Namna ya kutaarisha Iranian rice

mimi49 hii nnavyojua mimi inaitwa ni kotmiri je inayo jina jengine? Ukiweka kwenye salad inapendeza sana...ama unasaga pamoja na kitunguu thomu then unahifadhi kwenye friji untumia kila unapohitaji kama kuchemshia nyama au kupikia mchuzi ni nzuri sana.
Cc BAK
 

Attachments

  • 1383926437392.jpg
    11.8 KB · Views: 145
Last edited by a moderator:
kuweka picha unafanyaje
Swts ukitaka kuweka picha kutoka kwenye computer yako hapo unapo-coment juu yake kuna alama nyingi,hebu jaribu kuzigusicha kwa mouse yako bila ku-click,unapogusisha kila alama kuna maandishi yanatokea yanakuelekeza cha kufanya mfano "insert video" au insert image"

Njia nyingine kama unataka kuchukua picha kutoka kwenye website nchina,we click picha huko,then fanya mouse left click u-copy hiyo picha,unapocoment JF una-paste na kurepy,utaona picha inatoka ilivyo.
 
Last edited by a moderator:
Giligilani mpenzi kwa kiswahili
 
Bora hata kasema mapema niongeze portion maana nishazoea kupika portion mbili tu!Sipendi kutupa chakula.....:smile-big:

Ndio vizuri na kikibaki waweka kwenye friji..kutupa chakula ni israaf na dhambi kubwa sana maana kuna watu wanakitafuta na hawakipati how come wewe unamwaga?
 
Ndio vizuri na kikibaki waweka kwenye friji..kutupa chakula ni israaf na dhambi kubwa sana maana kuna watu wanakitafuta na hawakipati how come wewe unamwaga?
Naweka kwenye fridge lakini kitakaa huko wala nakuwa sina ham nacho tena!!!Ila napika portion ndogo tu kuepuka shida zote hizo!
 

Tnx 24hrs kwa kumsaidia shost angu..
 
Last edited by a moderator:
Ahsante....mie najua ni KOTMIRI..hahahahahah ningeandika bila ya kutafsiriwa ingekua mtihani..
Hata sie tunaita hivohivo kotmiri lakini unajua tena kiswahili nacho kina maneno mengi na yanazuka mapya kila kukicha!
 
MziziMkavu, uzile ndo nini kwa kidhungu?

Iranian rice ndo basmat? Manake siipendiiii hata biriyani napika na mchele wa kimatumbi kwa raha zangu.

Ila mie ni bingwa wa kuchakachua recipes. Hii umenifundisha presentation mpya. Ntaiiba recipe yako ila sasa mie ntatumia mchele wa mbeya. Leooo
Ndio utapata ni UZILE.....sijui wengine wanaitaje
 
Last edited by a moderator:
Eeh asante mamito umenifundisha kitu tena. Giligilani inanichosha kuiweka fresh. Nimejaribu kuweka kwenye maji na kwenye friji bado inaharibika, na mie nanunua vitu mara moja tu kwa mwezi. Sasa nitaitwangia kwenye thomu.

Ubarikiwe sana.
 
Last edited by a moderator:
Uzile ni (binzari nyembamba ya unga) Kwa kiingereza inaitwa jina hili (cumin)




cumin Uzile ( Bizari nyembamba au Bizari ya pilau)
 
mimi49 kotmiri na giligilani nimeyasikia tangu mdogo, kwa hiyo naamini hili neno giligilani si neno jipya labda tu wengine hawalitumii sana kama kotmiri.

Hata sie tunaita hivohivo kotmiri lakini unajua tena kiswahili nacho kina maneno mengi na yanazuka mapya kila kukicha!
 
Last edited by a moderator:
mimi49 kotmiri na giligilani nimeyasikia tangu mdogo, kwa hiyo naamini hili neno giligilani si neno jipya labda tu wengine hawalitumii sana kama kotmiri.
Mkuu hizi dawa kwa lugha ya kiingereza unazijuwa? Bakal-hadi,Sufa,Safarat Baydhwa,Zamda ya mbegu,Pakanga,Pachoor,Sandal(unga) farkhina
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Haya ndo mambo tunayotaka humu sio kila wkt siasa za CDM na ccm!ngoja niandae hivyo vitu niingie jikoni!
 
Ndiyo jina lake hilo kwa kiswahili, farkhina hata kwenye ile pilipili yako ya kusaga ukitia kidogo inafanya inakuwa na harufu nzuri sana.

Haahaahaha duh umeengeza manjonjo tamuje....
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…