Namna ya kutaarisha Iranian rice

Namna ya kutaarisha Iranian rice

Eeh asante mamito umenifundisha kitu tena. Giligilani inanichosha kuiweka fresh. Nimejaribu kuweka kwenye maji na kwenye friji bado inaharibika, na mie nanunua vitu mara moja tu kwa mwezi. Sasa nitaitwangia kwenye thomu.

Ubarikiwe sana.

Usijali shosti...shukraan
 
MziziMkavu, uzile ndo nini kwa kidhungu?

Iranian rice ndo basmat? Manake siipendiiii hata biriyani napika na mchele wa kimatumbi kwa raha zangu.

Ila mie ni bingwa wa kuchakachua recipes. Hii umenifundisha presentation mpya. Ntaiiba recipe yako ila sasa mie ntatumia mchele wa mbeya. Leooo

Iranian rice ni wali wa kuchanga changanya kama vile pilau au biriani...mchele unatumia wowote tu upendao mie sana napenda kutumia mchele fulani waitwa india gate basmat rice..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hizi dawa kwa lugha ya kiingereza unazijuwa? Bakal-hadi,Sufa,Safarat Baydhwa,Zamda ya mbegu,Pakanga,Pachoor,Sandal(unga) farkhina

Sizijui MziziMkavu kwa kiengereza...ila pachoor napenda sana harufu yake nzuri sana...
 
Last edited by a moderator:
doh! Na hii njaa hapa naweza shba...
 
JfChapati mapembe.jpgona chapati inapembe hatari hatari..lol ila tamu and laini
 
Jf iranian.jpghiyo ilitokea kama njano sijuw..ila tamu hatare..
 
Achilia mbali kiingereza hii lugha uliyotumia hapa kiarabu kilichochanganyika na kihindi inanipiga chenga. Haya tiririka Dr MziziMkavu.

Mkuu hizi dawa kwa lugha ya kiingereza unazijuwa? Bakal-hadi,Sufa,Safarat Baydhwa,Zamda ya mbegu,Pakanga,Pachoor,Sandal(unga) farkhina
 
Last edited by a moderator:
Achilia mbali kiingereza hii lugha uliyotumia hapa (ukiondoa zamda ya mbegu na pakanga) kiarabu kilichochanganyika na kihindi inanipiga chenga. Haya tiririka Dr MziziMkavu.

Mkuu hizi dawa kwa lugha ya kiingereza unazijuwa? Bakal-hadi,Sufa,Safarat Baydhwa,Zamda ya mbegu,Pakanga,Pachoor,Sandal(unga) farkhina
 
Last edited by a moderator:
yani sikuhizi nikitaka kupika nakuja humu! vipi farkhina kabab,bhagia unajua kutengeneza?
 
Last edited by a moderator:
Achilia mbali kiingereza hii lugha uliyotumia hapa (ukiondoa zamda ya mbegu na pakanga) kiarabu kilichochanganyika na kihindi inanipiga chenga. Haya tiririka Dr MziziMkavu.
Yaani umeshindwa kunitafsiria wewe na farkhina? Hizi dawa zangu kwa lugha ya kiingereza? Haya dawa Zingine hizi nitafsirie kwa lugha ya kiingereza zinaitwa kwa jina hizi (Darufil-fil,Mbegu za figili,khulinjani,Udil-karaha, Ubani Makka, Ubani dhukura, Ubani mushtak, Halilinji, Balinji, Abilinji, Tangawizi, Hiliki) Nitajie kwa majina ya kiingereza hizi Dawa Mkuu BAK
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom