Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ameanzaje vizuri mkuu. Mbona nimesoma aya ya kwanza tu nikachanganyikiwa. Kasema hivi
"Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?."
Sasa sijui wakati mtu anasave hiyo kodi ya nyumba badala ya kuilipia pango atakuwa analala wapi
ukikimbizana na chizi aliye uchi utaonekana na wewe chizi!. chief siwez kubishana na wewe unaeleta ligi zisizo na maana. fungua uzi wako wa hilo unalotaka kulianzisha hapa si pahala pake leta mada za ujenzi km huna kaa kimya!!!.I will be watching You.
chief kwako ni kwako tu hakuna raha km unaamikia kwako hudaiwi hata 100. kuna feeling flan hivi ya relief unapata maana haufanyi kazi ili unfaidishe mtu kwa kumlipa kwa ajili ya sehemu ya kulala
siku hizi jf imejaa watoto wachuo na limbukeni wa mitandao. zamani mtu kuwepo jf lazm awe na akili zake timamu siku hizi kumevamiwa ile slogan home of great thinker imepotea kwa aina ya watu walio humuJf ya siku ya ajabu sana. Kama unaona thread haina Maana si upite tu kuliko kuanzisha ligi zisizo na kichwa wala miguu.
I will be watching you.😳ukikimbizana na chizi aliye uchi utaonekana na wewe chizi!. chief siwez kubishana na wewe unaeleta ligi zisizo na maana. fungua uzi wako wa hilo unalotaka kulianzisha hapa si pahala pake leta mada za ujenzi km huna kaa kimya!!!.
Mawazo hayo ya wanachuo. Wanachukulia mambo juu juu sanaAmeanzaje vizuri mkuu. Mbona nimesoma aya ya kwanza tu nikachanganyikiwa. Kasema hivi
"Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?."
Sasa sijui wakati mtu anasave hiyo kodi ya nyumba badala ya kuilipia pango atakuwa analala wapi
🤣🤣🤣anza kununua nondo moja.Na mimi ambaye nataka kujenga ghorofa ya chumba kimoja unanishauri nianze foundation na Elfu ngapi kiongozi?[emoji276]
watu tumejenga kwa hivyo hivyo hiyo nondo moja unayoizarau. laki moja unayoiona unaichoma kwny bia na starehe mimi nilinunua cement mifuko minne iliyoniwezesha kumwaga ground beam. so kupanga ni kuchagua na vipaumbele vya mtu husika🤣🤣🤣anza kununua nondo moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]anza kununua nondo moja.
watu tumejenga kwa hivyo hivyo hiyo nondo moja unayoizarau. laki moja unayoiona unaichoma kwny bia na starehe mimi nilinunua cement mifuko minne iliyoniwezesha kumwaga ground beam. so kupanga ni kuchagua na vipaumbele vya mtu husika
Africa sisi nano aliyeturoga kwamba lazima kujenga,yani unakuta MTU anahangaika maisha yake yote hata kula inakuwa shida ili tu ajenge.
chief hujui hustle ya kupanga wewe hakuna security ya maana kwako na familia yako km sehemu yah kukaa ukilala njaa siku moja km uko kwako hakuna wakukudai kaa nyumba ya kupanga sasa alafu mishe zimegoma. hata ikitokea umepata tatizo lolote kikaz at least una sehemu yakukimbilia. huwez elewa umuhimu wa kujenga na hustle zilizo kwny nyumba ya kupanga km kula kulala ni kwa shemeji!.Africa sisi nano aliyeturoga kwamba lazima kujenga,yani unakuta MTU anahangaika maisha yake yote hata kula inakuwa shida ili tu ajenge.
Hiyo namba yako ya simu mbona imezidi? Naona tarakimu 11Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?.
wengi watakuambia ujenzi si Lele mama. ni kweli; kujenga nyumba ya mil 40 km unakipato cha kawaida si kazi ndogo
ila nataka nikuambie kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ukitaka ukamilishe malengo yako yeyote yake. fikiria kwa ukubwa ila chukua hatua ndogo
ukiuliza timu yoyote duniani ambayo imeshawahi kushinda taji siri ya mafanikio . watakuambia we take one match at a time
Vilevile kwenye ujenzi ukitaka kufikia malengo ya kujenga nyumba ya ndoto acha kufikiria wapi utatoa zaidi ya 40M kujenga nyumba ya ndoto yako.
bali anza kufikiria
1. kununua kiwanja
2.kununua tofali moja
3.kujenga msingi wa nyumba
- kuna jamaa alinifwata na kuniuliza namna gani angeweza kujenga nyumba ya ndoto yake na kuepukana na pango ikiwa ana kipato kidogo?!.
tulikaa chini tukajadiliana, na kutengeneza plan ya anachotaka kukifanya si pesa tu bali msukumo unahitajika.
tunavyoongea sasa hv tumeshamaliza phase ya kwanza ya nyumba yake na toyar tumepanga tarehe ya kuanza phase ya pili
- na wewe pia unaweza kujenga haijalishi kipato ulichokuwa nacho. nitafute tushauriane na tufanye kazi yenye ubora na kwa gharama nafuu
07655931771
Frank
Fundi mchundo kwa sasa nafanyia kazi zangu arusha na moshi ila mkoani nafika pia
View attachment 2433210
sorry ilizidi tarakimu moja namba ni 0765931771 au 0783166050Mtoa mada Double check namba uliyoweka apo sio sahihi 07655931771
namba ni 0765931771 au 0783166050Hiyo namba yako ya simu mbona imezidi? Naona tarakimu 11