Zinahitajika ngozi za nyoka wafuatao;
1- kifutu 55'' to 61'' shs 380,000/= kwa ngozi
2- sawaka 155'' to 655'' shs 200,000/= kwa ngozi
3-nyoka wa kijani(boomslang) 100'' to 155'' shs 400,000/= kwa ngozi
4- koboko 255'' to 400'' shs 600,000/= kwa ngozi
5-moma 100'' to 200'' shs 300,000/= kwa ngozi
* Mjulishe rafiki naye amjulishe rafiki watanzania tuchangamkie fursa hiyo?View attachment 2072627
ni trophy hiyo, ukija kukamatwa na ngozi yake ndio utajua hujui.Mpaka nyoka ni nyara ya serikali!
hadi kanunguyeye ni government trophy, adhabu yake ni 20 years au ulipe three times the value. Nungu yeye thamani yake ni 100USD.Hii serikali nayo mpaka chatu ni nyara yao 😂
Mwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu!hadi kanunguyeye ni government trophy, adhabu yake ni 20 years au ulipe three times the value. Nungu yeye thamani yake ni 100USD.
Mpaka hapa itoshe kusema hii biashara hujawahi fanya na huijui. Jambo dogo kama hili hufahamu wakati wewe ni dealer, hakuna mfanyabiashara haramu asiyejua sheria na kanuni. Wote wauza drugs, pembe za ndovu, nyamapori wanajua consequencesKwani nyoka ni nyara za serikali pia mkuu?
Usiniquote vibaya mkuu mi nimeleta fursa jukwaani anayehitaji afatilie vibali cjasema mimi ndio mnunuzi wa hizo ngozi! Ila yupo mnunuzi ni mtailand!Mpaka hapa itoshe kusema hii biashara hujawahi fanya na huijui. Jambo dogo kama hili hufahamu wakati wewe ni dealer, hakuna mfanyabiashara haramu asiyejua sheria na kanuni. Wote wauza drugs, pembe za ndovu, nyamapori wanajua consequences
Zinahitajika ngozi za nyoka wafuatao;
1- kifutu 55'' to 61'' shs 380,000/= kwa ngozi
2- sawaka 155'' to 655'' shs 200,000/= kwa ngozi
3-nyoka wa kijani(boomslang) 100'' to 155'' shs 400,000/= kwa ngozi
4- koboko 255'' to 400'' shs 600,000/= kwa ngozi
5-moma 100'' to 200'' shs 300,000/= kwa ngozi
* Mjulishe rafiki naye amjulishe rafiki watanzania tuchangamkie fursa hiyo? NB msiache kufatilia vibali View attachment 2072627
kuna shamba moja hivi linamiliki vifutu wakutosha sana kwa mwezi unaweza kutana na vifuta 12, kama kifutu mmoja laki tatu themanini mbon kama pesa yupoFatilia urefu wa hao vifutu kwanza ujue kama wanarange kwenye futi 4 kuendelea na unene wao unacheza 55" to 66"kuna shamba moja hivi linamiliki vifutu wakutosha sana kwa mwezi unaweza kutana na vifuta 12, kama kifutu mmoja laki tatu themanini mbon kama pesa yupo