Namna ya kujenga nyumba ya ndoto yako kwa budget ndogo sana

Namna ya kujenga nyumba ya ndoto yako kwa budget ndogo sana

Hapo sasa nimekupata. Kwa hiyo mil10 hiyo inakamilika kabisa
Huyu jamaa ni tapeli hili tangazo kaiga kwa mtu instagram kaja huku kabadilisha namba ya simu na maneno kidogo. Jamaa asiwaongopee MNAENDA KUPIGWA. ANAWAPANGA HAPO AKAWAPIGE. KUNA JAMAA YANGU ALISHALIZWA NA MTU WA HIVI.
iga na wewe. njoo na fact hapa acha maneno ya kike utavishwa sketi njoo utoe fact hizo taarabu kaziimbie pengine sisi hatuna time ya waimba taarabu
 
Hapa nagundua kuna tapeli hakuna fundi. Wadau msije mkajichanganya huyu jamaa ni tapeli hata elimu ndogo tu hana ya uelewa.... Msije sema sikuwaonya.
wewe ndo huna elimu ya uelewa karne hii unamuuliza mtu kwamba arusha ni mkoa wakt mtoto wangu ambaye yuko kindergarten anajua kuwa arusha ni mkoa. kwakweli sio kila jina lakujiita ona sasa umejiita chizi mwishowe umekuwa chizi kwelii
 
wewe ndo huna elimu ya uelewa karne hii unamuuliza mtu kwamba arusha ni mkoa wakt mtoto wangu ambaye yuko kindergarten anajua kuwa arusha ni mkoa. kwakweli sio kila jina lakujiita ona sasa umejiita chizi mwishowe umekuwa chizi kwelii
Hujielewi. Umeandika arusha na Moshi na Mikoani tuna..... Inaonekana hata hujui Mikoani ni wapi na Hujui hata Moshi ni wapi...😂 Yaani kama mtu anasema nauza pepsi na ukitaka soda pia zipo... Hapa ndo nikakuuliza Arusha ni wapi? Na hujui Moshi ni nini. Unajiita fundi kumbe tapeli kilaza.
 
Mpo wangapi? Humu huibii watu kama kule insta
uliza fact utajibiwa kwa fact chief habar za insta sijui tuko wangapi hayo ni mambo ya kike achia wanawake tena wa uswahilini maana kuna wanawake hawana maneno ya taarabu kama wewe
 
Hujielewi. Umeandika arusha na Moshi na Mikoani tuna..... Inaonekana hata hujui Mikoani ni wapi na Hujui hata Moshi ni wapi...😂 Yaani kama mtu anasema nauza pepsi na ukitaka soda pia zipo... Hapa ndo nikakuuliza Arusha ni wapi? Na hujui Moshi ni nini. Unajiita fundi kumbe tapeli kilaza.
kuna jukwaa la lugha na mmu au fungua tread yako yenye hilo unalotaka kulianzisha. nimeleta topic ya ujenzi ulizwa maswala ya ujenzi hili sijui arusha iko sijui wapi na moshi halisaidii katika mada ya ujenzi. sijasomea geography wala lugha nimesomea PCM na mahesabu ninachoelewa niulize kuhusu hesabu za bati, tofali n.k hazi ngonjera nyie watu wataarabu ndo mambo yenu mm sio mtu wa huko arifu
 
kuna jukwaa la lugha na mmu au fungua tread yako yenye hilo unalotaka kulianzisha. nimeleta topic ya ujenzi ulizwa maswala ya ujenzi hili sijui arusha iko sijui wapi na moshi halisaidii katika mada ya ujenzi. sijasomea geography wala lugha nimesomea PCM na mahesabu ninachoelewa niulize kuhusu hesabu za bati, tofali n.k hazi ngonjera nyie watu wataarabu ndo mambo yenu mm sio mtu wa huko arifu
Mi nipo to alert people wasiibiwe. Ndo jukumu langu.
 
hicho ulichokiuliza kinapima vp integrity ya mtu matatizo yakutumia makalio kufikiri badala ya kichwa ni makubwa sana. tumia ubongo wako kufikiri kisawasawa chief
Naona unavyotokwa povu. Humu hudanganyi watu kama unavyofanya insta. Halafu una wablock
 
Mi nipo to alert people wasiibiwe. Ndo jukumu langu.
hicho ulichokiuliza kinapima vp integrity ya mtu matatizo yakutumia makalio kufikiri badala ya kichwa ni makubwa sana. tumia ubongo wako kufikiri kisawasawa chief
Mi nipo to alert people wasiibiwe. Ndo jukumu langu.
kwa kukusaidia tu siku nyingine uwe unafikiri kabla ya kusema fact gani zinazo kufanya ubwabwaje mdomo bila ya kuwaza unayo yasema km ni ishu ya kupima uaminifu wangu ungekuja kwa ground na fact zinazohusu ujenz. twende kwa fact, i have more than 10 years experience in construction industry nimefanya kaz za watu binafsi, taasisi mbalimbali na kujenga majengo mengi sana alafu mtu umetoka mbwinde jana unakuja na nye nye nye
 
Naona unavyotokwa povu. Humu hudanganyi watu kama unavyofanya insta. Halafu una wablock
aliyetokwa na povu mimi au wewe mm nakujibu ukiyoyaanzisha tuanze tu na maswali mawili madogo
1. kinachokufanya unione nawadanganya watu ni nini?
2.leta proove ya hayo unayoyasema kuhusu insta. nimeshadeal na watu negative wa dizaini yako wengi sana wala sisumbuki kwa chochote.

mtu hujui chochote kuhusu ujenzi alafu mada ya ujenzi imeletwa unaanza kuleta maneno ya kike. ungebisha kuhusu jambo flani nililoliongea kuhusu ujenzi ningekuona wa maana badala yake unakuja nastor za kike hapa angalia usije tolewa mahari ukaolewa ohooo
 
aliyetokwa na povu mimi au wewe mm nakujibu ukiyoyaanzisha tuanze tu na maswali mawili madogo
1. kinachokufanya unione nawadanganya watu ni nini?
2.leta proove ya hayo unayoyasema kuhusu insta. nimeshadeal na watu negative wa dizaini yako wengi sana wala sisumbuki kwa chochote.

mtu hujui chochote kuhusu ujenzi alafu mada ya ujenzi imeletwa unaanza kuleta maneno ya kike. ungebisha kuhusu jambo flani nililoliongea kuhusu ujenzi ningekuona wa maana badala yake unakuja nastor za kike hapa angalia usije tolewa mahari ukaolewa ohooo
I will be watching you. Kuhakikisha huwaibiii watu.
 
Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?.

wengi watakuambia ujenzi si Lele mama. ni kweli; kujenga nyumba ya mil 40 km unakipato cha kawaida si kazi ndogo

ila nataka nikuambie kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ukitaka ukamilishe malengo yako yeyote yake. fikiria kwa ukubwa ila chukua hatua ndogo

ukiuliza timu yoyote duniani ambayo imeshawahi kushinda taji siri ya mafanikio . watakuambia we take one match at a time

Vilevile kwenye ujenzi ukitaka kufikia malengo ya kujenga nyumba ya ndoto acha kufikiria wapi utatoa zaidi ya 40M kujenga nyumba ya ndoto yako.
bali anza kufikiria
1. kununua kiwanja
2.kununua tofali moja
3.kujenga msingi wa nyumba
- kuna jamaa alinifwata na kuniuliza namna gani angeweza kujenga nyumba ya ndoto yake na kuepukana na pango ikiwa ana kipato kidogo?!.

tulikaa chini tukajadiliana, na kutengeneza plan ya anachotaka kukifanya si pesa tu bali msukumo unahitajika.

tunavyoongea sasa hv tumeshamaliza phase ya kwanza ya nyumba yake na toyar tumepanga tarehe ya kuanza phase ya pili
- na wewe pia unaweza kujenga haijalishi kipato ulichokuwa nacho. nitafute tushauriane na tufanye kazi yenye ubora na kwa gharama nafuu
07655931771
Frank
Fundi mchundo kwa sasa nafanyia kazi zangu arusha na moshi ila mkoani nafika pia
View attachment 2433210
Sio kwamba watu hawataki kujenga shida mafundi mchundo wezi sana mpaka msumari mnaiba.Mnataka mwenye nyumba asitoke na akisimama pembeni yenu hamfanyi kazi mpaka akereke aondoke mpate mwanya wa kupiga.Lini mtaacha hii tabia ?
 
Sio kwamba watu hawataki kujenga shida mafundi mchundo wezi sana mpaka msumari mnaiba.Mnataka mwenye nyumba asitoke na akisimama pembeni yenu hamfanyi kazi mpaka akereke aondoke mpate mwanya wa kupiga.Lini mtaacha hii tabia ?
chief wizi ni hurka ya mtu ivi umetengenezewa boq inayoonyesha mifuko mitano inamwaga lintel beam na umeambiwa ulete mifuko mitano ya lintel beam na upo site ikiwa inamwagwa unaibiwa vipi?.
tatizo bahati mbaya wengi wanao taka kujengewa hawafati protocol za ujenzi kwa kupenda slope lazma upigwe tu. kumbuka bure gharama kuna loss kubwa sana inatokea kwa sabb ya poor estimate of material. na material cost ni almost 70% ya total cost ya mradi. kwahio km estimate itafanyika vibaya na ukanunua material nyingi zaidi ya zinazohitajika hivi ndo vinachangia wizi sasa fundi amekuagiza nondo tani 3 na anaona 2 tu zimetumika unafikir atafanyaje zaidi ya kukupiga. na kwakua ulijidai mjuaji basi kipigo kinakustahili

unaambiwa utafute ramani ikusaidie estimate ya material unajidai kuleta kujua kwingi. mwishowe fundi anabuni sehemu ya bati 6 leta 10. utaacha kupigwa kweli.
in short taratibu za ujenzi ziko very straight. tafuta ramani hata km ni banda la kuku fanya estimate ya gharama za ujenzi ikiwemo material na labour charge, then anza ujenzi ukitumia reference ya boq yako. ila leta kujua kwingi sasa utapigwa tuu
 
Sio kwamba watu hawataki kujenga shida mafundi mchundo wezi sana mpaka msumari mnaiba.Mnataka mwenye nyumba asitoke na akisimama pembeni yenu hamfanyi kazi mpaka akereke aondoke mpate mwanya wa kupiga.Lini mtaacha hii tabia ?
chief wizi ni hurka ya mtu ivi umetengenezewa boq inayoonyesha mifuko mitano inamwaga lintel beam na umeambiwa ulete mifuko mitano ya lintel beam na upo site ikiwa inamwagwa unaibiwa vipi. tatizo bahati mbaya wengi wanao taka kujengewa hawafati protocol za ujenzi kwa kupenda slope lazma upigwe tu. unaambiwa utafute ramani ikusaidie estimate ya material unajidai kuleta kujua kwingi. mwishowe fundi anabuni sehemu ya bati 6 leta 10. utaacha kupigwa kweli.
in short taratibu za ujenzi ziko very straight. tafuta ramani hata km ni banda la kuku fanya estimate ya gharama za ujenzi ikiwemo material na labour charge, then anza ujenzi ukitumia reference ya boq yako
I will be watching you. Kuhakikisha huwaibiii watu.
chief umenikosea sana. kwa miradi ya ujenzi niliyoifanya na tenda za ujenzi nilizokuwa nazo nije kuiba nini sasa hapa. kuna mtu mwenye uwezo wakujenga nyumba ya mil 110 aje apige kelele kama hizi hapa.

paper money never make noise coins ndo zina piga kelele if your value increase jifunze kuongea kidogo na kusikiliza sana

bahati mbaya ambao wanawaza kuibiwa hawana uwezo wakujenga hata nyumba ya rumu mbili. kwakua wamezoea wizi wanafikiri kila mmoja ni mwizi. aisee with the experience i have na miradi niliyoifanya wizi sio type ya jambo ambalo naamini linanipa mafanikio bali hard work!.
 
Kabisa. Nawafahamu hawa jamaa wanaamini sisi huku ni mazoba....simwachi aendelee kupotosha watu huyu ni Kalyinda kabisa kwa style hii.
tatizo mwizi anawaza wizi maisha yake yote nimekuambia njoo na proof ya hayo unayo yaongea au jenga hoja acha kelele. come on challenge me kwa fact unachoona napotosha ni nini njoo na hoja...
 
Back
Top Bottom