Uchaguzi 2020 Namna ya kui - outsmart CCM kwenye ishu ya mawakala katika vituo vya kupigia kura

Mfano mzuri wa kulea Taifa la kesho. Kumbe ilitegemewa hii iwasaidie kwenye propoganda za opotoshaji.

Wito ihakikishwe kibaraka Lissu asitiroke nchini baada ta 28/10. Ataendelea kuwa mtaji wa genge lao la uadui wa Taifa la Tanzania.
Wanafunzi mnawatorosha shuleni kusoma mnawapeleka kwenye ujinga ikiwa hamwezi mikutano kwanini mnafanya msiyonauwezo nayo.View attachment 1608199
 
Mifilisi kabisa eti kwenye ujinga. Mafunzo kwa vitendo ya somo la civics hayo.
Mafunzo kwenye civics?

Jidanganye halafu ukampigie huyo jiwe magoti. Kila sehem mumebanwa mpka kupiga magoti ati unaomba kura.
 
Well said

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Mnao wabunge wa ngapi walio pita bila kupingwa!?.Wenzenu wanao 28 mpaka sasa, Chama cha Mbowe hovyo kabisa.
WEWE NDIYE HOVYO KABISA! HII NGOMA SIO YA KITOTO WAAMBIE HAO UNAOWAITA WABUNGE 28 KUWA MAMBO YANAENDA KUANZA UPYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
 
Usiache kujitokeza tena baada ya Matokeo ya Mwisho kutangazwa ili kutupa mrejesho wa hali halisi ukilinanisha na utabiri wako!
Utake usitake "Jumba" hawezi kukabidhiwa kijana ambaye hata kibanda alichokuwa nacho anashindwa hata kukikarabati, kukipaua, ama kukiboresha kwa namna yoyote ile!
Watanzania wanaojielewa si uwanja wa kujifunzia wanaharakati kutawala!
MIAKA MITANO TENA HAINA SHAKA!!!
 
Kwa fact na.2 , the opposite is equally true! CHADEMA, ACT na wapambe wao wote wameelekeza silaha zao kwa CCM na mgombea wake wa Urais. Kwa nini? Wanajua hiyo ngoma ni nzito Lissu haiwezi hata akisaidiwa na mamluki wengine kutoka Kanada na Marekani, bado gawapati kitu! Hayo mengine ni ya kwenu, WASHINDWA! Yashughulikieni wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…