki huyo mgeni wenu,ameliangamiza taifa na kuvuruga umoja wetu
 
Mimi kutokupiga kura ni dhambi kubwa, nisipopiga kura maana yake naruhusu msaliti wa Nchi Lissu amkaribie Rais Magufuli

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
CCM kwa unafiki mpo vizuri hata wewe usikute hupigi kura kazi kuongea ujinga humu
 
Itoshe tu kusema, hatuwezi kuendelea kama wanaotuongoza ni watu wasiostaarabika kiasi hiki!, si waaminifu, wezi, waongo, hawana uungwana hata chembe. Hizi tabia za hovyo za wakurugenzi zimeshsmiri kipindi hiki cha Magufuli.

WOGA..!

Hili ndilo linalomsumbua kila mtendaji serikalini..

WAOGA na UOGA huleta KUTOJIAMINI na kutojiamini hupelekea kuchukuliwa kwa maamuzi ya hovyo na hatari kama haya..

Hawa wanalinda kazi zao. Lakini deep inside their heart hawampendi na hawakubaliani 100% na style yake ya uongozi na kwa hiyo wanatamani apotee Mara moja..

Wanadhani Magufuli ataendelea kuwa Rais..

Lakini fact muhimu ni kuwa, wanajinyonga wenyewe kwa sababu wanaogopa kinyago tulichokichonga wenyewe..
 
Baada ya ccm kupigwa vibaya majukwaani Hadi kusini awajapeleka fiesta hii haijawahi tokea tangu Uhuru mgombea wa ccm kuogopa kwenda kusini kuomba kura.
Tegemeo pekee lililobaki kete yao ya mwisho ni kutegemea wakurugenzi ambao ni makada wao wawabeke kwa kudhulumu na kuwanyima watz haki ya kuchagua wawakilishi wao.
Njia pekee ya kuwadhibiti Hawa wakurugenzi pindi wanapopindisha haki Kama watagoma kuwaapisha mawakala ni kuizunguka nyumba zao usiku na mchana hakuna kutoka Hadi aandamane nanyi kurudi ofisini kwake kwenda kuwaapisha mawakala wenu.
Hiii lala salama amani yetu imeshikiliwa na siro na mahera watende haki ili kuleta amani, tumeona ya mda wote wao ndio chanzo cha vurugu na viashiria vya uvunjifu wa amani yetu sema tu busara za Mbowe kuwatuliza wafuasi wake ndo amani tuliyonayo Hadi Sasa. Hawa watu wawili wasituharibie amani yetu kwa kuyalazimisha kumtetea wanaempigania ambae akirudi ni lzm atawatumbua hili lipo wazi afadhaliki ashukuriki kwa mifano hai mingi tu
 
Eti machafuko ndiyo maana bendera ya chadema ina rangi nyekundu, pimbi kweli kweli. Jaribuni muone cha moto na safari hii hakuna kutoa onyo ni kuanza na kutandika mbweha

Hilo la kutuua ndio litaleta mabadiliko ya kweli.
 
Vipi utakua front line au ndio utaishia huku huku JF?

Kwa taarifa yako hapa nilipo nina kovu la kipigo cha hao polisi, si kila mtu anakubali kuishi kikondoo.
Mnao wabunge wa ngapi walio pita bila kupingwa!?.Wenzenu wanao 28 mpaka sasa, Chama cha Mbowe hovyo kabisa.
Unaisifia timu yako ni kali huku umeshinda kwa point za mezani! Hata hao wanaokutuma kwa hili wanakuona bonge la zoba. Hizi ndio huitwa sifa za kijinga.
 
Mapokezi ya wanafunzi na watumishi WA umma wanaolazimishwa?

Cdm mitandaoni mmejaza picha za giza back ground yake ili kuficha ukweli. Sasa sijui hilo giza ndilo litaingia kwenye sanduku la kura. Mikutando mingi ya Lissu anafanyia kwenye maeneo finyu ili walio hudhuria waonekane kusongomana. Huu si utahira wa kujidanganya mwenyewe. Huyu kibaka azuiwe asije akatoroka nchini baada ya 28/10.
 
Cdm mitandaoni mmejaza pocha za giza back ground yake ili kuficha ukweli. Sasa sijui hilo giza ndilo litaingia kwenye sanduku la kura. Mikutando mingi ya Lissu anafanyia kwenye marneo finyu ili walio hudhuria waonekane kusongomana. Huu si utahira wa kujidanganya mwenyewe. Huyu kibara azuiwe asije akatoroka nchini baada ya 28/10.
Mie nahisi hata wanafunzi wataingia kwenye Sanduku la Kura kumpigia Magufuli.
 
Hawa si ndio future members wa ccm. Viongozi kibao wa ccm ya leo wamepitia chipukizi wing ya ccm. Wewe unafikiri siri ya ccm kuendelea kudumu ni ipi zaidi ya kuwekeza mtaji wa wanachama watarajiwa kuanzia wakiwa watoto. Poor you!
Usenge mtupu walionao baadhi ya wananchi na viongozi WA ccm.View attachment 1608156View attachment 1608157
IMG_20201006_134016.jpg
View attachment 1608158
 
Mie nahisi hata wanafunzi wataingia kwenye Sanduku la Kura kumpigia Magufuli.

Kuja kwenye kampeni tayari wameshampigia kupitia wazazi wao. Hivi unategemea mtoto wa Matiko au Mukeya waje kwenye kampeni za ccm ama wazazi wao waichague ccm?!
 
Back
Top Bottom