NEC kila hatua inajaribu kuisaidia ccm inaangukia pua..tangu tuanze mchakato. AibuuuuMnao wabunge wa ngapi walio pita bila kupingwa!?.Wenzenu wanao 28 mpaka sasa, Chama cha Mbowe hovyo kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NEC kila hatua inajaribu kuisaidia ccm inaangukia pua..tangu tuanze mchakato. AibuuuuMnao wabunge wa ngapi walio pita bila kupingwa!?.Wenzenu wanao 28 mpaka sasa, Chama cha Mbowe hovyo kabisa.
Of course huyu wa kupenda kusuguliwa na anayelilia kusuguliwa hadharani atatangazwa mshindiUtopolo mtupu, Anti-Pas hawezi kuwa Rais wa Watanzania. Kwa Sera za kuuza mashirika ya umma, kuacha kutoza kodi, kuigawa Tanzania kwenye kanda kwa mabeberu? . Imekula kwenu, watanzania wazalendo tunakwenda na JPM mpaka 2025
View attachment 1607651
Mapokezi ya wanafunzi na watumishi WA umma wanaolazimishwa?Lissu alivyo kuwa anawaaga wale aliokuwa anawahutubia hapo Tanga biashara imeisha. Eti, eti , eti kesho na vuka naenda Pemba nitakuwa na Maalimu. Si mliona tulikuwa naye Moshi.
Maalimu aliyesema DKt Shein asinge maliza mwaka baada ya kuchaguliwa 2015. Lissu ndio leo anamuona tegemeo lake!!
Lissu hakutegemea mapokezi ya JPM hapo Moshi leo yangekuwa yalivyo kuwa.Bado Arusha kesho. Cdm na Lissu watajuta kumjua JPM.
Mwaka huu hawatoboi,kivyovyote vileWeka ugoko niweke Jiwe,weka Jiwe napiga chuma. Kitaeleweka tuu.
CCM kwa unafiki mpo vizuri hata wewe usikute hupigi kura kazi kuongea ujinga humuWatanzania hatuwezi kuchagua msaliti wa Nchi Lissu
Hatumtaki huyo mgeni wenu,ameliangamiza taifa na kuvuruga umoja wetuWatanzania hatuwezi kuchagua msaliti wa Nchi Lissu
Hatumtaki huyo mgeni wenu,ameliangamiza taifa na kuvuruga umoja wetu
CCM kwa unafiki mpo vizuri hata wewe usikute hupigi kura kazi kuongea ujinga humu
Itoshe tu kusema, hatuwezi kuendelea kama wanaotuongoza ni watu wasiostaarabika kiasi hiki!, si waaminifu, wezi, waongo, hawana uungwana hata chembe. Hizi tabia za hovyo za wakurugenzi zimeshsmiri kipindi hiki cha Magufuli.
Eti machafuko ndiyo maana bendera ya chadema ina rangi nyekundu, pimbi kweli kweli. Jaribuni muone cha moto na safari hii hakuna kutoa onyo ni kuanza na kutandika mbweha
Vipi utakua front line au ndio utaishia huku huku JF?
Unaisifia timu yako ni kali huku umeshinda kwa point za mezani! Hata hao wanaokutuma kwa hili wanakuona bonge la zoba. Hizi ndio huitwa sifa za kijinga.Mnao wabunge wa ngapi walio pita bila kupingwa!?.Wenzenu wanao 28 mpaka sasa, Chama cha Mbowe hovyo kabisa.
Mapookezi Ya wanafunzi kama haya ya kujaza viti ili muonekane wengi?View attachment 1607760View attachment 1607759View attachment 1607762View attachment 1607761
Mapokezi ya wanafunzi na watumishi WA umma wanaolazimishwa?
Mie nahisi hata wanafunzi wataingia kwenye Sanduku la Kura kumpigia Magufuli.Cdm mitandaoni mmejaza pocha za giza back ground yake ili kuficha ukweli. Sasa sijui hilo giza ndilo litaingia kwenye sanduku la kura. Mikutando mingi ya Lissu anafanyia kwenye marneo finyu ili walio hudhuria waonekane kusongomana. Huu si utahira wa kujidanganya mwenyewe. Huyu kibara azuiwe asije akatoroka nchini baada ya 28/10.
Usenge mtupu walionao baadhi ya wananchi na viongozi WA ccm.View attachment 1608156View attachment 1608157Hawa si ndio future members wa ccm. Viongozi kibao wa ccm ya leo wamepitia chipukizi wing ya ccm. Wewe unafikiri siri ya ccm kuendelea kudumu ni ipi zaidi ya kuwekeza mtaji wa wanachama watarajiwa kuanzia wakiwa watoto. Poor you!
Usenge mtupu walionao baadhi ya wananchi na viongozi WA ccm.View attachment 1608156View attachment 1608157View attachment 1608159View attachment 1608158
Mie nahisi hata wanafunzi wataingia kwenye Sanduku la Kura kumpigia Magufuli.