Namna ya kutaarisha Iranian rice

Namna ya kutaarisha Iranian rice

farkhina

Platinum Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
14,568
Reaction score
16,917
Mahitaji
1)mchele kg 1
2)vitunguu maji 5 vikubwa
3)vitunguu thomu 2 ukubwa kiasi
4)nyama/kuku
5)tangawizi kiasi
6)chumvi kiasi
7)uzile wa unga
8)mafuta robo kikombe
9)zabibu kavu kiasi

Namna ya kutaarisha

1)chemsha nyama/kuku hadi viwive
2)weka mafuta kwenye sufuria safi hadi yapate moto
3)weka vitunguu kaanga hafi viwe brown
4)weka kitunguu thomu,tangawizi ambavyo umetwanga/saga na uzile
5)mimina maji ya soup kiasi na kuku/nyama hakikisha mchanganyiko unakua mzito
6)subiria hadi mchanganyiko wako ushikane na weka pembeni

7)chemsa maji kwenye sufuria yengine hadi yachemke
8)weka mchele na chumvi kiasi hadi
9)subiria uwive hadi uwe laini

10)ugawe wali wako sehemu 2 sawa
11)then weka mchanganyiko wako wa kuku katikakati
12)Tupia tupia zabubu zako juu
13)weka kwenye oven hadi ukauke vzr.

Tayari kwa kuliwa.

Waweza tengeneza salad ukala na chakula chako kwa ladha nzuri zaidi.
 

Attachments

  • 1383856214681.jpg
    1383856214681.jpg
    44.5 KB · Views: 408
  • 1383856227282.jpg
    1383856227282.jpg
    17.4 KB · Views: 408
Last edited by a moderator:
7)uzile wa unga
  • Msaada hapo kwenye red, hiki kiungo sijakifahamu farkhina
  • Je mfano nikienda pale sokoni kariakoo na kuwaona wauza viungo nawezapata hii kitu "uzile"
 
Last edited by a moderator:
farkhina asante sana

Mie napenda kupika hasa kujaribu vitu vipya...hili nitalifanyia kazi w/kend hii afu nitakupa mrejesho

NB : Uzile ndo nini yakhee
 
Last edited by a moderator:
  • Msaada hapo kwenye red, hiki kiungo sijakifahamu farkhina
  • Je mfano nikienda pale sokoni kariakoo na kuwaona wauza viungo nawezapata hii kitu "uzile"

Ndio utapata ni UZILE.....sijui wengine wanaitaje
 
Last edited by a moderator:
shosti nielekeze jinsi ya kuaplod picha..uone mambo nlofanya!nmesoma nkawahi kurekebisha!
thanx jf ..
nmekuwa active jikoni.
Far..instead of zabibu nmetumia cranberriez..tamuje
 
shosti nielekeze jinsi ya kuaplod picha..uone mambo nlofanya!nmesoma nkawahi kurekebisha!
thanx jf ..
nmekuwa active jikoni.
Far..instead of zabibu nmetumia cranberriez..tamuje

Vipi unainaje iranian rice? Ipi tamu katika ya hii na pilau lol...
 
Back
Top Bottom