Namna ya kuondoa Tabia mbovu usiyoitaka

Safi sana mkuu SYB...

Kama unaweza kutupa mrejesho itapendeza
 
Chief...!

This is extreme powerful. Nimefanya kwa mara ya kwanza naskia kama nafreeze hiv....nimejaribu kufanya kwa tabia zangu flan nataka zikome...ebwanaa .....sijui kama zitakoma ila meseji inazama ndani kabsa ya ubongo kila nikijisikiliza.

Kwa ruhusa yako naomba nije pm kwa msaada zaidi.

Thank you for sharing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakumbusha tu ile ya mirror aisee ukipata muda basi tuweke hapa pia tubadilike mana mimi nahitaaji hizi mada ili kutoa kabisa tabia flani hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitumia tape recorder??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli swala la subconcious lipo na linatokea..... nina rafiki yangu wa damu... wakati tunajuana hapendi kutumia tomato souce..... kadri tulivyokuwa pamoja sasa ni miaka 8, hata mimi nimejikuta siipendi kabisa.....

mimi napenda sana misambwanda flan iv amaizing na yeye nimemuambukiza hataki kuskia kuhusu viportable. kwa iyo saivi tunashindua tu fungu mbili za masalo.

😀😀
 
Nimekuelewa sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro ungetumia njia km hizi kuhamasisha wanafunzi kujisomea mitihani ya necta asinge.feli mtu, ni njia rahisi kwa kujifunzia kusoma
 
Mkuu wangu kuna nyuzi humu ukizisoma utajiona kama umechelewa sana kujua nguvu uliyonayo maana inawezekana una nguvu za ajabu sana sema tu hujajitambua bado...nitakutumia links za nyuzi kadhaa ambazo zitakufunua sana na kujielewa wewe ni nani.
Mkuu naomba na mie nitumie hizo links nijitambue. Natanguliza shukrani
 
Mkuu wangu kuna nyuzi humu ukizisoma utajiona kama umechelewa sana kujua nguvu uliyonayo maana inawezekana una nguvu za ajabu sana sema tu hujajitambua bado...nitakutumia links za nyuzi kadhaa ambazo zitakufunua sana na kujielewa wewe ni nani.
Na mimi naomba unitumie hizo links

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…