Namna ya kuishi na kiongozi(bosi wako)akiwa dikteta

Namna ya kuishi na kiongozi(bosi wako)akiwa dikteta

safuher

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
11,837
Reaction score
17,412
Wengi hupitia nyakati ngumu endapo wakiongozwa na viongozi ama mabosi madikteta.

Zifuatazo ni mbinu unazoweza kutumia ili usidhurike au dikteta asikuone unampinga.

1. Usifanye jambo ambalo pongezi zitaenda kwako badala ya kwake, hata kama umefanya wewe jambo zuri linasibishe kwamba yeye ndio sababu japo kwa mawazo.

2. Hakikisha unajifanya kumuomba ushauri wa jambo hata kama unayo njia nzuri ya kutatua jambo hilo.

Mfano unaweza kumuambia "mkuu ishu hii nimepata wazo nifanye hivi, ila kabla ya kufanya nimeona unishauri je ni sahihi nikifanya ?"

Hapo yeye atapenda ulivyomuomba ushauri,na atakuruhusu kufanya jambo hilo ambalo wewe ndio mwenye wazo na haitakudhuru,

Epuka kufanya maamuzi bila yeye kujua so unamjulisha kwa mtindo kama huu wa kujifanya kumuomba ushauri.

3. Hakikisha hauwapondi na kuwakandia watu wengine ili usifiwe na dikteta kwa sababu dikteta haishi milele,hivyo unajiwekea ulinzi endapo akifa usiwe na maadui.

4.hakikisha ukipata nafasi ya kuwa na yeye munaongea usiwaponde na kuwachongea watu wengine kwani huwenda hao unaowachongea ni mashushushu wake wakubwa.

Ukiwa nae jikite na yeye usiwaseme wengine kabisa.


5. .hata kama akikutumbua ama kukufanyia uadui,hakikisha unazidisha heshima na ikiwezekana umtetee akisemwa vibaya hata akiwa hayupo hapo, kwa sababu kuna mashushushu watamuambia kwamba jamaa kakutetea sana.

Na hapo mtawala au bosi dikteta atakuona unafaa kwa sababu atajiona unamkubali sana licha ya kukuzingua bado unamtetea.

6. Hakikisha unanukuu kauli zake kama reference ukiwa unazungumza jambo,hiyo itamfanya ajione kwamba kauli zake zinamata na utakuwa salama kwake.

7. Hakikisha unajijengea uwezo wa kutetea kauli zake mbovu anazozitoa hata kwa kubadili kidogo maana ya maneno yake,kwa sababu madikteta wengi hawajui kujitetea ila wanatamani wawe na uwezo huo.

8.ukitoa msaada wowote ule hakikisha unajifanya kautoa yeye hata kama umetoka kwako,na hapo usimuambie kwamba kesho natoa msaada sehemu fulani kwa kujifanya umetoka kwako.

Yaani anatakiwa ashtuke tu kwamba heeh huyu jamaa msaada huu nimeutoa lini,na hatochukia kwa sababu anapenda kusifiwa daima.

9. Usije ukamsema ukiwa na watu wengine kamwe kwa sababu kiongozi ama bosi dikteta anakuwa na mashushushu kibao sana,huwenda hata hao uliokaa nao wamo.

Hakikisha hata ukiwa na mkeo haumsemi bosi wako hata kidogo,.

10. ikiwa amekupa agizo baya lenye kuumiza watu hakikisha unamfuata akiwa peke yake na kumshauri mbadala wa agizo hilo.

Usije kujifanya unataka kumshauri bosi mbele za watu,utaharibu kabisaaaa.

Tena wakati unamfuata ajue kabisa kwamba huyu mtu hawezi kwenda kutangaza kwamba yeye ndo kanishauri kubadili huu msimamo.

Ili kumuweza awaze hivyo basi unatakiwa ufuate vizuri shwria namba 4.

Unaweza kuongeza za kwako hapo chini.
 
wengi hupitia nyakati ngumu endapo wakiongozwa na viongozi ama mabosi madikteta.

Zifuatazo ni mbinu unazoweza kutumia ili usidhurike au dikteta asikuone unampinga.

1. Usifanye jambo ambalo pongezi zitaenda kwako badala ya kwake,hata kama umefanya wewe jambo zuri linasibishe kwamba yeye ndio sababu japo kwa mawazo.

2.hakikisha unajifanya kumuomba ushauri wa jambo hata kama unayo njia nzuri ya kutatua jambo hilo.

Mfano unaweza kumuambia "mkuu ishu hii nimepata wazo nifanye hivi,ila kabla ya kufanya nimeona unishauri je ni sahihi nikifanya ?"

Hapo utapenda ulivyomuomba ushauri,na atakuruhusu kufanya jambo hilo ambalo wewe ndio mwenye wazo na haitakudhuru,

epuka kufanya maamuzi bila yeye kujua so unamjulisha kwa mtindo kama huu wa kujifanya kumuomba ushauri.

3. Hakikisha hauwapondi na kuwakandia watu wengine ili usifiwe na dikteta kwa sababu dikteta haishi milele,hivyo unajiwekea ulinzi endapo akifa usiwe na maadui.

4.hakikisha ukipata nafasi ya kuwa na yeye munaongea usiwaponde na kuwachongea watu wengine kwani huwenda hao unaowachongea ni mashushushu wake wakubwa.

Ukiwa nae jikite na yeye usiwaseme wengine kabisa.


5. .hata kama akikutumbua ama kukufanyia uadui,hakikisha unazidisha heshima na ikiwezekana umtetee akisemwa vibaya hata akiwa hayupo hapo, kwa sababu kuna mashushushu watamuambia kwamba jamaa kakutetea sana.

Na hapo mtawala au bosi dikteta atakuona unafaa kwa sababu atajiona unamkubali sana licha ya kukuzingua bado unamtetea.

6. Hakikisha unanukuu kauli zake kama reference ukiwa unazungumza jambo,hiyo itamfanya ajione kwamba kauli zake zinamata na utakuwa salama kwake.

7. Hakikisha unajijengea uwezo wa kutetea kauli zake mbovu anazozitoa hata kwa kubadili kidogo maana ya maneno yake,kwa sababu madikteta wengi hawajui kujitetea ila wanatamani wawe na uwezo huo.

8.ukitoa msaada wowote ule hakikisha unajifanya kautoa yeye hata kama umetoka kwako,na hapo usimuambie kwamba kesho natoa msaada sehemu fulani kwa kujifanya umetoka kwako.

Yaani anatakiwa ashtuke tu kwamba heeh huyu jamaa msaada huu nimeutoa lini,na hatochukia kwa sababu anapenda kusifiwa daima.

9. Usije ukamsema ukiwa na watu wengine kamwe kwa sababu kiongozi ama bosi dikteta anakuwa na mashushushu kibao sana,huwenda hata hao uliokaa nao wamo.

Hakikisha hata ukiwa na mkeo haumsemi bosi wako hata kidogo,.

10. ikiwa amekupa agizo baya lenye kuumiza watu hakikisha unamfuata akiwa peke yake na kumshauri mbadala wa agizo hilo.

Usije kujifanya unataka kumshauri bosi mbele za watu,utaharibu kabisaaaa.

Tena wakati unamfuata ajue kabisa kwamba huyu mtu hawezi kwenda kutangaza kwamba yeye ndo kanishauri kubadili huu msimamo.

Ili kumuweza awaze hivyo basi unatakiwa ufuate vizuri shwria namba 4.

Unaweza kuongeza za kwako hapo chini.

Uchawa ndo huu! Hii ni sehemu ya maisha ya kila siku ya MaCCM
 
Duniani unaishi Mara moja kwanini umnyenyekee mtu, kama mbwai mbwai akikufukuza andoka mungu ndie anajua ridhiki yako ipo wapi, si kumbembeleza bembeleza boss kikubwa heshima
Ni rahisi kuongea kuliko kutenda. Juzi umemsikia Profesa Shivji, kuwa wasomi wengi wanaogopa kuikosoa serikali tofauti na miaka ya 1970/80.
Watanzania ni waoga mnoo,japo kwenye mdomo wapo vizuri na lakini kuwe na usalama. Ni watanzania wachache sana wenye uthubutu wa kumkabili dikteta.
Kwa mfano mpaka sasa tunajua katiba inaruhusu mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa,na siyo kwa kuomba kibali ni kutoa taarifa tu according to Jaji mkuu Mstaafu Barnabas Samata,lakini Wameambiwa wasubiri uchaguzi na kweli wanasubiri uchaguzi.
Hivyo basi mtoa uzi yuko 100%correct. Labda wewe uko Kenya. Huko sawa makamu wa Rais anapambana na Rais wake,wakikutana kwenye shughuli za kitaifa wanakuwa wamoja. Siyo Tanzania. Mama anajitahidi lakini tukubali ameathiriwa sana kwa kufanya kazi na Magu.
Na yeye anaona na pengine anaamini,njia pekee ya kujihakikishia madaraka ni kuiga baadhi ya style za Magu.
 
wengi hupitia nyakati ngumu endapo wakiongozwa na viongozi ama mabosi madikteta.

Zifuatazo ni mbinu unazoweza kutumia ili usidhurike au dikteta asikuone unampinga.

1. Usifanye jambo ambalo pongezi zitaenda kwako badala ya kwake,hata kama umefanya wewe jambo zuri linasibishe kwamba yeye ndio sababu japo kwa mawazo.

2.hakikisha unajifanya kumuomba ushauri wa jambo hata kama unayo njia nzuri ya kutatua jambo hilo.

Mfano unaweza kumuambia "mkuu ishu hii nimepata wazo nifanye hivi,ila kabla ya kufanya nimeona unishauri je ni sahihi nikifanya ?"

Hapo utapenda ulivyomuomba ushauri,na atakuruhusu kufanya jambo hilo ambalo wewe ndio mwenye wazo na haitakudhuru,

epuka kufanya maamuzi bila yeye kujua so unamjulisha kwa mtindo kama huu wa kujifanya kumuomba ushauri.

3. Hakikisha hauwapondi na kuwakandia watu wengine ili usifiwe na dikteta kwa sababu dikteta haishi milele,hivyo unajiwekea ulinzi endapo akifa usiwe na maadui.

4.hakikisha ukipata nafasi ya kuwa na yeye munaongea usiwaponde na kuwachongea watu wengine kwani huwenda hao unaowachongea ni mashushushu wake wakubwa.

Ukiwa nae jikite na yeye usiwaseme wengine kabisa.


5. .hata kama akikutumbua ama kukufanyia uadui,hakikisha unazidisha heshima na ikiwezekana umtetee akisemwa vibaya hata akiwa hayupo hapo, kwa sababu kuna mashushushu watamuambia kwamba jamaa kakutetea sana.

Na hapo mtawala au bosi dikteta atakuona unafaa kwa sababu atajiona unamkubali sana licha ya kukuzingua bado unamtetea.

6. Hakikisha unanukuu kauli zake kama reference ukiwa unazungumza jambo,hiyo itamfanya ajione kwamba kauli zake zinamata na utakuwa salama kwake.

7. Hakikisha unajijengea uwezo wa kutetea kauli zake mbovu anazozitoa hata kwa kubadili kidogo maana ya maneno yake,kwa sababu madikteta wengi hawajui kujitetea ila wanatamani wawe na uwezo huo.

8.ukitoa msaada wowote ule hakikisha unajifanya kautoa yeye hata kama umetoka kwako,na hapo usimuambie kwamba kesho natoa msaada sehemu fulani kwa kujifanya umetoka kwako.

Yaani anatakiwa ashtuke tu kwamba heeh huyu jamaa msaada huu nimeutoa lini,na hatochukia kwa sababu anapenda kusifiwa daima.

9. Usije ukamsema ukiwa na watu wengine kamwe kwa sababu kiongozi ama bosi dikteta anakuwa na mashushushu kibao sana,huwenda hata hao uliokaa nao wamo.

Hakikisha hata ukiwa na mkeo haumsemi bosi wako hata kidogo,.

10. ikiwa amekupa agizo baya lenye kuumiza watu hakikisha unamfuata akiwa peke yake na kumshauri mbadala wa agizo hilo.

Usije kujifanya unataka kumshauri bosi mbele za watu,utaharibu kabisaaaa.

Tena wakati unamfuata ajue kabisa kwamba huyu mtu hawezi kwenda kutangaza kwamba yeye ndo kanishauri kubadili huu msimamo.

Ili kumuweza awaze hivyo basi unatakiwa ufuate vizuri shwria namba 4.

Unaweza kuongeza za kwako hapo chini.
Na hakikisha unamshauri alindwe na mabunduki makubwa makubwa na walinzi kutoka nchi za nje mfano Rwanda
 
Yote ya Nini hayo sasa,Hawa Maboss ukiwanyenyekea sana watakuomba mzigo siku! Akizingua mnazinguana Tu....Kwani Bei gani?
 
4 .hakikisha ukipata nafasi ya kuwa na yeye munaongea usiwaponde na kuwachongea watu wengine kwani huwenda hao unaowachongea ni mashushushu wake wakubwa.

Ukiwa nae jikite na yeye usiwaseme wengine kabisa.
Hii aliishi PM na VP kwa mwendazake aisee. Ndo maana walau hadi leo wako na love toka kwa raia. Contrary to that ndo hao kina Sabaya., Makonda and Co.
5. .hata kama akikutumbua ama kukufanyia uadui,hakikisha unazidisha heshima na ikiwezekana umtetee akisemwa vibaya hata akiwa hayupo hapo, kwa sababu kuna mashushushu watamuambia kwamba jamaa kakutetea sana.

Na hapo mtawala au bosi dikteta atakuona unafaa kwa sababu atajiona unamkubali sana licha ya kukuzingua bado unamtetea.
Hii akaiishi Mwigulu maana alitumbuliwa akarudi
 
Hii aliishi PM na VP kwa mwendazake aisee. Ndo maana walau hadi leo wako na love toka kwa raia. Contrary to that ndo hao kina Sabaya., Makonda and Co.

Hii akaiishi Mwigulu maana alitumbuliwa akarudi
😀😀😀😀😀 mkuu umenisoma vyema kabisaa
 
Nizamu za kinafkii...kwa watu wasio na waledi kazini
 
Back
Top Bottom