Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Hao wanyama hawana huruma kwa binadamu sasa kwa nini mimi nimuonee huruma ? nyoka amelaaniwa na Mungu siku zote atakuwa adui yetu unaweza usimfanye chochote na akakugonga tuSasa why uwachokoze kwa kupita karibu yao, kila mtu aendelee na maisha yake uone kama kutakua na matatizo