Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #61
Utatulete mrejesho 😀Tulia wewe😬😬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utatulete mrejesho 😀Tulia wewe😬😬
Kifo kipo tu, usiogopeKwa hali hii wanaume tutazidi kufa mapema.
Kila kitu kina umuhimu kikitengewa mudaNitenge siku nzima??
Na bia huko bar zitakuwa zinamsubiri nani?
Sorry mafuta ya masaji hayo yanaitwaje kuna mpiga puli hapa anayaulizia
hata mim mkuu sipendi kugandwa kabisaSipendi mwanamke aning’ang’anie
Kwa hiyo ufundi/ubunifu ndio unapatika huko?Punguza kutazama porn. Ni hatari kwa afya yako ya akili
Huyu mtoa mada anaonyesha bado chizi hajui pesa ndio kila kituUtamfanyia yote hayo hata wiki mfululizo na nje atatoa mzigo kiroho Safi.
Kwenye mapenzi lazima ujitoe ufahamu, ukijifanya mzee wa busara, vijana wakihuni watakugongea mrembo huko mtaani huku wakipewa hela ulizozitafuta wewe.Dah nmeshndwa hta niseme nini sema ndo hvyo under 20
Unaanza kwa kufanya yafuatayo:-
Tenga siku nzima ya wewe kuwa na mpenzi wako Tafuta sehemu yenye utulivu, iwe ni kwako au nyumba ya wageni n.k Tafuta mafuta kwa ajili ya masaji Mkiwa ndani, anza kumpapasa taratibu kwa hisia Baada ya hapo alale kifudi fudi (alalie tumbo), uanze kumchua (massage) Mkande mwili mzima kwa ustadi mkubwa; mgongoni, shingoni, kiunoni, makalio, na miguu. Mwambie ageuke alalie mgongo Anza tena kumchua mwili wote kwa ustadi Cheza na kifua chake kwa umakini; mikononi, tumboni, mapajani na miguuni Nenda pale kati anza kupachezea kwa ufundi mkubwa, mpaka aanze kupiga makelele; atataka apelekewe moto kwa sababu ataanza kuutafuta ukuni; ila usimpelekee moto kwa hatua hii. Amia tena kwenye kifua ,tumboni, mapajani, miguuni; utamuona anatetemeka na mapigo ya moyo kuwa juu. Rudi tena pale kati upachezee, mpaka afikie mwisho, kama ni wa maji yataruka mengi. Baada ya hapo ataanza kucheka na kuona aibu; Anza kumpelekea moto uwezavyoUkifanikiwa kuyafanya hayo yote, siku zote atakuwa anakutafuta kwa huduma.
Siku moja jaribu kufuata hizo hatua hapo juu, uje utupe mrejesho.Na haya ni Mawazo mabaya kuwah tokea dunian toka dunia iubwe,,, kama hun hela we piga, danganya,, nasema hv mdanganye, una majumba ostabay,, una hotel mikoan una mabas mengi ila hujaandika majina yako unaogopa wakikujua wewe tajir utatekwa,, nasemaje siku ukipewa umkaze kuweka tu yemwenyewe ana squiziiii nasemaje hatakusahau mpaka unakufa
Mad Max1. Kutenga siku nzima = No Mishe (No hela)
2. Chumba cha Wageni (Lodge) Tsh 35,000/= na Usafiri to and fro Tsh 20,000/=
3. Mafuta ya Masaji Tsh 5,000/=
4. Kula vizuri Tsh 15,000 kila mmoja, jumla Tsh 30,000/=
5. Kunywa vizuri Tsh 10,000 kila mmoja jumla Tsh 20,000/=
Jumla Kuu 110,000/= Tsh.
Ukifanya ivo kila wiki, kwa mwezi ni mara 4 inakuja 440,000/= Tsh
Kwa mwaka ni Tsh 5,280,000/=
Hii hela ukinunua bajaji mpya kila siku kwa hesabu ya elfu 30 kwa mwaka (siku 365) unapata Tsh 10,950,000/=
Na bado bajaji inaweza inadumu ata miaka 3 mbele.
Natania bwana, mtoa mada upo sahihi. Ukifanya ivo mademu hawakuachi.
Leo ndio umeongea point tangu uanze kuandika jf.Unaanza kwa kufanya yafuatayo:-
Tenga siku nzima ya wewe kuwa na mpenzi wako Tafuta sehemu yenye utulivu, iwe ni kwako au nyumba ya wageni n.k Tafuta mafuta kwa ajili ya masaji Mkiwa ndani, anza kumpapasa taratibu kwa hisia Baada ya hapo alale kifudi fudi (alalie tumbo), uanze kumchua (massage) Mkande mwili mzima kwa ustadi mkubwa; mgongoni, shingoni, kiunoni, makalio, na miguu. Mwambie ageuke alalie mgongo Anza tena kumchua mwili wote kwa ustadi Cheza na kifua chake kwa umakini; mikononi, tumboni, mapajani na miguuni Nenda pale kati anza kupachezea kwa ufundi mkubwa, mpaka aanze kupiga makelele; atataka apelekewe moto kwa sababu ataanza kuutafuta ukuni; ila usimpelekee moto kwa hatua hii. Amia tena kwenye kifua ,tumboni, mapajani, miguuni; utamuona anatetemeka na mapigo ya moyo kuwa juu. Rudi tena pale kati upachezee, mpaka afikie mwisho, kama ni wa maji yataruka mengi. Baada ya hapo ataanza kucheka na kuona aibu; Anza kumpelekea moto uwezavyoUkifanikiwa kuyafanya hayo yote, siku zote atakuwa anakutafuta kwa huduma.
Sasa haya ni maandalizi ya kugegeda au jinsi ya kumfanya akupende? Mimi nilichosoma kwenye andiko lako ni maandalizi ya kugegeda. Na kumfanyia hivyo mwanamke hakuweza kumfanya akupende. Siku akimpata mwanaume anayepeleka moto zaidi yako, umekwisha!Unaanza kwa kufanya yafuatayo:-
Tenga siku nzima ya wewe kuwa na mpenzi wako Tafuta sehemu yenye utulivu, iwe ni kwako au nyumba ya wageni n.k Tafuta mafuta kwa ajili ya masaji Mkiwa ndani, anza kumpapasa taratibu kwa hisia Baada ya hapo alale kifudi fudi (alalie tumbo), uanze kumchua (massage) Mkande mwili mzima kwa ustadi mkubwa; mgongoni, shingoni, kiunoni, makalio, na miguu. Mwambie ageuke alalie mgongo Anza tena kumchua mwili wote kwa ustadi Cheza na kifua chake kwa umakini; mikononi, tumboni, mapajani na miguuni Nenda pale kati anza kupachezea kwa ufundi mkubwa, mpaka aanze kupiga makelele; atataka apelekewe moto kwa sababu ataanza kuutafuta ukuni; ila usimpelekee moto kwa hatua hii. Amia tena kwenye kifua ,tumboni, mapajani, miguuni; utamuona anatetemeka na mapigo ya moyo kuwa juu. Rudi tena pale kati upachezee, mpaka afikie mwisho, kama ni wa maji yataruka mengi. Baada ya hapo ataanza kucheka na kuona aibu; Anza kumpelekea moto uwezavyoUkifanikiwa kuyafanya hayo yote, siku zote atakuwa anakutafuta kwa huduma.
"paka cha mkongo alkasusu izungushe kwa ndani"[emoji445][emoji445][emoji443]kama huna hela na umaarufu, uwe fundi chumbani,
hawakatai
Kumfanyia vile vitendo, unakuwa kama umempa ulevi, yeye ndio anakuwa anakutafuta akiwa anakumbukia burudani aliyoipata.Bila kumpa hela ni kazi bure
Pesa hainunui hisia zaidi ya kununua maigizoHuyu mtoa mada anaonyesha bado chizi hajui pesa ndio kila kitu