Namna ya kumfanya mpenzi wako wa kike akung'ang'anie

Upumbavu wote huu alafu ukute hauna hata milioni tano za akiba kwenye account.Bora bandari iuzwe tu.
 
Kwa hali hii wanaume tutazidi kufa mapema.
 
Ndio akili za uvccm hizi, awamu hii ya mpito shida tupu.
 
Dah nmeshndwa hta niseme nini sema ndo hvyo under 20
 
Na haya ni Mawazo mabaya kuwah tokea dunian toka dunia iubwe,,, kama hun hela we piga, danganya,, nasema hv mdanganye, una majumba ostabay,, una hotel mikoan una mabas mengi ila hujaandika majina yako unaogopa wakikujua wewe tajir utatekwa,, nasemaje siku ukipewa umkaze kuweka tu yemwenyewe ana squiziiii nasemaje hatakusahau mpaka unakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…