Namna ya kujilinda na wezi wanaovamia kama kundi/wanaoandamana kama mbwa mwitu

Namna ya kujilinda na wezi wanaovamia kama kundi/wanaoandamana kama mbwa mwitu

Ishu kubwa ni wananchi kujiorganize kimtaa waunde vikundi vya usalama
Ulinzi shirikishi unaamisha? Ufutwe tu. Ni kichaka cha vibaka na upigaji hela za wananchi.
Hapa katiba irekebishwe kumiliki silaha zisizo za kivita iwe haki ya kikatiba kama kununua nyanya sokoni. Exception kuwe na database ya taifa ya background checks itakayounganisha Mahakama, uhamiaji, takukuru, TISS na vyombo vya usalama ku blacklist criminals wasinunue silaha. Kama haumo kwenye database na una akili timamu unanunua tu hata bunduki kumi.

Hii italeta nidhamu. Imagine mtaa mzima wana vyuma huyo mwizi hajipendi kwenda kufanya uhalifu. Maana mtu anakuchapa tu toka dirishani akiona unataka kumdhuru jirani yake.
 
Yani hiyo ndio dawa sema wabongo waoga mi mwenyewe nilivyoskia hii Habari roho imeniuma sana kuna panga langu niliazima mafundi wameliribu,kesho naenda kunnua jipya na kulinoa atakaesogea labda niwe nimelala.
Mkuu Fyekeo Ni Zuri zaidi linafika mbali zaidi Kuliko Upanga na Pia Ni jepesi kutumia kwa Staili yoyote..!
 
Tafuta helmet,chongesha ngao itakayoweza ku cover mwili wote na hiyo ngao chomelea misumari ili adui akitaka kukumbatia misumari iweze kumchoma,tafuta mkuki na panga usisahau na upinde kuna ile upinde yenye sumu,dirishani na mlangoni tegesha masufuria hapo utakuwa umemaliza kazi jombi.
Nimeshaua vibaka 2 kwa style hiyo kuna jirani yangu alivamiwa na wezi alipiga kelele sana lakini hakuna jirani yoyote aliyetoka nje kutoa msaada,nikajitoa kimasomaso nikavaa vyombo mithili ya movie ya Spartacus ,vibaka 2 walikimbia vibaka wawili nikawafanya bucha
 
Wacheni Propaganda.
Kwanini iwe lazima tuwe kama makaburu?
Kwanini mnalazimisha tuwe na maadili yenu?
Watu wanajibishana jibishana utafikiri kuna ukweli wa ukweli katika jambo hili.

Panga kisu ngumi vinatosha kwa 'Ubuntu'

Hizi ni kelele tu, tena ni za kipuuzi, tena sana.

Aluta Continua
Kumbuka hawa hawaji wawili au watatu ni minimum ni watu 30 ..wanaweza fika hata 50
 
Hawa Panya bana nikuomba tuu Mungu usikutane nao njiani au wasikufungie kazi kukuvamia wewe nyumbani
Kuna MTU walimvamia kwake zaidi ya 50 usiku wa manane...advertise geti lilipigwa baruti likajikunja kama kopo
Huyo MTU alipambana ila bastola walimpora, ni wale wanaishi mbali mbali yaani huyu hapa jirani kuleee....
Ikitokea wewe binafsi umekutana na Panya road usiku wakikwambia utoe ulichonacho wewe wape kiroho safi ondoka upange njia nyingine za kupata mali zako
Ikitokea unaona kundi la watu linakuja mbele yako na hauwa helewi wewe kimbia tuu.

Panya wanabaka, wanalawiti na kuua.

Sungu sungu wa baadhi ya mitaa hawana misaada wowote sababu Panya wengine ni watoto wa Dada zao, Shemeji zao n.k.

Panya hutokea Mara chache wakakuacha kama ikitokea kuna mmoja tuu anakujua na wewe ni MTU peace.
Panya hawataki ubishi au ujuaji wakikukabananisha.
 
Tafuta helmet,chongesha ngao itakayoweza ku cover mwili wote na hiyo ngao chomelea misumari ili adui akitaka kukumbatia misumari iweze kumchoma,tafuta mkuki na panga usisahau na upinde kuna ile upinde yenye sumu,dirishani na mlangoni tegesha masufuria hapo utakuwa umemaliza kazi jombi.
Nimeshaua vibaka 2 kwa style hiyo kuna jirani yangu alivamiwa na wezi alipiga kelele sana lakini hakuna jirani yoyote aliyetoka nje kutoa msaada,nikajitoa kimasomaso nikavaa vyombo mithili ya movie ya Spartacus ,vibaka 2 walikimbia vibaka wawili nikawafanya bucha
Picha ya hizo nguo zako tafadhali
 
Mkuu Fyekeo Ni Zuri zaidi linafika mbali zaidi Kuliko Upanga na Pia Ni jepesi kutumia kwa Staili yoyote..!
Vi vzr pia kuwa unafanya mazoez ya kumfyeka mwizi wakati wa mapambano. Ukumbuke silaha ukishindwa kuitumia wakaikamata umekwisha, msisahau mnao pendekeza matumizi ya silaha.

Silaha kuu za aina mbili
1. Vifaa maalumu kama panga nk.
2. Mbio. Mbio ni muhimu sana inapotokea unazidiwa na ukumbuke hata mwizi akiona unamzidi na amepata upenyo. Anaitumia silaha aina ya Mbio...

Tuchukie ushaur wa kuwa na filimbi ndani wanamtaa wote
 
Vibaka twawajua, twaishi nao

Tatizo hatutoi ushirikiano wakamatwapo...

Njia pekee ni kuwaua, ila hapa napo kuna tatizo mnaweza ua wasio husika kabisa.
Au kwa sababu ya wingi wao wakakugeuzia kibao kuwa we ndo mwizi
 
Unafunga mipaka. Wasije ingia toka bara la Ulaya. Kumejaa wezi bara hilo

Hakutakuwa na maandamano kama ya mbwa mwitu yanayoonekana humu JamiiForums.
Maandamano yametungwa kisayansi na Wezi wa Bara la Ulaya. Kila kukicha wanaparamia yasiyo yao kama mbwa mwitu. Wanaandamana kama mbwa mwitu, mimate kuwatoka kwa vitu sio vyao.
Watu wa bara la ulaya Ni wezi na wanandamana kama mbwa mwitu.
 
Kulegeza masharti ya umiliki was silaha ni kutengeneza tatizo jipya kubwa zaidi.. Marekani ilijaribu hii, sasa hivi wanateseka na gun control.

Bado jeshi la polisi halijashindwa kudhibiti hivi vikundi vya uporaji, likifanya oparesheni maalum ya wiki moja tu na kuonesha mfano, vinabaki historia.
Na si oparation baada ya kuskika matukio tu, lahashaa inapaswa kuwa endelevu wakat kwa wakat ......kila mwez mfano....kaungalia usalama na viashiria vya hatar.....
 
Polisi Wala hawahangaiki sijakitana nao. Labda kama wapo kwenye private
 
Back
Top Bottom