Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
😁😁😁 promise me utakuwa sawaNlifanya yote hayo ila mwsho wa siku nliambiwa "you deserve better"na akaenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁 promise me utakuwa sawaNlifanya yote hayo ila mwsho wa siku nliambiwa "you deserve better"na akaenda
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wewe huoni wanavyo clash au ndiyo message sendKupitia uzi huu, atabadilika
Kipya kikishazoeleka hakina jipya mkuuKwa kumfanyia kile kitendo, ni sawa na kumpa ulevi; atakuwa anatamani mara kwa mara afanyiwe vile
Tafuta tu kwenye googleMafuta yanaitwaje ya masaji
Ndio maana tunashauriwa tusiishi kimazoeaWaulize wanandoa... wanabanduana vipi..
Ndio utajua haya mambo ni mwanzoni tu.. game la pili hata hayo mafuta unayasahau kubeba.
Tafuta pesa...Unaanza kwa kufanya yafuatayo:-
Tenga siku nzima ya wewe kuwa na mpenzi wako Tafuta sehemu yenye utulivu, iwe ni kwako au nyumba ya wageni n...
Tatizo akija kukutana na muhuni, atakuwa anampatia yote pamoja na fedha zakoUkijikita huko hata kazi hataweza kufanya.
Siyo kila mtu anatumia jitihada zote hizo kumkojoza pisi.
Ukitumia nguvu nyingi kumpliz mwanamke utakuwa mtumwa wa mapenzi.
Kuna wengine hatutaki kung’ang’aniwa mkuu😄
Nendeni duniani, mkazae na muongezekeNchi za dunia 3
Ndio maana halisi ya mapenziMhhh yote hayo
😃Anachukulia poa tu...Hawa viumbe tuwaache tu🙌😁😁😁 promise me utakuwa sawa
Kimoyo moyo wameanza kubadilika 😀 😀[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wewe huoni wanavyo clash au ndiyo message send
Tunasubiri mvua zinyesheUmeme na maji ishakuwa kero
Pesa hainunui hisiaTafuta pesa...
Tupe ushuhudaMmmmh
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],1. Kutenga siku nzima = No Mishe (No hela)
2. Chumba cha Wageni (Lodge) Tsh 35,000/= na Usafiri to and fro Tsh 20,000/=
3. Mafuta ya Masaji Tsh 5,000/=
4. Kula vizuri Tsh 15,000 kila mmoja, jumla Tsh 30,000/=
5. Kunywa vizuri Tsh 10,000 kila mmoja jumla Tsh 20,000/=
Jumla Kuu 110,000/= Tsh.
Ukifanya ivo kila wiki, kwa mwezi ni mara 4 inakuja 440,000/= Tsh
Kwa mwaka ni Tsh 5,280,000/=
Hii hela ukinunua bajaji mpya kila siku kwa hesabu ya elfu 30 kwa mwaka (siku 365) unapata Tsh 10,950,000/=
Na bado bajaji inaweza inadumu ata miaka 3 mbele.
Natania bwana, mtoa mada upo sahihi. Ukifanya ivo mademu hawakuachi.
Kuhusu??Tupe ushuhuda