Atufigwege Kilindu
Member
- Aug 24, 2013
- 29
- 8
Heshima na tahadhima natanguliza kwenu wadau, JF, ni sehemu iliyo saidia sana kukuza akili ya kiuchumi.
Sasa ninawaomba watanzania wenzangu, tujadili kwa kina suala la NAMNA YA KUJIAJIRI NA KUTENGENEZA AJIRA. Kama nyenzo mojawapo ya kupambana na tatizo la ajira nchini, maana hali kama ya Nigeria~Abuja, iliyo uwa watu kadha sababu ya ajira, hata tanzania inakuja na sasa ipo. Je? tufanyeje ili kulinusuru taifa.
Sasa ninawaomba watanzania wenzangu, tujadili kwa kina suala la NAMNA YA KUJIAJIRI NA KUTENGENEZA AJIRA. Kama nyenzo mojawapo ya kupambana na tatizo la ajira nchini, maana hali kama ya Nigeria~Abuja, iliyo uwa watu kadha sababu ya ajira, hata tanzania inakuja na sasa ipo. Je? tufanyeje ili kulinusuru taifa.