Yaani umeshindwa kunitafsiria wewe na farkhina? Hizi dawa zangu kwa lugha ya kiingereza? Haya dawa Zingine hizi nitafsirie kwa lugha ya kiingereza zinaitwa kwa jina hizi (Darufil-fil,Mbegu za figili,khulinjani,Udil-karaha, Ubani Makka, Ubani dhukura, Ubani mushtak, Halilinji, Balinji, Abilinji, Tangawizi, Hiliki) Nitajie kwa majina ya kiingereza hizi Dawa Mkuu BAK
Nitamuuliza mkuu BAK apate kunijibu inshallah hata wewe unaweza kunitajia kwa lugha ya kiarabu basi farkhinaHahahahahah MziziMkavu mie najuaje lugha ya wazungu? Muulize BAK..
Tangawizi kwa kiarabu umepatia ni Zinjabeel iliki kwa kiarabu ni Haal هالTangawizi kiarabu ni zinjabeel na hiliki ni hayl....nipe mji lol
Tangawizi kwa kiarabu umepatia ni Zinjabeel iliki kwa kiarabu ni Haal هال
Nami nimejaribu kupika jioni hii sijaweka zabibu nimeweka korosho
umekosea wewe herufi moja umezidisha hiyo herufi ya (y) haiwezi kuitwa hayl inaitwa kwa kiarabu haal.Mmmmh sasa hiyo hayl na haal inatofauti gani? Kuna viarabu vingi ati MziziMkavu..
umekosea wewe herufi moja umezidisha hiyo herufi ya (y) haiwezi kuitwa hayl inaitwa kwa kiarabu haal.
Mmmh...imekuaje?
Yaani home wamekula sana amependa next time nitatumia zabibu kavu na basmat
Asante kwa maujuzi