Namna ya kula embe dodo kistaarabu

Namna ya kula embe dodo kistaarabu

MPANDA MTI WAKO WA EMBE DODO
Ili uweze kulifaidi embe dodo ni vyema ukawa na mti wako mwenyewe. Ukizoea kununua sokoni kuna wakati mwingine utapata lililo haribika.

Nawashauri wenzangu kupanda mti wako mwenye. Ukiupanda mti huo wa embe dodo unaumwagilia vizuri. Utachuma tunda kwa muda unaoutaka mwenyewe pindi litoapo matunda. Unaweza kuchuma tunda likiwa changa au mbichi a ulikiwa limeiva. Utakula utakavyo mwenye maana mti ni wako.

Ukipenda kununua au kuimba embe sikumoja utakutana na embe lililoharibika. Hasa hasa wanaopenda kuimba kwenye miti inayo milkiwa na wengine unaweza ukasababisha matatizo kwako mwenyewe au kwa watu wengine wanaokuzunguka.

Bora kununua sokoni kuliko kuiba shambani. Kama huna eneo la kupanda mti wa embe dodo basi angalau uwe unaenda sokoni kununua kuliko kuingia kwenye shamba la mtu mwingine na kuchuma embe dodo.
 
Embe dodo likiwa limeiva
Embe dodo likiwa limeiva kisawa sawa ni tamu mno. Sasa ustaarabu wa kilila ndio unatakiwa ufundishwe. Wale warafi na wasiojua namna ya kulila embe dodo unaweza kuwakuta wanalibinya mbinya na kulibonda mbonda kisha linakuwa tepe tepe. Wanatoboa kitundu na kisha wanaanza kulinyonya. Hakika huu sio ustaarabu wa ulaji wa embe dodo.

Kwanza kabisa embe dodo ni vyema ukalipata kwa kununua au kuchuma kwenye mti. Kisha lioshe na maji safi. Wengine wanapendelea kula na maganda yake. Lakini mimi nashauri ule na maganda yake ikiwa maganda bado ni ya kijani.

Ukitaka kula na maganda yake; osha chmbo chako vizuri na uwe umeendaa kisu cha kukatia katia nacho lazima kiwe safi. Kata kata vipande vidogo vidogo. Weka kwenye sahani safi. Kisha chukua umma, chukua kipande kimoja kimoja taratibu. Nashauri unatakiwa uwe na tissue paper au lesso maana wakati mweingine embe hili linaweza kuwa limeiva sana likatoa maji maji.

Ukiwa unataka kula bila maganda. Ondoa maganda ya embe dodo taratibu na siyo kwa pupa. Kisha kata kata vipande vidogo vidogo. Endelea kuweka vipande hivyo kwenye sahani safi. Kisha chukua umma au vijiti vya kuchukulia kipande kimoja kimoja.

Kokwa la embe dodo haliliwi. Unaweza ukalihifadhi kwaajili ya kupanda ili uoteshe dodo jingine.
Ndio embe limeisha?

Nakazia ni marufuku narudia marufuku kuvundika embe lililokomaa na halijaiva, hili tunakulaga kwa kujificha usijekuombwa au kuporwa na wenzako hasa kama mmepinga mputo 😅😅😅
 
Ni vigumu kufugia mti porini
MPANDA MTI WAKO WA EMBE DODO
Ili uweze kulifaidi embe dodo ni vyema ukawa na mti wako mwenyewe. Ukizoea kununua sokoni kuna wakati mwingine utapata lililo haribika.

Nawashauri wenzangu kupanda mti wako mwenye. Ukiupanda mti huo wa embe dodo unaumwagilia vizuri. Utachuma tunda kwa muda unaoutaka mwenyewe pindi litoapo matunda. Unaweza kuchuma tunda likiwa changa au mbichi a ulikiwa limeiva. Utakula utakavyo mwenye maana mti ni wako.

Ukipenda kununua au kuimba embe sikumoja utakutana na embe lililoharibika. Hasa hasa wanaopenda kuimba kwenye miti inayo milkiwa na wengine unaweza ukasababisha matatizo kwako mwenyewe au kwa watu wengine wanaokuzunguka.

Bora kununua sokoni kuliko kuiba shambani. Kama huna eneo la kupanda mti wa embe dodo basi angalau uwe unaenda sokoni kununua kuliko kuingia kwenye shamba la mtu mwingine na kuchuma embe dodo.
 
Sipendi lugha ya sanaa hasa kwenye masuala ya ngono, it's a big turn off to me, this is feminine frame.
 
Naamini hili ni lile dodo tunalookota chini ya mnazi nakuelewa sana mleta mada
 
Aya mkuu tunaomba utufundishe namna ya kula embe dodo kimasihara[emoji23]
 
Duh kweli baso sijayajua mengi nasubiri summary ya chapter A to Z maana muandishi ndo walewale
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Embe dodo eeeh!?

Acheni hizo. Adhabu yake ni mvua 30+
Screenshot_20230123-144904_Samsung%20Internet.jpg
 
Embe dodo likiwa limeiva
Embe dodo likiwa limeiva kisawa sawa ni tamu mno. Sasa ustaarabu wa kilila ndio unatakiwa ufundishwe. Wale warafi na wasiojua namna ya kulila embe dodo unaweza kuwakuta wanalibinya mbinya na kulibonda mbonda kisha linakuwa tepe tepe. Wanatoboa kitundu na kisha wanaanza kulinyonya. Hakika huu sio ustaarabu wa ulaji wa embe dodo.

Kwanza kabisa embe dodo ni vyema ukalipata kwa kununua au kuchuma kwenye mti. Kisha lioshe na maji safi. Wengine wanapendelea kula na maganda yake. Lakini mimi nashauri ule na maganda yake ikiwa maganda bado ni ya kijani.

Ukitaka kula na maganda yake; osha chmbo chako vizuri na uwe umeendaa kisu cha kukatia katia nacho lazima kiwe safi. Kata kata vipande vidogo vidogo. Weka kwenye sahani safi. Kisha chukua umma, chukua kipande kimoja kimoja taratibu. Nashauri unatakiwa uwe na tissue paper au lesso maana wakati mweingine embe hili linaweza kuwa limeiva sana likatoa maji maji.

Ukiwa unataka kula bila maganda. Ondoa maganda ya embe dodo taratibu na siyo kwa pupa. Kisha kata kata vipande vidogo vidogo. Endelea kuweka vipande hivyo kwenye sahani safi. Kisha chukua umma au vijiti vya kuchukulia kipande kimoja kimoja.

Kokwa la embe dodo haliliwi. Unaweza ukalihifadhi kwaajili ya kupanda ili uoteshe dodo jingine.
Ukifika kwenyee,,,uji wa nazi na kitumbua cha kundee nitag tafadhali nipo hapa nakusubiri
 
Back
Top Bottom