Leo nimeamua kuanzisha thread itakayodumu nyakati zote na majira yote . Pia uzi huu unamgusa Kila mmoja wetu.
Tunalo tatizo la umasikini katika jamii yetu. Unazaliwa masikini, unakua kimasikini, unaanzisha familia masikini, unakufa masikini, na wanao wanaendeza vicious cycle of poverty"
Ili kuondokana na dhahama hii ni vizuri kuwa na maarifa sahii na mbinu za kuvunja mnyororo huu wa umasikini.
Hivyo, naomba tushirikishane wakuu mbinu, mitizamo, hamasa, na maarifa ya kuushinda umasikini.
Mimi naanza : zifuatazo ni mbinu zinazoweza kuvunja mnyororo wa umasikini.
Kama huna uchumi wa kati usizae.
Ukitimiza miaka 25 hama eneo ulilozaliwa.
Ushinde ulevi wa sex.
Usiache kujielimisha na kujiongezea ujuzi.
Karibuni, tupia hints zako.
Tunalo tatizo la umasikini katika jamii yetu. Unazaliwa masikini, unakua kimasikini, unaanzisha familia masikini, unakufa masikini, na wanao wanaendeza vicious cycle of poverty"
Ili kuondokana na dhahama hii ni vizuri kuwa na maarifa sahii na mbinu za kuvunja mnyororo huu wa umasikini.
Hivyo, naomba tushirikishane wakuu mbinu, mitizamo, hamasa, na maarifa ya kuushinda umasikini.
Mimi naanza : zifuatazo ni mbinu zinazoweza kuvunja mnyororo wa umasikini.
Kama huna uchumi wa kati usizae.
Ukitimiza miaka 25 hama eneo ulilozaliwa.
Ushinde ulevi wa sex.
Usiache kujielimisha na kujiongezea ujuzi.
Karibuni, tupia hints zako.