Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hicho kitu kizito kinaweza kikawa kiko akilini mwako kumbe wewe mwenyewe hujui. overall message imetarget wajenz si wale ambao kuishi kwao kwny nyumba za kupanga ndo wamefika mwisho na akili zao zilipoishia. alafu hujui kuwa kazi na tenda zinaenda kimkataba acha negative mindset kama ulishapigwa na kalinda usifikiri kila unachokiona ni kalindaA heavy object is going to fall on someone's head - kitu kizito chaenda kumdondokea mtu utosini
soma tread vizur kuna swali limeshajibiwa kuhusu hili unaloliulizaKipind hicho unasave,utakuwa unaishi porini?
hahahahahaSasa sijui wakati mtu anasave hiyo kodi ya nyumba badala ya kuilipia pango atakuwa analala wapi
Arusha si Mkoa?Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?.
wengi watakuambia ujenzi si Lele mama. ni kweli; kujenga nyumba ya mil 40 km unakipato cha kawaida si kazi ndogo
ila nataka nikuambie kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ukitaka ukamilishe malengo yako yeyote yake. fikiria kwa ukubwa ila chukua hatua ndogo
ukiuliza timu yoyote duniani ambayo imeshawahi kushinda taji siri ya mafanikio . watakuambia we take one match at a time
Vilevile kwenye ujenzi ukitaka kufikia malengo ya kujenga nyumba ya ndoto acha kufikiria wapi utatoa zaidi ya 40M kujenga nyumba ya ndoto yako.
bali anza kufikiria
1. kununua kiwanja
2.kununua tofali moja
3.kujenga msingi wa nyumba
- kuna jamaa alinifwata na kuniuliza namna gani angeweza kujenga nyumba ya ndoto yake na kuepukana na pango ikiwa ana kipato kidogo?!.
tulikaa chini tukajadiliana, na kutengeneza plan ya anachotaka kukifanya si pesa tu bali msukumo unahitajika.
tunavyoongea sasa hv tumeshamaliza phase ya kwanza ya nyumba yake na toyar tumepanga tarehe ya kuanza phase ya pili
- na wewe pia unaweza kujenga haijalishi kipato ulichokuwa nacho. nitafute tushauriane na tufanye kazi yenye ubora na kwa gharama nafuu
07655931771
Frank
Fundi mchundo kwa sasa nafanyia kazi zangu arusha na moshi ila mkoani nafika pia
View attachment 2433210
hapana ni wilaya au wewe unaonaje ukiamua kuifanya wilaya au mkoa ni wewe tuArusha si Mkoa?
nitafute nikuonyeshe yangu siwezi kuwajengea wengine bila mimi kujengaYa kwako iko wapi?
swadakta!. tena kwa mil 10 unaweka paving kabisa au hata ku design ka gardenHaka kanyumba katamu....haka mil10 sii nahamia
Usiniambie mzeya aise basi fanya uje unijengee bro....hiki kina ukubwa gani? Isije ikawa chumba 2 kwa 2🤣🤣🤣🤣swadakta!. tena kwa mil 10 unaweka paving kabisa au hata ku design ka garden
hpn standard ya chumba hakitakiwi kupungua mita 3 kwa 3 so hako kanyumba kana mita 3*3.5Usiniambie mzeya aise basi fanya uje unijengee bro....hiki kina ukubwa gani? Isije ikawa chumba 2 kwa 2🤣🤣🤣🤣
Sijakuelewa bro....yaani nyumba yote ni 3*3.5 aua unamaanisha hicho chumba ya hiyo nyumba ndio 3*3.5hpn standard ya chumba hakitakiwi kupungua mita 3 kwa 3 so hako kanyumba kana mita 3*3.5
Sijakuelewa bro....yaani nyumba yote ni 3*3.5 aua unamaanisha hicho chumba ya hiyo nyumba ndio 3*3.5
hpn hiyo ni size ya chumba kimoja kwahio kuna mgawanyiko wa vipimo ila nyumba nzima ina mita 7 *8Sijakuelewa bro....yaani nyumba yote ni 3*3.5 aua unamaanisha hicho chumba ya hiyo nyumba ndio 3*3.5
Hapo sasa nimekupata. Kwa hiyo mil10 hiyo inakamilika kabisahpn hiyo ni size ya chumba kimoja kwahio kuna mgawanyiko wa vipimo ila nyumba nzima ina mita 7 *8
Hapa nagundua kuna tapeli hakuna fundi. Wadau msije mkajichanganya huyu jamaa ni tapeli hata elimu ndogo tu hana ya uelewa.... Msije sema sikuwaonya.hapana ni wilaya au wewe unaonaje ukiamua kuifanya wilaya au mkoa ni wewe tu
Huyu jamaa ni tapeli hili tangazo kaiga kwa mtu instagram kaja huku kabadilisha namba ya simu na maneno kidogo. Jamaa asiwaongopee MNAENDA KUPIGWA. ANAWAPANGA HAPO AKAWAPIGE. KUNA JAMAA YANGU ALISHALIZWA NA MTU WA HIVI.Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?.
wengi watakuambia ujenzi si Lele mama. ni kweli; kujenga nyumba ya mil 40 km unakipato cha kawaida si kazi ndogo
ila nataka nikuambie kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ukitaka ukamilishe malengo yako yeyote yake. fikiria kwa ukubwa ila chukua hatua ndogo
ukiuliza timu yoyote duniani ambayo imeshawahi kushinda taji siri ya mafanikio . watakuambia we take one match at a time
Vilevile kwenye ujenzi ukitaka kufikia malengo ya kujenga nyumba ya ndoto acha kufikiria wapi utatoa zaidi ya 40M kujenga nyumba ya ndoto yako.
bali anza kufikiria
1. kununua kiwanja
2.kununua tofali moja
3.kujenga msingi wa nyumba
- kuna jamaa alinifwata na kuniuliza namna gani angeweza kujenga nyumba ya ndoto yake na kuepukana na pango ikiwa ana kipato kidogo?!.
tulikaa chini tukajadiliana, na kutengeneza plan ya anachotaka kukifanya si pesa tu bali msukumo unahitajika.
tunavyoongea sasa hv tumeshamaliza phase ya kwanza ya nyumba yake na toyar tumepanga tarehe ya kuanza phase ya pili
- na wewe pia unaweza kujenga haijalishi kipato ulichokuwa nacho. nitafute tushauriane na tufanye kazi yenye ubora na kwa gharama nafuu
07655931771
Frank
Fundi mchundo kwa sasa nafanyia kazi zangu arusha na moshi ila mkoani nafika pia
View attachment 2433210
Akupe mchanganuo. Usiwaamini wajenzi wa insta na facebook. Ni kama kilimo cha matikitiki maji. Ingia uone gharama zake.Hapo sasa nimekupata. Kwa hiyo mil10 hiyo inakamilika kabisa
Anakudanganya huyo....usimuamini.Usiniambie mzeya aise basi fanya uje unijengee bro....hiki kina ukubwa gani? Isije ikawa chumba 2 kwa 2🤣🤣🤣🤣
Umebadilisha avatar au ni id mpya?Concept