Namna ya kutambua kama umeokoka au wewe ni Mkristo

Namna ya kutambua kama umeokoka au wewe ni Mkristo

Tuta amini vip hao manabii walikuwepo kwel na walitumwa na Mungu na hawakuwa wafanya biashara?

Kama issue ni kuamini tu kwa nini hata hawa wa sasa tusi waamini tu ??? Najifunza[emoji848][emoji848]

Kasome kwanza ujue kazi ya nabii ni nini, na hawa wa kwako wa sasa wanafanya nini, na wale walioandikwa kwenye Biblia walifanya nini. Kama huamini Biblia ni kazi bure.
 
Hata walio okoka wanateleza na kutenda dhambi ndio maana kuna msalaba na kuomba toba kila siku.

Warumi 3:23-25

Jambo la pili tukifuata biblia hayo uliyo yasema ni mambo mazuri kufanywa lakini mtu hawezi kuokolewa kwa matendo peke yake (mfano unasema mimi nina vituo vya watoto yatima vingi so hiyo ndo price yangu ya kununua wokovu)

Kulea yatima na kusaidia watu ni jambo zuri lakini wokovu tunaupata kwa neema na kujinyenyekeza katika Jina lipitalo majina yote
Umemaliza!
Ili kukuelewa wamsone ,kormelio ,mate do 10 pale
 
Tuambiane tu ukweli kama waliopaswa kutuambia wamenyamaza au wanatupotosha. Leo nyumba za Mungu zinakuwa maficho ya waovu, ipo Kila haja ya kutumia kila fursa tuipatayo kusema.
 
Haswaa!..
Aliyeokoka hatendi dhambi ila hufanya makosa. Biblia inatuonesha hayupo mteuke wa Mungu hata mmoja ambaye hakukosea hivyo inawezekana kuwa mteule na ukakosea pia .
Kutokutenda dhambi ina maanisha ni kutokuishi dhambini! Haimaanishi kutokukosea!! Ambaye hajaokoka hutenda dhambi kama mtindo wa maisha! huishi dhambini!! Aliyeokoka anaweza kujikuta amemkosea Mungu na hapo hapo atakosa amani na kuomba toba na msamaha wa Mungu!! Hafurahii tena dhambi!!
 
Kutokutenda dhambi ina maanisha ni kutokuishi dhambini! Haimaanishi kutokukosea!! Ambaye hajaokoka hutenda dhambi kama mtindo wa maisha! huishi dhambini!! Aliyeokoka anaweza kujikuta amemkosea Mungu na hapo hapo atakosa amani na kuomba toba na msamaha wa Mungu!! Hafurahii tena dhambi!!
Naam, uliyoyagusia yana uthabiti wake hakika. Huu ni muda muhimu wa kuelewa zaidi ya pale tulipokaririshwa ile sala ya toba "sinners prayer"
 
KUWAFANYA KUWA MATAIFA KWAKUFUNDISHA CYO TOKA SHETANI
Rekebisha hapo nadhani ulitaka kuandika kuwafanya mataifa kuwa wafuasi " to make peoples to become disciples "
Ni sisi tu tunaojiita tumeokoka hatutaki kuwa trained ila karibu Kila kitu kinahitaji training.....
 
Shetani amekukamata, tumeokolewa kwa neema kwa njia ya imani Wala si kwa matendo mtu yeyote asije akajisifu, ukisema matendo mema yatakupeleka mbinguni, ni sawa na kusema kazi aliyofanya Bwana Yesu msalabani ni sawa na ziro. Mtu akishamwamini kristo ajitahidi kutenda matendo ya kumpendeza Mungu,Ili aje kupata ijara kule mbinguni, hata kama ukitenda matendo mazuri kiasi gani, usipo mwamini kristo huna uzima wa milele. Kwa wale watu wanaokufa bila kumwamini kristo watahukumiwa kwa matendo yao ufunuo20:11-25.
 
Ukishamwamini kristo Roho mtakatifu anakutia Muhuri Hadi siku ya ukombozi, yaani utakuwa wa Mungu siku zote na hakuna mtu atakayekutenganisha na kristo ksb mtakuwa wamoja, baba ndani yako na wewe ndani yake Effeso4:30
 
Naam, wokovu ni mtindo wa maisha " life style" na unaanzia moyoni , huwezi kusema umeokoka halafu unaishi maishha yaleyale" there must be transformations".
Imeandikwa, wanadamu wote wamepungukiwa na utukufu wa Mungu, wote wametenda dhambi, kwa hoja yako hakuna atakayeingia mbinguni.
 
Kuokoka nikujionyesha kwa watu hauna dhambi na kuonyesha watu haupendi dhambi ,na kuonyesha watu unasal sala ndefu, na kufunga kila kila mara .
Acha kumdanganya mwenzaji, ujue jamaa ataona ulichoandika ndio jibu sahihi Ohooo
 
Mungu

Alishachagua watu wake was Kila upande!

Refer yeremia kwamba alishamjua tangu misingi ya ulimwengu haijawekwa!!

Kuna wale walishafanywa kuwa wa kuzimu na moto mapema kabla hata hawajazaliwa!Kwa mungu hakuna kubahatisha bahatisha Kila kitu ni planed no suprises!!

Chunguza wewe mwenyewe Binafsi jione ndani ya moyo wako hata kama no WA maombi kiasi gani utajua kabisa kama ni Mbinguni au kuzimu!!

Yaani nafsi yako inasema TU yenyewe hasta kama hujatenda dhambi hujazini,hujaiba,hujachukua Cha mtu lakini bado fate unaiona ndani ya nafsi yako!!

Kushika dini,kuomba sana,kushika ibada sana hakukupi uhakika was kesho Yako zaidi ya Ile uliyoandikiwa kabla!!

UNAWEZA KUAMINI MFALME SULEIMAN YUPO KUZIMU NA MBINGUNI HAYUPO!!?MUSA ALIEIKAIDI SAUTI YA MUNGU BADO MBINGUNI YUPO NI KANAANI PEKEE HAKUFIKA!!!

HATMA YA MAISHA YA MTU NI FUMBO KUBWA SANA AMBALO MUNGU PEKEE NDIO ANAJUA!!
Chagua hivi leo, ninani utakayemtumikia?Mungu au shetani, that's why you have a free will.
 
Kuna waislamu , wahindu na dini nyingne zaidi ya 1000 wamezaliwa na kuaminishwa kivyao vp kuhusu wao ????
Umeuliza swali la msingi sana! Kwa hizo dini zisizo mjua kristo karibu watu billion 4 na kidogo, kwanza injili ya kristo itahubiriwa ulimwenguni kote, watu watasikia habari zake, wengi watamwamini. Kwa wale ambao hakusikia na hawajui kwamba Kuna Yesu alikufa kwaajiri ya dhambi zao, hao hukumu yao itaangalia matendo yao ufunuo 20: 11-30
 
Back
Top Bottom