Namna ya kujenga nyumba ya ndoto yako kwa budget ndogo sana

Jf ya siku ya ajabu sana. Kama unaona thread haina Maana si upite tu kuliko kuanzisha ligi zisizo na kichwa wala miguu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
I will be watching You.
ukikimbizana na chizi aliye uchi utaonekana na wewe chizi!. chief siwez kubishana na wewe unaeleta ligi zisizo na maana. fungua uzi wako wa hilo unalotaka kulianzisha hapa si pahala pake leta mada za ujenzi km huna kaa kimya!!!.
 
Jf ya siku ya ajabu sana. Kama unaona thread haina Maana si upite tu kuliko kuanzisha ligi zisizo na kichwa wala miguu.
siku hizi jf imejaa watoto wachuo na limbukeni wa mitandao. zamani mtu kuwepo jf lazm awe na akili zake timamu siku hizi kumevamiwa ile slogan home of great thinker imepotea kwa aina ya watu walio humu
 
ukikimbizana na chizi aliye uchi utaonekana na wewe chizi!. chief siwez kubishana na wewe unaeleta ligi zisizo na maana. fungua uzi wako wa hilo unalotaka kulianzisha hapa si pahala pake leta mada za ujenzi km huna kaa kimya!!!.
I will be watching you.😳
 
Mawazo hayo ya wanachuo. Wanachukulia mambo juu juu sana
 
🤣🤣🤣anza kununua nondo moja.
watu tumejenga kwa hivyo hivyo hiyo nondo moja unayoizarau. laki moja unayoiona unaichoma kwny bia na starehe mimi nilinunua cement mifuko minne iliyoniwezesha kumwaga ground beam. so kupanga ni kuchagua na vipaumbele vya mtu husika
 
watu tumejenga kwa hivyo hivyo hiyo nondo moja unayoizarau. laki moja unayoiona unaichoma kwny bia na starehe mimi nilinunua cement mifuko minne iliyoniwezesha kumwaga ground beam. so kupanga ni kuchagua na vipaumbele vya mtu husika

Ubarikiwe kiongozi,maana kuna wajuba humu wazee wa ccm wanakwambia msingi tu wa ghorofa room mbili hadi uwe na milioni 50[emoji28]kumbuka huo ni msingi tu
 
Africa sisi nano aliyeturoga kwamba lazima kujenga,yani unakuta MTU anahangaika maisha yake yote hata kula inakuwa shida ili tu ajenge.
 
Africa sisi nano aliyeturoga kwamba lazima kujenga,yani unakuta MTU anahangaika maisha yake yote hata kula inakuwa shida ili tu ajenge.

Kama unakaa kwa shemeji hautakuwa na ulazima wowote wa kujenga
 
Africa sisi nano aliyeturoga kwamba lazima kujenga,yani unakuta MTU anahangaika maisha yake yote hata kula inakuwa shida ili tu ajenge.
chief hujui hustle ya kupanga wewe hakuna security ya maana kwako na familia yako km sehemu yah kukaa ukilala njaa siku moja km uko kwako hakuna wakukudai kaa nyumba ya kupanga sasa alafu mishe zimegoma. hata ikitokea umepata tatizo lolote kikaz at least una sehemu yakukimbilia. huwez elewa umuhimu wa kujenga na hustle zilizo kwny nyumba ya kupanga km kula kulala ni kwa shemeji!.
 
Hiyo namba yako ya simu mbona imezidi? Naona tarakimu 11
 
Mtoa mada Double check namba uliyoweka apo sio sahihi 07655931771
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…