Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,867
Hivi hii "BIDII" huwa ni nini hasa mkuu??Zote mlizotoa sio mbinu. Mbinu zipo 3 tu.
1. Fanya kazi kwa bidii sana
2. Weka malengo na hakikisha unayatimiza
3. Kuwa na discpline ya pesa
Maana ya bidii kinagaubaga ni nini...nahisi watu wengi hatuifahamu maana yake halisi hebu tujuze mkuu