Namna ya kupika Pilau

Namna ya kupika Pilau

Mahitaji

1)nyama/kuku
2)mchele kg 1
3)vitunguu maji 3 vikubwa
4)vitunguu thomu 1 kidogo
5)pilipili manga kidogo
6)uzile 1 tbsp
7)mdalasini kijiti 5 vikubwa au kama ni wa unga 1 tbsp
8)hiliki 15
9)zabibu kavu kiasi

Namna ya kutaarisha

1)kata kata nyama/kuku then add maji saga kitunguu thomu na tangawizi tia na chumvi kiasi na uchemshe hadi viwive
2)weka mafuta robo kikombe kwenye sufuria safi weka jikoni hadi mafuta yawe moto then tia vitunguu maji ambavyo umevikatakata vikaange hadi viwe brown
3)weka mdalasini hiliki uzile zabibu na pilipili manga then changanya kwa dakika 2
4)weka soup yako pamoja na nyama/kuku kwenye mchanganyiko wako visubirie vichemke kwa dakika 5
5)add maji kulingana na mchele wako unavohitaji ili uwive vr
6)weka mchele wako then funika hadi uwe umewiza
7)then waweza kuutia kwenye oven kwa dakika 10 ili ukauke vizuri

8)pilau tayari kwa kuliwa

Msaada, je nnaweza kupka pilau kwa kutumia rice cooker?
 
Nafanyaje?

Fika hadi hatua ya 3 kama nlivoonesha………
Then mimina katika rice cooker kuku ama nyama na soup yake,na hivo ulivokaanga,pamoja na mchele....waweza kuengeza maji kama mchele wako ni mwingi na soup ni kidogo....

Then pika kama kawaida unavopika wali wa kawaida......
 
Mahitaji

1)nyama/kuku
2)mchele kg 1
3)vitunguu maji 3 vikubwa
4)vitunguu thomu 1 kidogo
5)pilipili manga kidogo
6)uzile 1(bizari ya pilau) tbsp
7)mdalasini kijiti 5 vikubwa au kama ni wa unga 1 tbsp
8)hiliki 15
9)zabibu kavu kiasi

Namna ya kutaarisha

1)kata kata nyama/kuku then add maji saga kitunguu thomu na tangawizi tia na chumvi kiasi na uchemshe hadi viwive
2)weka mafuta robo kikombe kwenye sufuria safi weka jikoni hadi mafuta yawe moto then tia vitunguu maji ambavyo umevikatakata vikaange hadi viwe brown
3)weka mdalasini hiliki uzile zabibu na pilipili manga then changanya kwa dakika 2
4)weka soup yako pamoja na nyama/kuku kwenye mchanganyiko wako visubirie vichemke kwa dakika 5
5)add maji kulingana na mchele wako unavohitaji ili uwive vr
6)weka mchele wako then funika hadi uwe umewiza
7)then waweza kuutia kwenye oven kwa dakika 10 ili ukauke vizuri

8)pilau tayari kwa kuliwa

Napenda sana haya mapishi yako. Ila unatumiaga misamiati migeni sana kwangu.
Namba 4 "vitunguu thomu" ndio vitunguu gani.?!
 
Back
Top Bottom