Namna ya kutambua kama umeokoka au wewe ni Mkristo


Wewe utakua muhubiri mzuri sana
 
Wanafunzi wa Yesu walielekezwa kuwafanya watu kuwa wafuasi Kwa kuwafundisha na kuwabatiza katika jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
Tatizo wengi wetu hatupendi kujifunza na kuwa wafuasi. Hatutaki kujifunza zaidi ya tuliyokaririshwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…