Namna ya kuishi na kiongozi(bosi wako)akiwa dikteta

HiI sifa zote anazo Dr Mihogo pamoja na yule dalali from mawese City.
 
Hpo
Kwaiyo unataka watanzania wote tutoke barabarani tuongee kuhusu mikutano ya siasa kwa Wana siasa wepi hawa ambao wanatuambia Lowasa fisadi kesho Wana msafisha hawa kina halima mdee kina msingwa kina Lusinde kina ziti kabwe acha bro ebu tuongee vitu seriously siasa acha wenye kazi zao watanzania kwa Sasa si wajinga kivile ndio maana wanaamua waachie CCM tu wafanye wanavyojua
 
Nizamu za kinafkii...kwa watu wasio na waledi kazini
Upo sahihi kama unajiamini huwezi nyenyekea mtu hata awe mama salima utamjibu ukweli tu maisha si ndio haya haya bwana kwani wale wasio na ajira hawaishi na kama unajituma utakosaje kuishi
 
Hahha hatari mkuu.

Hawa wanasiasa akina mbowe ambao wakishinda ubunge wanaenda bungeni,wakishinda wenzao uchaguzi ni batili hahahah
 
Hahha hatari mkuu.

Hawa wanasiasa akina mbowe ambao wakishinda ubunge wanaenda bungeni,wakishinda wenzao uchaguzi ni batili hahahah
Ndio wakishinda kesi mahakamani wanapiga vigeregere mahakama imetenda haki, akishinda sabaya kesi wanalaumu mahakama inanajisiwa shubamit ndio wanataka eti tutoke tuseme Katiba mpya yani Rema yupo ughaibuni uko anataka mtoto wa mwana kibiriti ngoma atoke aandamane aseme katiba mpya wakati mda huu hayupo

Tumekataa siasa za kishamba hatutaki kutumika tena, wawatafutie panya road wandamane kudai wanachoamini wao
 
Ushauri mzuri kwa Wenye Akili Timamu hasa Wanaojua Wanatafuta Nini katika Maisha.

Hawa wanaokataa Maoni haya. Wanakesha Kanisani na Misikitini wakiimba Mungu anakaa kwenye Sifa. Wamesahau hata Mola wanaomuabudu Pia Wanamsifia kama Ulivyoandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu leo asbh katoa Uzi wa namna boss alivyotaka kumbaka ofcn na kumchania chupi yake aisew mm nimewai kumnyenyekea kumsadia San boss mambo yake ya harusi ajabu anakuja kuwa adui wangu na kupendekeza kuwa niondolewe ktk nafsi hyo maboss siyo poa


Uhamiaji mchunguzeni Mkurugenzi kampuni ya Mysol Arusha. Ni mbakaji na inadaiwa hana kibali cha kufanya kazi hapa nchini
 
Umeongea fact kabisa,
Hapa Cha muhimu ni kujiajiri ili uwe boss Mwnyw.

Ila Sasa changamoto hata uku kwenye kujiajili,Wanasiasa na viongozi wa serikali madikteta wapo na wanaingilia Sana harakati zetu za kila siku.
Mf: maDC,MaRC,wazee wa chama, maafisa wa TRA, MANISPAA,BANDARI,POLISI n.k

Na Lazima wote ujifunze Kuishi nao vizuri ili Mambo yako yaende

Ukikaza shingo sana,
Wanatia fitna unapotea kwenye game

Uzi mzuri Sana huu[emoji4][emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa kaka.

Hapa Afrika ni fitina,lazima ujue kuishi na kila mtu aisee.

Kwa sababu ukiwakwaza kidogo wanaleta vitimbi vikubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…